pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Tatizo kuna watu wakiambiwa tofauti na wanavyoamini wao kwao wametukanwa!Ukitaka ujuwe Nani anaongozwa kwa matusi angalia hata humu namna vijana na wafuasi wa chadema wanavyo mwaga matusi hapa
Ninyi hat ofisi ya chama tu imewashinda kujenga, Sasa Nani awape nchi nyie? Si mtabomoa hata vilivyojengwa? Hamna nafasi ya uongozi kwa watu Kama nyie hapa, mtaishia kukusanyana hapo hapo ufipa kupiga storiHujitambui kwa sababu ya akili ndogo kutokana na udumavu. Ni janga la Taifa kuwa na watu wengi wa aina yako.
Sasa kibaya Ni kuwa chadema umekosa Safi ya uongozi yenye kutoa msimamo na muelekeo wa chama ikaheshimika na kupokelewa na wanachama,Ukisoma Hadi darasa la ngapi?
Yaani ktk watu zaidi ya ml 50 utakosa vp watu 2 wenye akili wa kuikubali CDM.
Au utakosa vip watu 2 wenye akili timamu kuisuport CCM?
Mbona mmewahi kukiri kuwa CCM mlichagua kichaa kugombea nafasi ya juu kabisa?
Mbona mm nawajua walevi, VICHAA wengi tu waliopo CCM tena ktk level za juu?,
Kubali chama Cha siasa chenye watu wengi, lazima pawe na watu timamu, VICHAA, WAVIVU, waizi, waaminifu nk.
Kama unaamini CDM Haina viongozi imara na haikubaliki na wananchi kwann upoteze muda kuwafumbua macho?🙃🙃🙃🙃🙃Sasa kibaya Ni kuwa chadema umekosa Safi ya uongozi yenye kutoa msimamo na muelekeo wa chama ikaheshimika na kupokelewa na wanachama,
CCM inafanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa ilani yake namna inavyotekelezwa, CCM ndio yenye dhamani ya kuwahudumia wananchi kwa kuwa ndio chama kilichopewaa Ridhaa hiyo, Sasa hao chadema wafanye mikutano ya Nini? Kwani Marekani ulishaona wanazulula mitaani uchaguzi ukiiisha? Huu Ni muda wa kazi, tuiache ccm iwahudumie watanzaniaKama unaamini CDM Haina viongozi imara na haikubaliki na wananchi kwann upoteze muda kuwafumbua macho?🙃🙃🙃🙃🙃
Kama CDM haikubaliki, mbona mnaizuia isifanye mikutano ya hadhara?
Chama kisichokubalika kikiitisha mkutano ni dhahiri hakitapata wasikilizaji!!!!!
Au ni vice versa, wanakunyima USINGIZI?
Kile chama Si saizi Yako Ndugu.
Wananchi Gani unaowazungumzia waliipa Ridhaa CCM kuwa madarakani?CCM inafanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa ilani yake namna inavyotekelezwa, CCM ndio yenye dhamani ya kuwahudumia wananchi kwa kuwa ndio chama kilichopewaa Ridhaa hiyo, Sasa hao chadema wafanye mikutano ya Nini? Kwani Marekani ulishaona wanazulula mitaani uchaguzi ukiiisha? Huu Ni muda wa kazi, tuiache ccm iwahudumie watanzania
Kwa kuwa Nahitaji kuona Amani ikitamalaki na siyo kuvurugwa na watu Kama chadema
Kama wanasikilizwa si wangekuwa wanaungwa mkono na wananchi?Sio unatamani amani, bali unajua CDM wakianza kukutana na wananchi ni lazima ccm itumie mbeleko yake ya vyombo vya dola, kwani CDM ndio inayosikilizwa. Hii hofu yako sio ww tu, wanaccm wote wanatamani CDM isisikilizwe lakini inakuwa ngumu. Amani ya kila mwanaccm ni kuona CDM imekufa ili waendelee kuburuza wananchi.
Subiri uchaguzi ufike ulete timu uwanjani na kupigwa asubuhiiiiWananchi Gani unaowazungumzia waliipa Ridhaa CCM kuwa madarakani?
Sanduku la kura LILIIBWA 2020, na ushahidi upo wazi, hivyo CCM kama wanataka ridhaa, turudie uchaguzi.
Tofauti na hapo ni kuwa mnatumia Dola kutawala na Si ridhaa ya wananchi.
Ameeeen.
Kuitetea CCM ni kujitafutia magonjwa yasiyoambukiza.Kama wanasikilizwa si wangekuwa wanaungwa mkono na wananchi?
Time hii hapatakuwa na uchaguzi wowote kabla ya kupatikana kwanza TUME huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA.Subiri uchaguzi ufike ulete timu uwanjani na kupigwa asubuhiiii
Ndio na CCM pia.Ndugu zangu huo ndio ukweli japo Ni mchungu lakini ndio uhalisia wenyewe wa mambo, kwa Sasa hakuna mtu mwenye Akili Timamu na anayejiheshimu anayeweza akaanza kuiunga mkono Chadema
Kwa Sasa Ni chama kilichokosa dira na muelekeo, Ni chama kilichokosa uongozi wenye kufanya maamuzi ya mwisho na yakaheshimika na kufuatwa na wanachama wake, Ni chama ambacho kimejaa vijana wenye mihemuko, kukurupuka,wasio na adabu Wala heshima, hawana staha Wala Subira, hawana utulivu Wala vifua, Ni Kama makambale tu kila mtu ana ndevu na Hakuna wakumheshimu Wala kumsikiliza kiongozi wake, ndio maana unaweza ukaona kakijana kadogo kiumri kanamtukana mtu mwenye umri sawa na babu au Bibi yake
Ni chama ambacho kila mtu Ni kiongozi kwenye ukurasa wake wa kimtandao na atakachokiandika anataka iwe ndio msimamo wa chama chote, kila mtu Anayo Amri ndani ya chama, Haieleweki Nani msemaji wa chama au Nani katibu wachama, Haieleweki nani mtoa msimamo wa chama na Nani mfafanuzi wa masuala ya chama maana kila mtu ni mjuaji na Nikiongozi hata Kama unaona kabisa huyu kichwani hamna kitu na Hana taarifa za kutosha
Ni chama kilichojaa vijana ambao Ni Kama wamekosa malezi ya wazazi wao, Ndio maana unaona wao wanaweza mtukana yeyote Yule kwa matusi ya nguoni na wakawa wanapongezana na kusema huyu ndio kamandaa na kupigiwa debe la kupewa uongozi kwa kuwa mtukanaji mzuri, kwao adabu Ni Kama almasi kwao maana hawana msamiati huo katika vinywa vyao,
Ni chama kilicho jaa vijana walio na upeo mdogo Sana, wao hubeba taarifa na kuishadadia hata Kama hawajuwi ukweli wake, Ni chama kilichokosa Sera na ajenda za kugusa maisha ya watanzania wanyonge, hakina dira Wala muelekeo, hakina hoja zenye mashiko Wala mvuto kwa watu kuweza kuwaunga mkono
Ndio maana watu wenye akili kwa Sasa wanawakwepa na Wala hawapo tayari kuwasaidia kwa lolote, hata wapige kelele vipi hakuna anayewasikiliza Wala kuwajari maana wamepuuzwa na watanzania, wamekuwa Kama vibaraka wa wanyonyaji, maana chadema wapo tayari kuungana hata na shetani kuleta machafuko hapa nchini
Jiulize Nani mwenye akili anayewatetea hao chadema kwa Sasa,?jiulize wale wafadhiri waliokuwa wanawasaidia huko awali wamekwenda wapi kwa Sasa,? Utasaidiaje mtu asiyejitambua? Hivyo Basi kwa kuwa hawajitambui Ni lazima waongozwe nakunyooshwa njia ya kufuata na kupita, hawawezi wakaachwa hivihivi maana hawawezi kujiongoza hivyo Ni lazima waongozwe na CCM Tuuu watake wasitake lazima wasonge mbelee
Nyie si mlikimbia ndani ya ukumbi wa bunge la katiba, Sasa kwanini mnaanza kulia Lia hapa Tena?Time hii hapatakuwa na uchaguzi wowote kabla ya kupatikana kwanza TUME huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA.
Tunza hiyo.
Kama wanasikilizwa si wangekuwa wanaungwa mkono na wananchi?
Tindo ndugu yangu hivi nyie si mlikimbia Wenyewe kwenye bunge la katiba? Sasa mnataka katiba ipi Tena Tindo ndugu yangu, Nenda Katoe maoni kwenye kikosi kazi kilichoundwa, Mimi Naheshimu Sana michango yako humuYale matumizi makubwa na haramu dhidi ya CDM ndio udhibitisho wenyewe jinsi CDM inavyokubalika na wananchi. Tunapohitaji katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, ni ili kuweza kupata viongozi wenye uhalali wa umma. Kwa bahati mbaya CCM hilo hawataki maana wanajua umma hauko upande wao.
Jalala kama jalala kwenye ubora wakoKwa Sasa hakuna mtu mwenye Akili Timamu na anayejiheshimu anayeweza akaanza kuiunga mkono Chadema, kwanza mwenyekiti wake ni gaidi aliyepanga njama za kuuwa viongozi wa serikali na ushahidi upo mpaka mahakama ikamkuta na kesi ya kujibu, Pili makamu mwenyekiti wake Tundu Lisu ameng'ang'ania getoni kwa Amsterdam ,tatu Lema analishwa yeye na mke wake na lizungu huko Canada.
Kwa Sasa Ni chama kilichokosa dira na muelekeo, Ni chama kilichokosa uongozi wenye kufanya maamuzi ya mwisho na yakaheshimika na kufuatwa na wanachama wake, Ni chama ambacho kimejaa vijana wenye mihemuko, kukurupuka,wasio na adabu Wala heshima, hawana staha Wala Subira, hawana utulivu Wala vifua, Ni Kama makambale tu kila mtu ana ndevu na Hakuna wakumheshimu Wala kumsikiliza kiongozi wake, ndio maana unaweza ukaona kakijana kadogo kiumri kanamtukana mtu mwenye umri sawa na babu au Bibi yake
Ni chama ambacho kila mtu Ni kiongozi kwenye ukurasa wake wa kimtandao na atakachokiandika anataka iwe ndio msimamo wa chama chote, kila mtu Anayo Amri ndani ya chama, Haieleweki Nani msemaji wa chama au Nani katibu wachama, Haieleweki nani mtoa msimamo wa chama na Nani mfafanuzi wa masuala ya chama maana kila mtu ni mjuaji na Nikiongozi hata Kama unaona kabisa huyu kichwani hamna kitu na Hana taarifa za kutosha
Ni chama kilichojaa vijana ambao Ni Kama wamekosa malezi ya wazazi wao, Ndio maana unaona wao wanaweza mtukana yeyote Yule kwa matusi ya nguoni na wakawa wanapongezana na kusema huyu ndio kamandaa na kupigiwa debe la kupewa uongozi kwa kuwa mtukanaji mzuri, kwao adabu Ni Kama almasi kwao maana hawana msamiati huo katika vinywa vyao,
Ni chama kilicho jaa vijana walio na upeo mdogo Sana, wao hubeba taarifa na kuishadadia hata Kama hawajuwi ukweli wake, Ni chama kilichokosa Sera na ajenda za kugusa maisha ya watanzania wanyonge, hakina dira Wala muelekeo, hakina hoja zenye mashiko Wala mvuto kwa watu kuweza kuwaunga mkono
Ndio maana watu wenye akili kwa Sasa wanawakwepa na Wala hawapo tayari kuwasaidia kwa lolote, hata wapige kelele vipi hakuna anayewasikiliza Wala kuwajari maana wamepuuzwa na watanzania, wamekuwa Kama vibaraka wa wanyonyaji, maana chadema wapo tayari kuungana hata na shetani kuleta machafuko hapa nchini
Jiulize Nani mwenye akili anayewatetea hao chadema kwa Sasa,?jiulize wale wafadhiri waliokuwa wanawasaidia huko awali wamekwenda wapi kwa Sasa,? Utasaidiaje mtu asiyejitambua? Hivyo Basi kwa kuwa hawajitambui Ni lazima waongozwe nakunyooshwa njia ya kufuata na kupita, hawawezi wakaachwa hivihivi maana hawawezi kujiongoza hivyo Ni lazima waongozwe na CCM Tuuu watake wasitake lazima wasonge mbelee
Ndugu zangu huo ndio ukweli japo Ni mchungu lakini ndio uhalisia wenyewe wa mambo, kwa Sasa hakuna mtu mwenye Akili Timamu na anayejiheshimu anayeweza akaanza kuiunga mkono Chadema
Kwa Sasa Ni chama kilichokosa dira na muelekeo, Ni chama kilichokosa uongozi wenye kufanya maamuzi ya mwisho na yakaheshimika na kufuatwa na wanachama wake, Ni chama ambacho kimejaa vijana wenye mihemuko, kukurupuka,wasio na adabu Wala heshima, hawana staha Wala Subira, hawana utulivu Wala vifua, Ni Kama makambale tu kila mtu ana ndevu na Hakuna wakumheshimu Wala kumsikiliza kiongozi wake, ndio maana unaweza ukaona kakijana kadogo kiumri kanamtukana mtu mwenye umri sawa na babu au Bibi yake
Ni chama ambacho kila mtu Ni kiongozi kwenye ukurasa wake wa kimtandao na atakachokiandika anataka iwe ndio msimamo wa chama chote, kila mtu Anayo Amri ndani ya chama, Haieleweki Nani msemaji wa chama au Nani katibu wachama, Haieleweki nani mtoa msimamo wa chama na Nani mfafanuzi wa masuala ya chama maana kila mtu ni mjuaji na Nikiongozi hata Kama unaona kabisa huyu kichwani hamna kitu na Hana taarifa za kutosha
Ni chama kilichojaa vijana ambao Ni Kama wamekosa malezi ya wazazi wao, Ndio maana unaona wao wanaweza mtukana yeyote Yule kwa matusi ya nguoni na wakawa wanapongezana na kusema huyu ndio kamandaa na kupigiwa debe la kupewa uongozi kwa kuwa mtukanaji mzuri, kwao adabu Ni Kama almasi kwao maana hawana msamiati huo katika vinywa vyao,
Ni chama kilicho jaa vijana walio na upeo mdogo Sana, wao hubeba taarifa na kuishadadia hata Kama hawajuwi ukweli wake, Ni chama kilichokosa Sera na ajenda za kugusa maisha ya watanzania wanyonge, hakina dira Wala muelekeo, hakina hoja zenye mashiko Wala mvuto kwa watu kuweza kuwaunga mkono
Ndio maana watu wenye akili kwa Sasa wanawakwepa na Wala hawapo tayari kuwasaidia kwa lolote, hata wapige kelele vipi hakuna anayewasikiliza Wala kuwajari maana wamepuuzwa na watanzania, wamekuwa Kama vibaraka wa wanyonyaji, maana chadema wapo tayari kuungana hata na shetani kuleta machafuko hapa nchini
Jiulize Nani mwenye akili anayewatetea hao chadema kwa Sasa,?jiulize wale wafadhiri waliokuwa wanawasaidia huko awali wamekwenda wapi kwa Sasa,? Utasaidiaje mtu asiyejitambua? Hivyo Basi kwa kuwa hawajitambui Ni lazima waongozwe nakunyooshwa njia ya kufuata na kupita, hawawezi wakaachwa hivihivi maana hawawezi kujiongoza hivyo Ni lazima waongozwe na CCM Tuuu watake wasitake lazima wasonge mbelee
Tindo ndugu yangu hivi nyie si mlikimbia Wenyewe kwenye bunge la katiba? Sasa mnataka katiba ipi Tena Tindo ndugu yangu, Nenda Katoe maoni kwenye kikosi kazi kilichoundwa, Mimi Naheshimu Sana michango yako humu