Hakuna mwanamke mwenye mdomo mbele ya mumewe

Zqmani kulikuws na wanaume!!!!!


Siku hizi kuna jinsia ya kiume.


Tulee watoto wetu wawe wanaume!!!!!
 
Heheh gram mbili kwa sanamu nzimaaa?
Hawa wanaume wa humu washakugeuza moyo ...shogaa hawa wanaume watakutoa machoo...unaona ninavyopondwaaa? Eti nitakuwa wale wenye mdomo
[emoji1787][emoji1787]wanaume ni kama watoto dear, tuwalee tu
 
Zqmani kulikuws na wanaume!!!!!


Siku hizi kuna jinsia ya kiume.


Tulee watoto wetu wawe wanaume!!!!!
Kabisa mkuu,
We pata picha wanaume walivyo crush swala la wao kusimamia shoo. Yani hawataki kusikia. Baba awe baba na kichwa cha nyumba na mama awe mama kama msaidizi wa baba.
 
Wanapinga sana ila kuna mahali wamefeli sasa wanahamishia mzigo kwetu. Hebu waamue kuwa wanaume halafu tuone nini kitafuata.
Wanaume wakiamua kuwa wanaume mbona dunia ni salama sana, wanawake tumeumbwa na moyo wa upendo na uvumilivu sana
 
Mwanamke anauheshimu MWANAUME tu, ukiona huheshimiki basi ujue unapungua kuwa MWANAUME.
 





Ova
 
Du blaza umeamua kufukua kaburi?
 
Nini cha ajabu
 
Moderator Kichwa cha habari naomba kisomeke
"Hakuna mwanamke mwenye mdomo mbele ya uncle wake"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…