Hakuna mwanasiasa/Rais aliweza kupambana na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) na akashinda!

Angalia utachekwa sana kwenye huu mjadala unapiga Dana Dana na kuruka ruka! Hata yeye akisoma atakushangaa.
Wewe tuambie walifanikiwa nini?
TEC walipiga jalamba makanisani nchi nzima kumwangusha JK, mpk wagalatia wa CCM wakaungana na kanisa.
Mtoto wa mjini akaiingiza familia yake kwenye kampeni mwisho wa siku hiyo TEC haikuweza kumweka Padri Slaa
 
Kwa kifupi kabisa, Viongozi wa Serikali yetu hawawezi hata kidogo kushindana na TEC.
TEC hawana tabia ya kuropoka ropoka, lakini wana power kweli kweli.
Ilikuwa zamani hiyo enzi za Nyenyere.
Sasa hv wanaropoka hovyo hovyo tu dalili za kuishiwa
 
Utamani iwe hivyo?
 
Wewe tuambie walifanikiwa nini?
TEC walipiga jalamba makanisani nchi nzima kumwangusha JK, mpk wagalatia wa CCM wakaungana na kanisa.
Mtoto wa mjini akaiingiza familia yake kwenye kampeni mwisho wa siku hiyo TEC haikuweza kumweka Padri Slaa
Ulisimuliwa au ulikuepo? Slaa lini aligombea urais na lini alionesha Nia ya kugombea urais,

Tupe evidence Moja au mbili TEC wakimdenouce JK, na utaje hao watu kutoka huko Galatia waliojounga na kanisa Kwa muktadha huo..
Na utuambie bila shaka familia ya JK iliyoingia kwenye kampeni na uwataje Kwa majina na roles zao. Vinginevyo wewe ni mwimba ngonjra.

TEC haijawahi na haitawahi kumfanyia mtu kampeni awe Rais awe mpagani au mwislamu au mkristo. Umeandika uwongo
 
Jifunze hta kuandika 🤣🤣...Mimi sili rushwa wala kulewa ni haramu kwangu kabisa..

Nataenda haki na sio kuwa mjinga wa kupelekwa na tamaa za kidunia ,naheshimu mawazo ya kila mtu bila kuleta vitisho kama kikund chenu cha ngoma hicho .
Kulewa kwako ni haramu ila RUSHWA,KUUWA NA KUPORA MALI ZA WATU ni halali kwako.
 
Jibu ni kwamba ALIPINGA hakuna cha kuhama mada,Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
 
Unachonganisha kanisa na watu wasiolipenda ujue?! Sio sifa. Hii inapelekea vita vya chini kwa chini na watu kutengeneza agenda za kuwaangamiza. Stop this foolishness.
 
kuanza kupambana na TEC ni utoto mkubwa tec wana watu wengi kuliko taasisi nyingine yoyote, na wana mfumo wa kuwafikia watu wao kwa ufanisi mkubwa, ni kweli anayecheza karata vibaya na TEC, njia pekee atayobaki nayo ni kutumia jeshi la wezi wa kura.
 
Mkuu, ninachokiona katika hoja zako ni personal incredulity fallacy!

Yaani kwa fikra zako unadhani TEC kwa historia yake nchini wanaweza kupambania suala ambalo halina maslahi kwa taifa?

Nadhani wewe ndiye unayedhani hoja za TEC niza kidini.


Hapa sidhani Kama unamaanisha kutoka moyoni?!

Umeongea kisukari sana.


Siku zote inajulikana na wala sio Siri kwamba linapokuja suala la maslahi basi Kanisa Katoliki linasimamia maslahi ya kanisa lake kwanza kabla ya yeyote yule na chochote kile.

Kumbukumbu za Rwanda’s genocide na role waliyoplay RC ni mbichi bado.

Kumbukumbu za matukio ya Zanzibar Revolution in 1964 na juhudi zao katika hilo bado zipo barazani.

Huko DRC wala sitaki kupagusia.

Kanisa Katoliki ni jeshi kubwa sana, hilo halina upinzani na wakitaka jambo lao litimie kweli linatimia ila pia tukumbuke kuna history mbaya dhidi yao katika matukio mengi ya kusimamia maslahi ya yeyote na chochote.


Kama Papa Francis alivyosema alipotembelewa na Rais Kagame in 2017, Catholic Priests & Nuns are just mare humans and some will succumb to their own desires just because of their human nature.







Suala la Bandari za Tanzania, tuendelee kuwashukuru kwa kupunguza angalau speed ya huu mchakato wa uwekezaji ili tuzione picha halisi za pande zote kwa ukamilifu.


Nimesema wamepunguza speed ya huu mchakato wa ndoa kati ya Tanganyika na DP World maana sioni dalili za ‘Serikali’ ya Madam President Samia iki back down.

The current political geography & international hookups we are involved in simply makes it almost deadly to make any move, any! Kuinywa ya moto, Kuitema tamu.
 
Raisi Samia lazima awe makini na watu wanaomzunguka.
Wanamgombanisha na Watanganyika.
Hao wapigaji.

Wapigaji (Wanaume) kwa niaba ya Dr. Mongela.

Ila Raisi lazima atuombe radhi Watanganyika.
Tulisha uzwa kwa Waarabu
Mkuu, kwani Rais hajui kama "wanaomzunguka" wanangombanisha na Watanganyika?

Hii dhana ya kusema Rais "anapotoshwa" na washauri wake mnaitoa wapi? Kwa hiyo tukubaliane kuwa Rais hana uwezo wa kupambanua mambo ndio maana anakubali kupotoshwa!
 
Zitto ameanza Vita na TEC ya livelive
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…