Hakuna mtoto wa tajiri au mwenye cheo anasomea ualimu

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
5,950
Reaction score
11,295
Wasalaam,hakuna mtoto wa mwanasiasa au tajiri anayesomea ualimu hapa Tanzania.
Education ni kazi isiyo na marupurupu na posho.

Huwezi kuta mtoto wa mtu anayejiweza anasomea ualimu.
Ukitaka ufe kwa pressure somea coz hizi zenye posho na mianya ya ulaji.
Kaka yangu kasomea PSPA toka 2010 anakunywa gongo tu hapo mlali hana mbele wala nyuma.
Angalau hata adaktari mtoto wa kapuku unaeza ukalamba asali.

Huna connection ati unaenda kusomea Tax Administration.
Hii ni nchi iliyojaa connection kwa sasa hata uwe na PhD utauza nyanya sokoni
Zamani ilikua mambo shwari.
Nb tusome tufute ujinga kichwani na kujitegemea
 
Ajira imekua ngumu ni mwendo wa connection kila sehemu. Mwenye nacho

anaongezewa asiye nacho anabaki hivyo hivyo.
Kabisa mkuu,kuna huu mfumo wa vijana chipukizi unakuta ni watoto wa wakubwa.
Wanajiwekea mihimili ya kuongoza milele
 
Kabisa mkuu,kuna huu mfumo wa vijana chipukizi unakuta ni watoto wa wakubwa.
Wanajiwekea mihimili ya kuongoza milele
Ndio ukweli wenyewe mkuu wana waingiza mapema wakiwa wadogo baadae ndio viongozi wa vijana

Baadae wabunge, madas, ded, mawaziri na wakuu wa taasisi nyeti
 
Hivi kuna mtu hana kazi anasoma PhD? Huyo ni kichaaa kabisa na hajitambui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…