Hakuna mwanamke mwenye mdomo mbele ya mumewe

Hakuna mwanamke mwenye mdomo mbele ya mumewe

“Sasa wababa amua kuwekeza kwenye furaha ya mkeo halafu uje utoe mrejesho maana nyumba itageuka mbingu ndogo. Halafu kumbuka huyu mwanamke unayemuona Ana gubu Leo ni yuelyule ambaye ulimtongoza na ukamuona anafaa kwa ndoa.”

Katika ushauri mmbovu ambao siwezi shauri wanaume wenzangu ni huu! Wekezeni kwenye furaha zenu tu sababu hakuna kiumbe ambacho hakinaga shukurani kama mwanamke!

Unampa furaha anajiona beyonce anakupanda kichwani anaenda kugongwa na bodaboda wa mtaani kwenu kwa kutumia hela zako ulizompa halafu anakuona fool!
Kila mtu atafute furaha yake kama unaona mmefikia hatua mbaya
 
Kila mtu atafute furaha yake kama unaona mmefikia hatua mbaya
Hamna hatua mbaya! Tunakosea sana toka awali kwa kutokuweka standards...

Mwanamke ukimuekea standards toka mwanzo hawezi ona humjali but ataishi katika standards ulizomuwekea bila shida!

Tatizo mwanzo wengi hujifanya ni akina Romeo n Juliet kisha badae ukirudi kwenye standards zako asili unaanza kuonekana humjali!

Treating a woman good is a wonderful thing ila ina muda wake maalum sio kila mda ni wa baby sitting. There would be a time utatakiwa u concetrate na mambo yako mengine ila hapo ndipo lawama za kuanza kuambiwa hujali zinapochipukaga!
 
Mwanaume jenga, nunua magari, vaa ila ishi na mwanamke kama mwanamke tu! Treat your family good ila mwanamke abaki katika nafasi yake kuwa ni mwanamke ila sio Mungu wako flani kama wanavyotaka tuwaone 😅

Usijitutumue eti unataka kujifanya jentomeni wa dunia atakachokufanyia hutakaa uamini!😂 Tena hasa hizi ngozi nyeusi dah
Sawa mkuu, tuishi nao kwa akili
 
Hamna hatua mbaya! Tunakosea sana toka awali kwa kutokuweka standards...

Mwanamke ukimuekea standards toka mwanzo hawezi ona humjali but ataishi katika standards ulizomuwekea bila shida!

Tatizo mwanzo wengi hujifanya ni akina Romeo n Juliet kisha badae ukirudi kwenye standards zako asili unaanza kuonekana humjali!

Treating a woman good is a wonderful thing ila ina muda wake maalum sio kila mda ni wa baby sitting. There would be a time utatakiwa u concetrate na mambo yako mengine ila hapo ndipo lawama za kuanza kuambiwa hujali zinapochipukaga!
Usifiche rangi zako toka mwanzo, tukiwa asili toka mwanzo wala hakutakua na kusumbuana
 
Mwanaume jenga, nunua magari, vaa ila ishi na mwanamke kama mwanamke tu! Treat your family good ila mwanamke abaki katika nafasi yake kuwa ni mwanamke ila sio Mungu wako flani kama wanavyotaka tuwaone [emoji28]

Usijitutumue eti unataka kujifanya jentomeni wa dunia atakachokufanyia hutakaa uamini![emoji23] Tena hasa hizi ngozi nyeusi dah
ishi na mwanamke Kama mwanamke tu ..!
Nakazia apa.

Usikubali mwanamke akupangie chochote ..usikubali mwanamke akupande kichwan..!
 
Mbona mna maneno mengi wanawake! Hayo mahitaji ya familia kwani hadi mwanume tu,huu usawa mnao upigania upo wapi?, unakuta mwanamke umeajiriwa tena sehemu nzuri tu ila kila kitu unataka afanye mme kwenye familia,hela zenu hazionekani ,muwe na kazi au msiwe na kazi tofauti haipo.

Endeleeni kulalama tu,mm huwa siwaelewi tangu mkiwa eden, shida yenu haijawahi isha.
Me baba yangu na mama yangu wote ni waajiriwa wa serikali lakini sijawahi kuona baba akimsubiria mama anunue kitu flani kwasababu na yeye Ana mshahara. Baba anasimamia shoo mwanzo mwisho ili matumbo yetu yashibe, tuvae na tusome. Pia anasimamia maendeleo ya familia.
Bila kujali kusimamia shoo baba kwa gharama zake tena alimsaidia mkewe yani mazaa kuongezea elimu hadi kufikia kadiploma ka fani yake (awali aliishia cheti tu).
Sa why mwanaume upigie hesabu kipato cha mkeo? Yeye atoe tu akipenda ila usimlazimishe.
 
Ni ukweli mchungu lakini Nakadori amegusia mambo ya muhimu. Inabidi tuukubali tu wanaume.

Mie kinachonikera sio mtu kueleza mawazo yake au kunikumbusha wajibu na majukumu yangu, ila ile njia anayotumia au namna anavyoongea, hiyo ndio mara nyingi inachefua wanaume.

Lakini mwanamke akitumia njia ya staha na ustaarabu kueleza shida yake au dukuduku lake, wanaume wachache sana wataleta ukorofi. Kwa ufupi hatupendi makelele na kufokewa. Hapo tu ndio hua mnaharibu.
Duhh kumbeee
 
Hujafanya utafiti wa kutosha kuna wanawake wanaongea ndani ya ndoa kama wamemeza flash. Mtu ananung'unika macha usiku hadi kunakucha. Moja ya matokeo yake ndo unakita wanaume wengine wanaishia bar. Poa kuna baadi ya wanawake kibiri hakifai hasa akiwa na kioato ila anataka kila kitu hata chumvi mumewe anunue.

Ukichunguza pesa yake inaenda wapi daily utasikia vikoba, mara nguo na viatu ili tu kuwaringishia wanawake wenzie huo ,domo sasa ukivyo mchafu utadhani hautumii kula chakula. By the way unajua mwanamke akiwa na mchepuko na kiburi kinaongezeka majibu ya shobo kama ya mleta mada sijui ni mpare wa wapi.
Wanaume mnazani kuitwa kichwa cha nyumba ni mchezoo?
Utakuwaje kichwa ikiwa hela ya mkeo unaipigia hesabuu?
 
Wanaume wamekuwa wakilalamikia baadhi ya wanawake zao kwamba wana midomo na wamekuwa na gubu na ndio sababu kuu ya wengi kuendeleza michepuko. Sasa mimi kwa imani yangu ninaamini kwamba hiyo midomo, kauli chafu na gubu ni matokeo ya mwanaume kuanza tabia chafu, kutomjali mke na kumuoneshea dharau. Wanawake wanapolalamikia hali hizi ndipo wanapoonekana kwamba wana gubu na midomo.

Huwezi kugundulika una michepuko halafu utegemee mkeo aendelee kuwa kimya...anayekuwa kimya ujue kuna nati zimechia mahali au anapanga revenge.

Huwezi kutosimamia familia yako ikiwemo kuwajali watoto na mkeo kwa mavazi, chakula, afya na elimu halafu utegemee kumuona mkeo akiwa kimya...kama atakuwa kimya basi una msaidizi au pia kuna nati kwenye kichwa cha mkeo haijakaza vizuri.

Sasa wababa amua kuwekeza kwenye furaha ya mkeo halafu uje utoe mrejesho maana nyumba itageuka mbingu ndogo. Halafu kumbuka huyu mwanamke unayemuona Ana gubu Leo ni yuelyule ambaye ulimtongoza na ukamuona anafaa kwa ndoa.
Asanteni. Ngojaikampikie uncle wangu.
Hapo sawa Uncle

Pishi lako nalisubirj 😅
 
Waambie ndugu zako
mdogo mdogo wataelewa tuu. mke n wa kukusaidia kupata mbususu regulary huku ikiwa unawinda zingine taratibu lakini sio kutegemea eti kujenga maisha nae au kusaidiana
 
Back
Top Bottom