Agenda1
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 1,695
- 3,412
Umeshamaliza kutuma maombi ya ajira ya uchaguzi huko ajira portal angalau upate hela ya kula au umeridhika kuishi kwa shemeji yako?Lissu akiwa Rais, watanzania wote tumepigwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshamaliza kutuma maombi ya ajira ya uchaguzi huko ajira portal angalau upate hela ya kula au umeridhika kuishi kwa shemeji yako?Lissu akiwa Rais, watanzania wote tumepigwa.
Hebu nipe tofauti ya jimbo na mkoa?ila ile sera yetu ya majimbo ituvua nguo kwa kweli.tawi lote hapa tunasikitika
Ndugu umeuwa.Baada Ya juzi Tundu Lissu kuibua sakata la wamachinga kuuziwa vitambulisho na kulaaani kitendo hicho, Jana Rais Magufuli amelitolea ufafanuzi na kusema kuwa sio kweli na kutoa maagizo kwa wakuu wa wilaya nchi nzima kuwa ni marufuku wamachinga kuuziwa vitambulisho hivyo, Magufuli amesema kuwa hilo suala ni hiari na sio lazima.
Wakuuu, hiii ndio maaana watanzania wanampenda Lissu, hakuna mtu anaeweza kumpinga Lissu kwani anachozungumza hata Magufuli mwenyewe anakikubali muda huo huo.
Hivi Kama watu wameteswa na kuumizwa Juu ya hili kwa kipindi chote cha miaka minne iweje Leo aje Lissu ndio itolewe amri? Ina maana Lissu angekuwepo Tanzania suala hili kumbe halingesumbua wamachinga, sasa wale wanaompinga Lissu wanatoa wapi nguvu ya kumpinga Lissu?
Watanzania wote ni machinga ? Au machinga ndio wana idadi kubwa tz ? Tafakari chukua hatua ni yeye 2020Machinga wametulia wanafanya kazi kwasababu ya JPM. Hakuna lugha nyingine mtu atasema na machinga wakamuelewa.
Mkuu, muache dada aendelee kukata mauno huko chumban ili nipate ht pesa ya vochaUmeshamaliza kutuma maombi ya ajira ya uchaguzi huko ajira portal angalau upate hela ya kula au umeridhika kuishi kwa shemeji yako?
We ni matako ya kikeLissu akiwa Rais, watanzania wote tumepigwa.
si hilo tu bosi kuna mengine makubwa Magufuli kayatii kila Tundu Lissu anapotoa tamko:Baada ya juzi Tundu Lissu kuibua sakata la wamachinga kuuziwa vitambulisho na kulaani kitendo hicho, Jana Rais Magufuli amelitolea ufafanuzi na kusema kuwa sio kweli na kutoa maagizo kwa wakuu wa wilaya nchi nzima kuwa ni marufuku wamachinga kuuziwa vitambulisho hivyo, Magufuli amesema kuwa hilo suala ni hiari na sio lazima.
Wakuuu, hiii ndio maaana watanzania wanampenda Lissu, hakuna mtu anaeweza kumpinga Lissu kwani anachozungumza hata Magufuli mwenyewe anakikubali muda huo huo.
Hivi Kama watu wameteswa na kuumizwa Juu ya hili kwa kipindi chote cha miaka minne iweje Leo aje Lissu ndio itolewe amri? Ina maana Lissu angekuwepo Tanzania suala hili kumbe halingesumbua wamachinga, sasa wale wanaompinga Lissu wanatoa wapi nguvu ya kumpinga Lissu?
Mada iliyopo unaijua lakini bwashee?Watanzania wote ni machinga ? Au machinga ndio wana idadi kubwa tz ? Tafakari chukua hatua ni yeye 2020
Ww ni K ya demu nnaye mlaWe ni matako ya kike
Ngoja uchaguzi uishi mambo yana rudi yale yaleHuu ndio umuhimu wa Upinzani kuibua hoja, kero na kuikosoa serikali pale mambo yanapokuwa yameenda kombo, kisha Serikali inajirekebisha. Big up upinzani.
chama gani vile vile has mataga ni kichwa hakunaMnapoambiwa JPM ni mkombozi wa taifa muwe mnaelewa. Serikali ya JPM imejitahidi kuweka mambo sawa tofauti na serikali zilizopita.
Ndo Afrika yetu.Ngoja uchaguzi uishi mambo yana rudi yale yale
SureNdo Afrika yetu.
Kha!kha!,kha!Lissu Nabii ajae Tanzania katika Zama hizi
Anakuambia ukweli mchungu unaokuuma unaukuwashawasha [emoji2]
Lazima ujifanye unajikuna tukuone [emoji1787][emoji1787]