Uchaguzi 2020 Hakuna mtu anayeweza kumpinga Lissu kwani anachozungumza hata Dkt. Magufuli mwenyewe anakikubali muda huo huo

Uchaguzi 2020 Hakuna mtu anayeweza kumpinga Lissu kwani anachozungumza hata Dkt. Magufuli mwenyewe anakikubali muda huo huo

Baada Ya juzi Tundu Lissu kuibua sakata la wamachinga kuuziwa vitambulisho na kulaaani kitendo hicho, Jana Rais Magufuli amelitolea ufafanuzi na kusema kuwa sio kweli na kutoa maagizo kwa wakuu wa wilaya nchi nzima kuwa ni marufuku wamachinga kuuziwa vitambulisho hivyo, Magufuli amesema kuwa hilo suala ni hiari na sio lazima.

Wakuuu, hiii ndio maaana watanzania wanampenda Lissu, hakuna mtu anaeweza kumpinga Lissu kwani anachozungumza hata Magufuli mwenyewe anakikubali muda huo huo.

Hivi Kama watu wameteswa na kuumizwa Juu ya hili kwa kipindi chote cha miaka minne iweje Leo aje Lissu ndio itolewe amri? Ina maana Lissu angekuwepo Tanzania suala hili kumbe halingesumbua wamachinga, sasa wale wanaompinga Lissu wanatoa wapi nguvu ya kumpinga Lissu?
Ndugu umeuwa.
Utawapa presha hawa jamaa. Sasa wataongea Nini?
 
Umeshamaliza kutuma maombi ya ajira ya uchaguzi huko ajira portal angalau upate hela ya kula au umeridhika kuishi kwa shemeji yako?
Mkuu, muache dada aendelee kukata mauno huko chumban ili nipate ht pesa ya vocha
 
Katika vitu ambayo nina mushukuru navyo Mungu ni pamoja na kutu achia Tundu Lissu aliye hai baada ya jaribio la kuondoa uhai wake kushindwa kwa nguvu za Muumba wa mbingu na ardhi🙏🙏🙏🙏🙏🙏
 
Baada ya juzi Tundu Lissu kuibua sakata la wamachinga kuuziwa vitambulisho na kulaani kitendo hicho, Jana Rais Magufuli amelitolea ufafanuzi na kusema kuwa sio kweli na kutoa maagizo kwa wakuu wa wilaya nchi nzima kuwa ni marufuku wamachinga kuuziwa vitambulisho hivyo, Magufuli amesema kuwa hilo suala ni hiari na sio lazima.

Wakuuu, hiii ndio maaana watanzania wanampenda Lissu, hakuna mtu anaeweza kumpinga Lissu kwani anachozungumza hata Magufuli mwenyewe anakikubali muda huo huo.

Hivi Kama watu wameteswa na kuumizwa Juu ya hili kwa kipindi chote cha miaka minne iweje Leo aje Lissu ndio itolewe amri? Ina maana Lissu angekuwepo Tanzania suala hili kumbe halingesumbua wamachinga, sasa wale wanaompinga Lissu wanatoa wapi nguvu ya kumpinga Lissu?
si hilo tu bosi kuna mengine makubwa Magufuli kayatii kila Tundu Lissu anapotoa tamko:

1. Magufuli kamwaga ajira zaidi ya 13,000 (walimu) majuzi tu hapa baada ya Lissu kuongea kuhusu ukosefu wa ajira

2. kutopandishwa mishahara: inasemekana kuna nyongeza kuanzia mwezi huu

3. Askofu aliyenyang'anywa passport na serekali karejeshewa baada ya mkwara wa Lissu

4. Magufuli kaalika marais 2 kutoka Uganda & Burundi mara tu baada ya Lissu kuongelea suala la uhusiano wetu mbaya na nchi jirani

5. na mengine mengi anayotekeleza kimya kimya kila Lissu anavyotoa tamko.
 
Lissu Nabii ajae Tanzania katika Zama hizi

Anakuambia ukweli mchungu unaokuuma unaukuwashawasha [emoji2]

Lazima ujifanye unajikuna tukuone [emoji1787][emoji1787]
 
Wanaompinga Lissu inabidi wakapimwe mkojo, maana huwezi ukawa MTU mzima na akili timamu alafu unafanya utahila kama huo..
Sina udungu wala ujirani na Lissu Ila Tar 28 kula yangu unayo.
 
Back
Top Bottom