Hakuna mtu "Single" A.K.A mzab zab

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha nicheka mi sielewi kwani kuna nn ?au kipi kimetokea #MSAADA kwa aliye elew labda
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha nicheka mi sielewi kwani kuna nn ?au kipi kimetokea #MSAADA kwa aliye elew labda
Mrembo kagegedwa na de libolo sasa limenoga kumbe jamaa sio wakutulia na demu mmoja.
 
Mpenziwake anakua SabuniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸšΆ
 
Mkuu ivi ni kwamba huwa hujui kuandika kiswahili vizuri au na wewe ni darasa la 7 B mwenzangu??

Kama unashindwa kuandika kiswahili fasaha ukaeleweka basi usiwe unaleta nyuzi humu, mara nyingi umekua ukikosolewa kuwa hueleweki
Kweli kumwelewa bibie hapa unahitaji kuvaa mawani yenye lenzi mbinuko
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Ukielewa nieleweshe na mimi
Rafiki yangu[emoji1787]

Mtoto mzuri[emoji257]

Mwenye stara zake

Mrembo wa ukweli[emoji3590]

Rangi ya mtume[emoji1732]

Wewe pia upo singo [emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…