Hakuna mtu aliwasiliana na rubani wa ndege iliyoanguka ziwani, shujaa Majaliwa na Chalamila watuombe radhi

Soma report yote acha assumption. Bukoba hakuna control tower, rubani anatumia frequency, rubani alizunguka mara mbili mara ya tatu ndio akaona kuna angalau uono akataka kutua ila upepo ukamchota, tairi kufunguka zilishafunguka. Niendelee? Au report kwa sababu lugha ni ya malkia?
 
Soma report yote utapata majibu ya maswali yako
 
Halafu kwanini mnaamini saana maneno ya majeruhi wakati uwezekano ni kuwa wengi hawakuwa sawa immediately baada ya ajali kutokana na sudden impact.I believe nao kuna part ya story hawana hasa kuhusu efforts zilizokuwa zinafanywa nje.Wasiwe wepesi kusema
 
Ripoti ya kitaalamu inaonesha huyo Majaliwa wenu ni wa mchongo tu. Na Chalamila ni mropokaji asiye na akili.
Wataalamu gani hao, hawa hawa mandengereko?

Labda kungekua na third part isiyohusiana na serikali hapo sawa.
 
Shida vile vimilioni alivyopewa majaliwa.
Mmejiuliza chanzo cha ajali ni Nini?
Mmejiuliza rubani alishindwa vipi kurudi mwanza mpaka akaamua kwenda kutua ziwa viktoria?
Huwa wanatishwa kufukuzwa kazi akirudi maana anatia hasara kampuni
 
Shida vile vimilioni alivyopewa majaliwa.
Mmejiuliza chanzo cha ajali ni Nini?
Mmejiuliza rubani alishindwa vipi kurudi mwanza mpaka akaamua kwenda kutua ziwa viktoria?
Nchi inavilaza hii uwiiii, watu hawajadili vtu vya msingi kama hvyo wamekomalia tuu ujinga
 
Kwa hii ripoti wale wa mbele walikufa fasta kutokana na impact na pia mlango usingefunguliwa na muhudumu ingekua balaaana maji yalikua yanaingia kwa presha

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Wale watu walipona simply kwasababu ndege iliangukia sehemu yenye kina kifupi. Kinyume na hapo hakuna mtu angetoka.
 
Watu walioweza kukumbuka kufungua mlango wa dharura ndio unasema hawakuwa timamu? Watu walikufa kwasababu maji yaliingia kwa presha kubwa hivyo marubani na wale wa mbele walikufa ndani ya dakika tano.

Wavuvi walisaidia kwa kuweza kuleta mitumbwi yao kuokoa watu lakini kinachoongelewa kuhusu shujaa Majaliwa peke yake ni utapeli mtupu. Ushahidi wake ni uongo.
 
Wataalamu gani hao, hawa hawa mandengereko?

Labda kungekua na third part isiyohusiana na serikali hapo sawa.
Third party wapo sana na ripoti zote zinafuata utaratibu wa kimataifa. Huoni hapo udhaifu wa serikali umeanikwa waziwazi? Ingekuwa ya ccm peke yao wangesema uongo.
 
Nchi inavilaza hii uwiiii, watu hawajadili vtu vya msingi kama hvyo wamekomalia tuu ujinga
Haya yote utayajibu vipi bila ripoti? Haya sasa ripoti imetoka na kuonesha maigizo na upumbavu uliofanywa na serikali.
 
Rudi hapa kwenye hii komenti yako baada ya ripoti ya awali uondoe pumba.
 
Kisa cha Majaliwa ni sawa na akina Nabii Tito, Steve Nyerere, Kikombe Cha babu, Mandonga, Dr Shika nk nk...
 
Rudi hapa kwenye hii komenti yako baada ya ripoti ya awali uondoe pumba.
Ripoti??!! Ripoti imeandaliwa na watu walioshindwa kuokoa watu kwa masaa sita.

Alikuwepo hapo afisa wa serikali hata mmoja kabla ya kuokolewa watu 27??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…