stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Sasa hio si hata Msamiati anafanya kwa kuimba Kinyakyusa utofauti ni lugha ya kihindi au sio ndio kinachokushangaza kuna muhindi umewahi kumuona ameimba Kiswahili akapata likes za wabongo akiwa amevalia kimasai ? Hata wewe ukiamua kufanya unafanya usichokijua hio ni km project n behind any project there is somebody doing something in order to get profit of what he/she is doing for somethingyeye na dada yake wanatengeneza video fupi wakicheza nyimbo za kihindi wakiwa na mavazi yao ya kimasai kijijini,kisha wanaweka mtandaoni.
Sijacharaza kihindi hapo nimecharaza kimombo na Kiswahili, nilimfahamu kupitia kipindi Cha Millard Ila sijawahi kumuelewa nisiwe mnafiki