Uchaguzi 2020 Hakuna mtu anayeweza kumpinga Lissu kwani anachozungumza hata Dkt. Magufuli mwenyewe anakikubali muda huo huo

Uchaguzi 2020 Hakuna mtu anayeweza kumpinga Lissu kwani anachozungumza hata Dkt. Magufuli mwenyewe anakikubali muda huo huo

Tundu lissu wapeleke , mchaka mchaka ..wapeleke kikamanda ,mchaka mchaka..,2020 wapeleke kikamanda mchaka mchaka.. freedom is coming ...huu wimbo unawapeleka ccm mchaka mchaka hadi wanampigia cm Msanii wetu wa chadema Kamanda George Mwingira kuwa aubadilishe aweke jina la magufuri Kisha apewe hela milion 30 na kupewa TOT band kuwa kiongozi ..hv ccm si mna wasanii 200? Bado tu hamtosheki na akina Hamonaiz nyimbo zao za Uno?? Tuachieni mtu wetu bhana ... chakubanga pole pole achana na Mwingira bhana
 
Baada ya juzi Tundu Lissu kuibua sakata la wamachinga kuuziwa vitambulisho na kulaani kitendo hicho, Jana Rais Magufuli amelitolea ufafanuzi na kusema kuwa sio kweli na kutoa maagizo kwa wakuu wa wilaya nchi nzima kuwa ni marufuku wamachinga kuuziwa vitambulisho hivyo, Magufuli amesema kuwa hilo suala ni hiari na sio lazima.

Wakuuu, hiii ndio maaana watanzania wanampenda Lissu, hakuna mtu anaeweza kumpinga Lissu kwani anachozungumza hata Magufuli mwenyewe anakikubali muda huo huo.

Hivi Kama watu wameteswa na kuumizwa Juu ya hili kwa kipindi chote cha miaka minne iweje Leo aje Lissu ndio itolewe amri? Ina maana Lissu angekuwepo Tanzania suala hili kumbe halingesumbua wamachinga, sasa wale wanaompinga Lissu wanatoa wapi nguvu ya kumpinga Lissu?
Narudia tena, Mimi na mpinga LISU, nantamchagua MAGUFULI, zile sababu zangu tano tu! ,Zinatosha Sana kumpinga LISU 100%.
Nasubiri tarehe tu si kadi niyakwangu?Na moyo wakwangu?! Tuombe uhai kwa Mwenyezi Mung u.
 
Narudia tena, Mimi na mpinga LISU, nantamchagua MAGUFULI, zile sababu zangu tano tu! ,Zinatosha Sana kumpinga LISU 100%.
Nasubiri tarehe tu si kadi niyakwangu?Na moyo wakwangu?! Tuombe uhai kwa Mwenyezi Mung u.
Lissu anapingwa na watu wenye utindio wa ubongo Kama ww
 
Washabiki wavyama wasio na kadi ya mpiga kura.
Simlisusia Bajet ya uchaguzi, hiv mtakuwa mlijiandikisha kwel kwenye daftar LA kudum
 
Tundu lissu wapeleke , mchaka mchaka ..wapeleke kikamanda ,mchaka mchaka..,2020 wapeleke kikamanda mchaka mchaka.. freedom is coming ...huu wimbo unawapeleka ccm mchaka mchaka hadi wanampigia cm Msanii wetu wa chadema Kamanda George Mwingira kuwa aubadilishe aweke jina la magufuri Kisha apewe hela milion 30 na kupewa TOT band kuwa kiongozi ..hv ccm si mna wasanii 200? Bado tu hamtosheki na akina Hamonaiz nyimbo zao za Uno?? Tuachieni mtu wetu bhana ... chakubanga pole pole achana na Mwingira bhana
[SUP] daah , mhurumieni LISU, Bado hajapona vizuri, siunamwona anaanguka kwenye kampeni. Mwambieni mapemaa apumzike tatizo lisiongezeke[/SUP]
 
Narudia tena, Mimi na mpinga LISU, nantamchagua MAGUFULI, zile sababu zangu tano tu! ,Zinatosha Sana kumpinga LISU 100%.
Nasubiri tarehe tu si kadi niyakwangu?Na moyo wakwangu?! Tuombe uhai kwa Mwenyezi Mung u.
Sote tuna kadi mkuu.
 
Back
Top Bottom