Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kitu kizuri sanaYy sio muhindi ila washabiki wake wengi ni wahindi na population Yao ni kubwa.
Yuko vizuri sana.Anafanya shughuri mpaka wahindi na wazungu wamkubali wadau
Sijacheki pande hizoKwa upande wa Youtube Views Pia Ni Hatari sana
kabisaMungu akiamua kukupa anakupa
kabisaApewe maua yake sasa
Anafatilizia nyimbo za wahindiAnaimba kumbe
Ova
😂😂😂Anaimba kumbe
Ova
Naomba nijifunze, nini faida ya hizo likes? Maana naona watu wanajitoa ufahamu sasa wakitafuta kwa nguvu likes and followersKaribia kila Post yake amevuka 100k likes
Nini faida ya hizo likes na comments mkuu? Naomba usitoe tongotongo bro.Yuko vizuri sana.
Nafikiri ndio Mtanzania anayeongoza kwa likes nyingi na Comments Instagram
Exposure.Nini faida ya hizo likes na comments mkuu? Naomba usitoe tongotongo bro.
ishara ya kukubalika na wengi,Nini faida ya hizo likes na comments mkuu? Naomba usitoe tongotongo bro.
Hatumjui ndio Nani alishaitwa bungeni ? Ameleta impact ipi kwa taifa lake kajenga vyoo vya shule ngapi au madarasa na maabara ngapi za shule ?!Yuko vizuri sana.
Amewaacha mbali sana kina Diamond
Lini kwani kaanza Jana ? you people don't think out of the boxishara ya kukubalika na wengi,
wenye biashara watapenda kutangaza kupitia yeye
Duuuh kwa hio wanaokula Makahaba ndio wanaoanguka ? Mnageneralize Mambo hilo ndio tatizo, likes sio chakula sio shibe unaweza ukawa na like Billion lakini je umelifanyia nini taifa lako ?Na kupotea kwake, kuanguka kwake ni pale atakapo anza kujihusisha na wanaojihita wadada wa mjini.
Wale makahaba na kila aina ya mikosi na laana za kudondosha mtu.
Just keep low profile bro!
yeye na dada yake wanatengeneza video fupi wakicheza nyimbo za kihindi wakiwa na mavazi yao ya kimasai kijijini,kisha wanaweka mtandaoni.Anaimba kumbe
Ova