UDENYE
JF-Expert Member
- Mar 17, 2016
- 318
- 201
Hayo maneno matamu ila hayana ukweli.Mungu - Yehova muumba wa mbingu na nchi na vyote vilivyomo katika Yesu Kristo mwokozi wa ulimwengu ukiwemo wewe. Soma👇👇
Yohana 3:16-18 SUV
"...Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye. Amwaminiye yeye hahukumiwi; asiyeamini amekwisha kuhukumiwa; kwa sababu hakuliamini jina la Mwana pekee wa Mungu..."
Kama huamini hayo☝️☝️ maneno hilo ni tatizo lako la kutoamini. Ila siku hiyo utakuja kushangaa kukumbushwa kuwa alitokea mtu kwenye mtandao mmoja wa kijamii uitwao Jamii Forum akakuambia habari zangu lakini hukuamini..
Mfano wake ni kama mzee Suzuki kule Japan atengeze Suzuki aina tofauti nyingi sana, mwisho aamue mwanae mmoja amgeuze aina moja wapo ya gari za Suzuki, akaokoe suzuki mitaani?
Au mtengeza fenicha pale keko afanye maamuzi ya kumgeuza mwanae kochi la kukalia ili tu akaokoe fenicha majumbani.
Mungu ndio mueza wa kila jambo sasa inakuwaje tena ajigeuze kiumbe dhaifu alichokiumba mwenyewe.
Yakobo 1:17
Mungu habadiliki, kama kugeuka kwa kivuli.”
Malaki 3:6
Mimi ni Yehova; sikubadilika.”
Qurani: 18:4
"Further, that He may warn those (also) who say, "God" hath begotten a son".
18:15. No knowledge have they of such a thing, nor had their fathers. It is a grievous thing that issues from their mouths as a saying what they say is nothing but falsehood!