Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Wanaume wamekuwa wakilalamikia baadhi ya wanawake zao kwamba wana midomo na wamekuwa na gubu na ndio sababu kuu ya wengi kuendeleza michepuko. Sasa mimi kwa imani yangu ninaamini kwamba hiyo midomo, kauli chafu na gubu ni matokeo ya mwanaume kuanza tabia chafu, kutomjali mke na kumuoneshea dharau. Wanawake wanapolalamikia hali hizi ndipo wanapoonekana kwamba wana gubu na midomo.
Huwezi kugundulika una michepuko halafu utegemee mkeo aendelee kuwa kimya...anayekuwa kimya ujue kuna nati zimechia mahali au anapanga revenge.
Huwezi kutosimamia familia yako ikiwemo kuwajali watoto na mkeo kwa mavazi, chakula, afya na elimu halafu utegemee kumuona mkeo akiwa kimya...kama atakuwa kimya basi una msaidizi au pia kuna nati kwenye kichwa cha mkeo haijakaza vizuri.
Sasa wababa amua kuwekeza kwenye furaha ya mkeo halafu uje utoe mrejesho maana nyumba itageuka mbingu ndogo. Halafu kumbuka huyu mwanamke unayemuona Ana gubu Leo ni yuelyule ambaye ulimtongoza na ukamuona anafaa kwa ndoa.
Asanteni. Ngojaikampikie uncle wangu.
Huwezi kugundulika una michepuko halafu utegemee mkeo aendelee kuwa kimya...anayekuwa kimya ujue kuna nati zimechia mahali au anapanga revenge.
Huwezi kutosimamia familia yako ikiwemo kuwajali watoto na mkeo kwa mavazi, chakula, afya na elimu halafu utegemee kumuona mkeo akiwa kimya...kama atakuwa kimya basi una msaidizi au pia kuna nati kwenye kichwa cha mkeo haijakaza vizuri.
Sasa wababa amua kuwekeza kwenye furaha ya mkeo halafu uje utoe mrejesho maana nyumba itageuka mbingu ndogo. Halafu kumbuka huyu mwanamke unayemuona Ana gubu Leo ni yuelyule ambaye ulimtongoza na ukamuona anafaa kwa ndoa.
Asanteni. Ngojaikampikie uncle wangu.