Pre GE2025 Hakuna mwana CCM yeyote zaidi ya Rais Samia atakayechukua fomu ya Urais wala kutia nia 2025 kwasababu ya utamaduni wetu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hatumpambi bali kazi zake nzuri Ndizo zinampamba kama Bibi harusi.
Toeni form k2a wengine wapambane kwa hoja mnaogopa nini ?? Mkimbikingiq mnadhihirisha kuwa empty set ....atakuwa mgombea ambae hakushindanishwa .....katiba mnasigina sababu njaa zenu
 
Kumradhi! Kuna changamoto kidogo
Oops! We ran into some problems. Please try again later. More error details may be in the browser console.
 
"utamaduni" siyo "katiba". Kumbe hata Rungwe et al waendeleze tu utamaduni wao na tusiskie kelele tena.
 
"utamaduni" siyo "katiba". Kumbe hata Rungwe et al waendeleze tu utamaduni wao na tusiskie kelele tena.
 
Toeni form k2a wengine wapambane kwa hoja mnaogopa nini ?? Mkimbikingiq mnadhihirisha kuwa empty set ....atakuwa mgombea ambae hakushindanishwa .....katiba mnasigina sababu njaa zenu
Hatumuogopi mtu bali ndio uamuzi wetu huo Kama chama ambao tumeridhishwa na uchapakazi uliotukuka wa Mama yetu kipenzi.Mama amekidhi matarajio ya watanzania na ndio Maana anaungwa mkono na mamilioni ya watanzania
 
Kauli ya CCM na wana CCM wote ni kuwa tuna Imani kubwa sana na Rais Samia na ndiye Mgombea wetu wa Urais hapo Mwakani katika uchaguzi Mkuu.
😏😏😏 aiseee bila kupgwa mnakubalije nyie wajumbe wakamat kuu pawe na mizania ya usawa tunapenda zle joto na pressure ya watiania wenye majina na wasiyo na majina kama mwaka 2015 ile ndyo ilikuwa ubaya ubwela
 
😏😏😏 aiseee bila kupgwa mnakubalije nyie wajumbe wakamat kuu pawe na mizania ya usawa tunapenda zle joto na pressure ya watiania wenye majina na wasiyo na majina kama mwaka 2015 ile ndyo ilikuwa ubaya ubwela
Subiri 2030 wakati Mama yetu kipenzi atakapokuwa anamaliza Muhula wake wa pili.
 
W

w kama Nan? Mbona unavunja katiba Kwa kuzuia watu wasichukue form? Kwa nn unazuia watu kuchukua form ,mm nlienda kuchukua si nitakua nimetimiza haki yang ya kikatiba?
Kama Lucas Mwashambwa.kama hutaki basi hama chama na uunde chama chako na kugombea Urais.
 
Hata mimi sijasema wewe ni chawa! Unaweza kuufanya uongo kuwa ukweli.
Hakuna uongo niliouzungumza.nimetoa na ushahidi na kurejea historia ya chama chetu cha CCM kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania
 
Hata mimi sijasema wewe ni chawa! Unaweza kuufanya uongo kuwa ukweli.
Hakuna uongo niliouzungumza.nimetoa na ushahidi na kurejea historia ya chama chetu cha CCM kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania
 
Hata mimi sijasema wewe ni chawa! Unaweza kuufanya uongo kuwa ukweli.
Hakuna uongo niliouzungumza.nimetoa na ushahidi na kurejea historia ya chama chetu cha CCM kilichobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania
 
Demokrasia haina habari ya utamaduni wetu.

Kwanini mzuie mawazo mbadala?

Wewe kila siku unatuimbia nyimbo za Samia anakubalika.

Sasa kama anakubalika si fomu iwe zaidi ya moja ili tuone watu watakojitokeza ndio mtoe hitimisho, ila kuchapisha fomu moja ni kunyima watu haki yao ya kidemokrasia.
 
Wewe toa zako hizo. Tulishakuambia acha uchawa. Nchi inahitaji kiongozi mrithi wa magufuli kiitikadi. Mtu mzalendo jasiri na tele wa maarifa. Samia sio mtu huyo. Yeye amekua rais kwa mujibu wa katiba tu. Kwanza karibu atuuze dubai. Kipindi chote wanamapinduzi ndani ya chama cha mapinduzi wamekua macho kwelikweli.
 
Toa ujinga wako hapa wewe.Kama unaumia basi hama nchi.lakini watanzania tuna tamba na Mama hadi 2030.
 
Huo ndio Uamuzi wetu wana CCM.Fomu ni moja tu kwa ajili ya Rais Samia.Uchapakazi wake umeliletea maendeleo Taifa letu na hatuna sababu ya kumfikiria Mwingine zaidi yake Mama yetu Mpendwa kipenzi cha watanzania
 
Ulichoandika ndiyo wajinga wote hufikiri hivyo, andiko lako ndiyo kipimo Cha ujinga wako uliopo kichwani. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…