mlingoti west
JF-Expert Member
- Mar 16, 2020
- 252
- 195
Mgambo wa chama chetu CCMIwe wanalazimishwa ama hawalazimishwi point ni kwa sasa machinga wanafanya kazi kwa uhuru, tofauti na mwanzo walikuwa wanafukuzwa na mgambo na hawakutakiwa kuwepo mijini kufanya biashara.
Lissu anadandia sera za JPM hana jipya.
Mgambo wa ACT,CDM au SAUMiaka ya nyuma machinga walikuwa wanasumbuliwa na mgambo kaja JPM kawaweka machinga kwenye uhuru na amani.sasa Lissu tawaambia nini machinga wamuelewe?
Kha!kha!,Umenichekesha kweli mkuu.Unyonge sio sifa njema. Mimi sio mnyonge, mnyonge labda wewe na familia yako.
Usiwatie watu uoga ambao kimsingi haupo.Lissu akiwa Rais, watanzania wote tumepigwa.
Rudi kajifunze kwanza kiswahiliLissu akakomboe kwanza Ufipa, chini ya yule mwenyekiti wa saccos wa miaka nenda rudi.
Poleni.Nadhani hamjaelewa.Ila ile sera yetu ya majimbo ituvua nguo kwa kweli. Tawi lote hapa tunasikitika
Walikuwa wanasumbuliwa na Serikali ya chama gani?Miaka ya nyuma machinga walikuwa wanasumbuliwa na mgambo kaja JPM kawaweka machinga kwenye uhuru na amani.sasa Lissu tawaambia nini machinga wamuelewe?
Hizo Serikali zilizopita zilikuwa ni za Chama gani?Mnapoambiwa JPM ni mkombozi wa taifa muwe mnaelewa. Serikali ya JPM imejitahidi kuweka mambo sawa tofauti na serikali zilizopita.
Amekuua wewe labda.Ndugu umeuwa.
Utawapa presha hawa jamaa. Sasa wataongea Nini?
sera ya majimbo inafaida nyingi kuliko hasara sema watu wameshindwa kuielewa tuuIla ile sera yetu ya majimbo ituvua nguo kwa kweli. Tawi lote hapa tunasikitika
Ccm wanajisahau sanaa yaniHizo Serikali zilizopita zilikuwa ni za Chama gani?
Atatangazwa na nani?Mkuu yaturudishwa na nani?Lissu akishaapishwa ujenzi wa Tanzania mpya unaanza mara moja
Tume ya taifa ya uchaguziAtatangazwa na nani?
Labda tume ya taifa ya Kenya lakini siyo hili shina la CCMTume ya taifa ya uchaguzi
Hayo utajua we.... Watu wananena kwa lugha huko lumumba..kwahivyo anarekebisha serikali ya JPM na sio kugombea uraisi?
Kweli apige spana maana Magu anajijenga
Viva Magu 2020 to 2030
Hayo utajua we.... Watu wananena kwa lugha huko lumumba..
Hahaha...... Nimecheka kihutu mie...
PIGA SPANA TUNDU LISSU mwendo mdundo mpaka ikulu....
Baada ya juzi Tundu Lissu kuibua sakata la wamachinga kuuziwa vitambulisho na kulaani kitendo hicho, Jana Rais Magufuli amelitolea ufafanuzi na kusema kuwa sio kweli na kutoa maagizo kwa wakuu wa wilaya nchi nzima kuwa ni marufuku wamachinga kuuziwa vitambulisho hivyo, Magufuli amesema kuwa hilo suala ni hiari na sio lazima.
Wakuu, hiii ndio maaana watanzania wanampenda Lissu, hakuna mtu anaeweza kumpinga Lissu kwani anachozungumza hata Magufuli mwenyewe anakikubali muda huo huo.
Hivi Kama watu wameteswa na kuumizwa Juu ya hili kwa kipindi chote cha miaka minne iweje Leo aje Lissu ndio itolewe amri? Ina maana Lissu angekuwepo Tanzania suala hili kumbe halingesumbua wamachinga, sasa wale wanaompinga Lissu wanatoa wapi nguvu ya kumpinga Lissu?
ayo utajua we.... Watu wananena kwa lugha huko lumumba..CCM inatetea kura 92% isishuke
thats all we are doing
Viva CCM... Viva Magu 2020 to 2030
ayo utajua we.... Watu wananena kwa lugha huko lumumba..
Hahaha...... Nimecheka kihutu mie...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
PIGA SPANA TUNDU LISSU mwendo mdundo mpaka ikulu....
ayo utajua we.... Watu wananena kwa lugha huko lumumba..Lia na Lissu apate urais japo haiwezikanii... jililie na hali yako.
Sintakuita zwazwa wala mzukule...
Mungu ametubariki kwa kutupa Magu
Viva Magu 2020 to 2030