Hakuna mtu aliwasiliana na rubani wa ndege iliyoanguka ziwani, shujaa Majaliwa na Chalamila watuombe radhi

Hakuna mtu aliwasiliana na rubani wa ndege iliyoanguka ziwani, shujaa Majaliwa na Chalamila watuombe radhi

Kwa mujibu wa maelezo ya watu waliokuwapo ndani ya ndege na kufanikiwa kujiokoa, ndege ilijaa maji ndani ya dakika moja tangu ilipoanguka ziwani. Walilazimika kupanda juu ya viti upande wa nyuma.

Ushahidi wa picha za ndege ilipokuwa ziwani unaonesha upande wa mbele wote ukiwa ndani ya maji. Hakuna uwezekano wa mtu aliyekuwa nje kuweza kuona ndani kupitia kioo cha mbele kwasababu kulikuwa na giza kutokana na maji yaliyojaa.

Mfumo wa kielektroniki wa ndege ulikuwa umezimika baada ya kuzimika kwa injini hivyo kusingeweza kuwa na mawasiliano. Hata ukiangalia ndege baada ya kutolewa unaona dhahiri kwamba maji yaliingia kupitia upande wa chini ulioharibika.

Sasa natoa wito kwa shujaa Majaliwa na mkuu wa mkoa wa Kagera ndugu Chalamila kujitokeza na kuomba radhi kutokana na udanganyifu waliofanya.
Watanzania kinachotusumbua ni wivu tu na roho mbaya , hakuna kingine
 
Aiseee yani watu bado mnakomaa na Majariwa tu ebu tufanye shughuli nyingine jamani
 
Kwa mujibu wa maelezo ya watu waliokuwapo ndani ya ndege na kufanikiwa kujiokoa, ndege ilijaa maji ndani ya dakika moja tangu ilipoanguka ziwani. Walilazimika kupanda juu ya viti upande wa nyuma.

Ushahidi wa picha za ndege ilipokuwa ziwani unaonesha upande wa mbele wote ukiwa ndani ya maji. Hakuna uwezekano wa mtu aliyekuwa nje kuweza kuona ndani kupitia kioo cha mbele kwasababu kulikuwa na giza kutokana na maji yaliyojaa.

Mfumo wa kielektroniki wa ndege ulikuwa umezimika baada ya kuzimika kwa injini hivyo kusingeweza kuwa na mawasiliano. Hata ukiangalia ndege baada ya kutolewa unaona dhahiri kwamba maji yaliingia kupitia upande wa chini ulioharibika.

Sasa natoa wito kwa shujaa Majaliwa na mkuu wa mkoa wa Kagera ndugu Chalamila kujitokeza na kuomba radhi kutokana na udanganyifu waliofanya.
Tusubiri Maelezo kutoka kwenye kile kisanduku kinacho record Black Box,kile hakiongopi kitasema yote!!
 
Wewe maskini na mjinga hata hauwezi kuona hoja iliyopo hapa.
Sawa tajiri na mwelevu unayesumbuliwa na wivu na roho mbaya, Kuna mambo mengine ya kufanya sio Kila siku majaliwa tu ,
Acha wivu na roho mbaya

NAKAZIA acha wivu na roho mbaya utazeheka kabla ya umri wako
 
Hata ndege ikizima engine zote, huwa ina auxilliary power inayoendelea fanya kazi kwa muda fulani
 
Acheni kuunga mkono uongo wa Majaliwa na serikali. Kama aliweza kufanya yote hayo kwanini hakufungua mkanda na kutoka? Mtu mmoja aliyepona kutokea pale nyuma ya cockpit anasema kilichomuokoa ni kuweza kufungua mkanda na kuogelea kurudi nyuma.
Kwani mwili wa Rubanj ulikutwa kwenye siti yake pamoja na mkanda on!!? Tuanzie hapo kwanza!!
 
Hivi rubani anawasiliana na mkuu wa mkoa au mamlaka ya anga?
Na mkuu wa mkoa waliwasiliana kwa njia gani?
Black box inaweza jibu hili swali lako vizuri sana!! maana huwezi jua labda na Mkuu wa Mkoa nae alikua kwenye chumba Cha mawasiliano pale airport kwa wakati huo!!
 
Black box inaweza jibu hili swali lako vizuri sana!! maana huwezi jua labda na Mkuu wa Mkoa nae alikua kwenye chumba Cha mawasiliano pale airport kwa wakati huo!!
Bukoba hakuna chumba cha kuwasiliana kati ya rubani na control tower. Hicho chumba kipo mwanza.
 
Hivi rubani anawasiliana na mkuu wa mkoa au mamlaka ya anga?
Na mkuu wa mkoa waliwasiliana kwa njia gani?
Black box inaweza jibu hili swali lako vizuri sana!! maana huwezi jua labda na Mkuu wa Mkoa nae alikua kwenye chumba Cha mawasiliano pale airport kwa wakati huo!!
 
ile ndege isingepata dhahama ile, kuna uzembe ulifanywa na precision air wanapaswa waseme ukweli kwa nini haikurudi mwanza kama hali ya hewa ilikuwa mbaya. Ni wazi inawezekana haikuwa na mafuta ya kutosha kurudi mwanza hivyo marubani wakaona wajitahidi tu watue
Si ndiyo ndege zenu hizo za Chuprichupri Mafuta ya videbe!!
 
Shida vile vimilioni alivyopewa majaliwa.
Mmejiuliza chanzo cha ajali ni Nini?
Mmejiuliza rubani alishindwa vipi kurudi mwanza mpaka akaamua kwenda kutua ziwa viktoria?
mkuu unaamini kuna time inafika hali ya hewa hairuhusu tena ndege kupanda juu tena, fanya ufanyavyo ngoma haendi??
 
Sina utaalam huo kwa kweli.ila najaribu kuwaza tu.wanasema alikuwa na machaguo mawili kurudi mwanza au kutua ziwa viktoria.
Najiuliza kwanini alichagua kutua ziwa viktoria na sio kurudi mwanza
mkuu unaamini kuna time inafika hali ya hewa hairuhusu tena ndege kupanda juu tena, fanya ufanyavyo ngoma haendi??
 
Back
Top Bottom