Hakuna mwanamke wa kufa na mwanaume mmoja wala mwanaume wa kufa na mwanamke mmoja

Hakuna mwanamke wa kufa na mwanaume mmoja wala mwanaume wa kufa na mwanamke mmoja

Ashampoo burning

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2023
Posts
593
Reaction score
2,219
aAshampoo jana nilienda kusuluhisha ndoa fulani huko sasa wakaniuliza ashampoo kama mjomba una ushauri gani nikajibu hakuna wakufa wa ndizi moja wala wa kufa na kitasa kimoja mvumiliane tu mrudiane. Sijui walinielewa hakunielewa nikakaa kimya

Nisipotezee muda sana nataka niwahi kazini unajua nipo nafanya kazi kama businessman posta mpya hivyo nashuhudia mengi sana hasa wame na wake za watu wakihangaika ila mimi bado sijaoa nipo nipo kwanza

Ushauri baada ya kufanya research na kuona wake za posta na wame za watu wakihangaika kutafuta ndizi na vitasa vipya nimeona tu niwaambie ukweli kabla hujaingia kwenye ndoa jua hili

Hakuna mwanamke ataingia kwenye ndoa eti hadi anakufa anakula ndizi moja tu hilo halipo na ondoa kichwani kuna siku atatamani kula matoke ... kidogo kula ndizi mshale ..ndizi mbivu ...hata kama umkamate au usimkamate kikubwa kuomba heshima iwepo ale ndizi hizo zingine kwa heshima bila kukuonesha

Na wewe mwanamke usije fikirie kuna mwanaume akiingia kwenye ndoa atakufa anafungua kitasa kimoja tu....kuna siku akiwa wa ovyo atafungua hadi kitasa cha chumba cha beki tatu wenu ,atafungua vitasa vya chuo kikuuu ,atafungua vitasa vya ofisini ...ile funguo sio yako...

Tunafanyaje sasa ukigundua

Mwanamke wako ukiona anakula ndizi zingine labda kala bonge la ndizi matoke kaanza dharau kwako msaheme mara tatu akirudia hakuna ndoa hapo sepa tena ukute wewe ni ndizi mbivu zile ndogo na huna hela sepa haraka sana mleee tu watoto..NARUDIA MSAMEHE MARA TATU TU AKIZIDISHA HAPO NI MLOO WA NDIZI piga chini atakuja kula hata ndizi za mlinzi wenu getini au hata ndizi za muuza genge

Kwa mwanaume kidogo hawa jamani muwavumilie mungu kawaumba hivyo ile ni funguo inafungua vitasa vingi ukigundua kafungua kitasa kingine ila bado anakuheshimu vumilia kidogo ...msamehe mara 5...akizidisha hapo piga china hiyo funguo ni ya kijiji haifai ...

VITASA NA NDIZI NAWAAGA BAADAE
 
Kama wewe ni therapisti,tumepigwa.Yaani ushauri wako wakimchongo,unajua kusamehe mara tatu wewe?Nikute tu msg,"mambo cousin"imeisha
 
Mara 3 yote hiyoo? Siku ukirudi jioni halafu nakuona uko weird hauko kawaida halafu unanipita sebuleni haraka haraka unaenda bafuni, ukitoka tu bafuni unakuta mizigo yako iko nje.
 
Mnatumia nguvu nyingi sana ku "normalised" infidelity, uzinzi sio kitu cha kupigia chapuo
 
Acha kudate na wasanii wa bongo freva mkuu unaleta uzoefu wa ndoa yako na kajala
 
Back
Top Bottom