Uchaguzi 2020 Hakuna mtu anayeweza kumpinga Lissu kwani anachozungumza hata Dkt. Magufuli mwenyewe anakikubali muda huo huo

Uchaguzi 2020 Hakuna mtu anayeweza kumpinga Lissu kwani anachozungumza hata Dkt. Magufuli mwenyewe anakikubali muda huo huo

Narudia tena, Mimi na mpinga LISU, nantamchagua MAGUFULI, zile sababu zangu tano tu! ,Zinatosha Sana kumpinga LISU 100%.
Nasubiri tarehe tu si kadi niyakwangu?Na moyo wakwangu?! Tuombe uhai kwa Mwenyezi Mung u.
Haki yako mkuu!
Ila ninavyo ona andiko lako ww ni mfuasi wa siri wa tundu lisu na mko wengi!
Mchawi halisi hakutangazii kukuloga!
 
Baada ya juzi Tundu Lissu kuibua sakata la wamachinga kuuziwa vitambulisho na kulaani kitendo hicho, Jana Rais Magufuli amelitolea ufafanuzi na kusema kuwa sio kweli na kutoa maagizo kwa wakuu wa wilaya nchi nzima kuwa ni marufuku wamachinga kuuziwa vitambulisho hivyo, Magufuli amesema kuwa hilo suala ni hiari na sio lazima.

Wakuuu, hiii ndio maaana watanzania wanampenda Lissu, hakuna mtu anaeweza kumpinga Lissu kwani anachozungumza hata Magufuli mwenyewe anakikubali muda huo huo.

Hivi Kama watu wameteswa na kuumizwa Juu ya hili kwa kipindi chote cha miaka minne iweje Leo aje Lissu ndio itolewe amri? Ina maana Lissu angekuwepo Tanzania suala hili kumbe halingesumbua wamachinga, sasa wale wanaompinga Lissu wanatoa wapi nguvu ya kumpinga Lissu?
Lissu anampeleka mchakamchaka kila mahali
 
Mnapoambiwa JPM ni mkombozi wa taifa muwe mnaelewa. Serikali ya JPM imejitahidi kuweka mambo sawa tofauti na serikali zilizopita.
Mambo sawa yapi? Labda kutunga sheria kandamizi bungeni na kuzima bunge live, kuminya uhuru wa vyombo vya habari
 
Hakuna mwenye uwezo wa kumpinga Lissu. Lissu ni zawadi yetu Watanzania kutoka kwa Mungu.
 
Mnapoambiwa JPM ni mkombozi wa taifa muwe mnaelewa. Serikali ya JPM imejitahidi kuweka mambo sawa tofauti na serikali zilizopita.
Kwani kuna mgombea binafsi??
Serikali ni ya ccm!
Akija mwingine wa ccm kama hakuweka mambo sawa?!
 
Baada ya juzi Tundu Lissu kuibua sakata la wamachinga kuuziwa vitambulisho na kulaani kitendo hicho, Jana Rais Magufuli amelitolea ufafanuzi na kusema kuwa sio kweli na kutoa maagizo kwa wakuu wa wilaya nchi nzima kuwa ni marufuku wamachinga kuuziwa vitambulisho hivyo, Magufuli amesema kuwa hilo suala ni hiari na sio lazima.

Wakuuu, hiii ndio maaana watanzania wanampenda Lissu, hakuna mtu anaeweza kumpinga Lissu kwani anachozungumza hata Magufuli mwenyewe anakikubali muda huo huo.

Hivi Kama watu wameteswa na kuumizwa Juu ya hili kwa kipindi chote cha miaka minne iweje Leo aje Lissu ndio itolewe amri? Ina maana Lissu angekuwepo Tanzania suala hili kumbe halingesumbua wamachinga, sasa wale wanaompinga Lissu wanatoa wapi nguvu ya kumpinga Lissu?
Unaweza kupingana na mtu anayeugua nanihii ya akili?
 
Viva Magu 2020 to 2030
Kwa sasa hata miongoni mwa wanaCCM wenye akili nzuri wanajua wazi Lissu ndio mwamba wa kweli katika siasa za Tanzania, akifanikiwa kumkalisha chini Magu na wao pia wataneemeka.

Maana wao pia wamechoka kupelekeshwa kama magunia ya mahindi yaliyojazwa kwenye lori linaloendeshwa ovyo ovyo na dereva mwenye ukichaa.
 
kwahivyo anarekebisha serikali ya JPM na sio kugombea uraisi?

Kweli apige spana maana Magu anajijenga

Viva Magu 2020 to 2030
Hahaha...... Nimecheka kihutu mie...

PIGA SPANA TUNDU LISSU mwendo mdundo mpaka ikulu....
 
Baada ya juzi Tundu Lissu kuibua sakata la wamachinga kuuziwa vitambulisho na kulaani kitendo hicho, Jana Rais Magufuli amelitolea ufafanuzi na kusema kuwa sio kweli na kutoa maagizo kwa wakuu wa wilaya nchi nzima kuwa ni marufuku wamachinga kuuziwa vitambulisho hivyo, Magufuli amesema kuwa hilo suala ni hiari na sio lazima.

Wakuuu, hiii ndio maaana watanzania wanampenda Lissu, hakuna mtu anaeweza kumpinga Lissu kwani anachozungumza hata Magufuli mwenyewe anakikubali muda huo huo.

Hivi Kama watu wameteswa na kuumizwa Juu ya hili kwa kipindi chote cha miaka minne iweje Leo aje Lissu ndio itolewe amri? Ina maana Lissu angekuwepo Tanzania suala hili kumbe halingesumbua wamachinga, sasa wale wanaompinga Lissu wanatoa wapi nguvu ya kumpinga Lissu?
Acha hizo huyu mlalamikaji anapaswa aendelee Kuwa hivyo ili kuleta amsha amsha kwa serikali! Ila hayo mengine na anaowawakirisha hapana kwa nchi yetu! Magufuli🤛Tena!
 
Iwe wanalazimishwa ama hawalazimishwi point ni kwa sasa machinga wanafanya kazi kwa uhuru, tofauti na mwanzo walikuwa wanafukuzwa na mgambo na hawakutakiwa kuwepo mijini kufanya biashara.
Lissu anadandia sera za JPM hana jipya.
Mantiki yako hapo ni ipi hasa?
Je, Wamachinga kwa sasa hawafukuzwi na mgambo kwa sababu wana vitambulisho au kwa sababu wamelipa Elfu 20, au kwa sababu Magufuli alisema wasifukuzwe?

Hoja ya Lissu ni kuwa hakuna sababu ya vitambulisho, hakuna sababu ya kulipa Elfu 20 na hakuna sababu ya kumfukuza mmachinga. Kwanini? Vyote hivyo ni wizi, ubatili na unyanyasi. Na sote tumemuelewa vizuri.

Magufuli kwa sasa anasema hivyo vitambulisho Sio lazima. Wewe umemwelewa? Kama sio lazima kwanini viendelee kuwepo? Kama sio lazima kwanini alivitungia sheria?
 
Tawala za mikoa na almashauri.

Ndiyo maana mnaburuzwa tu kama magunia ya mkaa kwa sababu ya ujinga ulioko vichwani mwenu...!!

Hiki ulichoandika kinauweka wazi (expose) ujinga wako....!

Hebu tuambie, " tawala za mikoa na halmashauri" ni kitu gani?
 
Baada ya juzi Tundu Lissu kuibua sakata la wamachinga kuuziwa vitambulisho na kulaani kitendo hicho, Jana Rais Magufuli amelitolea ufafanuzi na kusema kuwa sio kweli na kutoa maagizo kwa wakuu wa wilaya nchi nzima kuwa ni marufuku wamachinga kuuziwa vitambulisho hivyo, Magufuli amesema kuwa hilo suala ni hiari na sio lazima.

Wakuuu, hiii ndio maaana watanzania wanampenda Lissu, hakuna mtu anaeweza kumpinga Lissu kwani anachozungumza hata Magufuli mwenyewe anakikubali muda huo huo.

Hivi Kama watu wameteswa na kuumizwa Juu ya hili kwa kipindi chote cha miaka minne iweje Leo aje Lissu ndio itolewe amri? Ina maana Lissu angekuwepo Tanzania suala hili kumbe halingesumbua wamachinga, sasa wale wanaompinga Lissu wanatoa wapi nguvu ya kumpinga Lissu?
Sina wasiwasi na uwezo wa Tundu Lissu kwa kuwa yeye anajipambanua kama yeye bila kutegemea kunakili.

Huyu wa CCM ni mtu wa kunakili na kukurupuka halafu hajajaliwa kupima madhara ya maamuzi yake. Hata PhD yake kumbe mtu alikwisha wasilisha andiko lile mwaka 2007 na yeye akakopi (PLAGIARISE) na UDSM ikamtunuku PhD. Ben SaaNane alipodadisi akauliwa na Makonda
 
Back
Top Bottom