Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 Vitubvya kawaida hivyo maisha ni mafupi lazima watu tuenjoyKupatwa kwa mzabzab 😂
Nimekubali we Ni mwamba,nilijuaga unatania😂🤣🤣🤣🤣 Vitubvya kawaida hivyo maisha ni mafupi lazima watu tuenjoy
😂😂😂😂Yaani ana Visa huyu na visanga!Kuna nyingine alijiweka cv yake akasema kuna mtu kamwambia ajiandike....yaan tafurani
😂😂😂Umemkoleza tatizoMbona nilishamwambia kuwa mie sio one woman man na akakubali tugegedane
Njoo basi na wewe ujaribu utamuNimekubali we Ni mwamba,nilijuaga unatania😂
Tukimwaga mapema mlalamika, tukikoleza mnalalamika sasa siju tufanye nini😂😂😂Umemkoleza tatizo
Ngoja tumalize kwanza kesi ya unique flowerNjoo basi na wewe ujaribu utamu
Ha haaaaa!Tukimwaga mapema mlalamika, tukikoleza mnalalamika sasa siju tufanye nini
Mbona hamna kesi hapoNgoja tumalize kwanza kesi ya unique flower
Mrembo kagegedwa na de libolo sasa limenoga kumbe jamaa sio wakutulia na demu mmoja.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha nicheka mi sielewi kwani kuna nn ?au kipi kimetokea #MSAADA kwa aliye elew labda
Mpenziwake anakua Sabuni😂😂🚶Sio kuendana na maisha ya sasa kufanya au kutofanya inategemea na attitude ya mtu mfano binafsi nilikuwa domo zege, muoga wa mademu yaani nilipanda daladala kwenye siti amekaa jinsi ya kike na kuna nafasi nyingine huwezi kukuta nikaa nayozungumza haya ni kuanzia 2017 kurudi nyuma ndio maana sikuweza kuingia kwenye mahusiano na wala kufanya sex nimeanza rasmi ni 2018 baada ya kuanza kuchangamka ndugu yangu sophy27 Watu wa namna hii wapo mpaka Leo wewe unapinga kwasababu unafatwa na wajanja maana ili umpate mwanamke ni lazima umtongoze au sometime inatokea kupiga kimasiala ambapo inatokea Mara chache sasa kama mtu ni domo zege na nimuoga wa wanawake unadhani hiyo sex au relationship ataipataje?
Kweli kumwelewa bibie hapa unahitaji kuvaa mawani yenye lenzi mbinukoMkuu ivi ni kwamba huwa hujui kuandika kiswahili vizuri au na wewe ni darasa la 7 B mwenzangu??
Kama unashindwa kuandika kiswahili fasaha ukaeleweka basi usiwe unaleta nyuzi humu, mara nyingi umekua ukikosolewa kuwa hueleweki
Sasa hapo ni kuingilia uhuru wa mtu huko sijui🤣Mpenziwake anakua Sabuni😂😂🚶
😂😂Sasa hapo ni kuingilia uhuru wa mtu huko sijui🤣
Lenzi gani???Kweli kumwelewa bibie hapa unahitaji kuvaa mawani yenye lenzi mbinuko
Rafiki yangu[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Ukielewa nieleweshe na mimi
Sipo single 😀😀Rafiki yangu[emoji1787]
Mtoto mzuri[emoji257]
Mwenye stara zake
Mrembo wa ukweli[emoji3590]
Rangi ya mtume[emoji1732]
Wewe pia upo singo [emoji848]