Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Eti amekataa ofa ulaya kwa vile ameridhika na plans za Rais wa Yanga, jamani.
Hivi unaweza kukataa ofa ulaya kweli, kwahiyo unatuona wote wajinga au utakuwa ulifundishwa kuyasema hayo maneno? Bongo kweli nyoso.
Halafu waandishi popoma wanafurahia na kupost cjui kacheza Motherwell cjui wap, acheni ujinga, mnaua magazeti yenu kwa kuandika udaku, fuatilieni kwann kachemka ulaya, mtuletee ukweli, sio mnamuogopa GSM kwa sababu ya maslahi yenu.
Narudia hayupo mchezaji wa kukataa ofa ulaya, never on earth. Labda Chico Ushindi.
Hivi unaweza kukataa ofa ulaya kweli, kwahiyo unatuona wote wajinga au utakuwa ulifundishwa kuyasema hayo maneno? Bongo kweli nyoso.
Halafu waandishi popoma wanafurahia na kupost cjui kacheza Motherwell cjui wap, acheni ujinga, mnaua magazeti yenu kwa kuandika udaku, fuatilieni kwann kachemka ulaya, mtuletee ukweli, sio mnamuogopa GSM kwa sababu ya maslahi yenu.
Narudia hayupo mchezaji wa kukataa ofa ulaya, never on earth. Labda Chico Ushindi.