Hakuna mwanasiasa/Rais aliweza kupambana na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) na akashinda!

Hayo maneno matamu ila hayana ukweli.
Mfano wake ni kama mzee Suzuki kule Japan atengeze Suzuki aina tofauti nyingi sana, mwisho aamue mwanae mmoja amgeuze aina moja wapo ya gari za Suzuki, akaokoe suzuki mitaani?
Au mtengeza fenicha pale keko afanye maamuzi ya kumgeuza mwanae kochi la kukalia ili tu akaokoe fenicha majumbani.
Mungu ndio mueza wa kila jambo sasa inakuwaje tena ajigeuze kiumbe dhaifu alichokiumba mwenyewe.
Yakobo 1:17
Mungu habadiliki, kama kugeuka kwa kivuli.”
Malaki 3:6
Mimi ni Yehova; sikubadilika.”
Qurani: 18:4
"Further, that He may warn those (also) who say, "God" hath begotten a son".
18:15. No knowledge have they of such a thing, nor had their fathers. It is a grievous thing that issues from their mouths as a saying what they say is nothing but falsehood!
 
Magu, hadi pengo akawaruka wenzake hao TEC wanakua na mdomo mrefu rais akiwa muislam
 
Yule si kiongozi wa dini
kwahiyo akiharibu kiongozi mmoja wa dini wote wameharibu? shehe mmoja uarabuni akijilipua kwa bomu kwasababu yeye ni gaidi basi tuseme mashehe wote ni magaidi? ukiwa na mawazo hayo utakuwa umepotea sana. sweeping generalization huwa sio kitu sahihi.
 
Hayo ni mawazo yaliyopo kichwani kwako tu,Samia kama MUNGU atamjalia afya na uhai,ataendelea kuwa raisi wa nchi hii mpaka hapo 2030,na maendeleo mengi makubwa atayafanya na kuiacha hii nchi ikiwa na maendeleo makubwa.
 
Hayo ni mawazo yaliyopo kichwani kwako tu,Samia kama MUNGU atamjalia afya na uhai,ataendelea kuwa raisi wa nchi hii mpaka hapo 2030,na maendeleo mengi makubwa atayafanya na kuiacha hii nchi ikiwa na maendeleo makubwa.
Heri yako kutabili yasiyotabirika maana kama kuna jambo Mwenyezi Mungu analichukia ni kutawaliwa na mtu asiye na maono ambaye mtazamo wake unategemea tu utegemezi ili kuendesha nchi yake.
 
Nimesema kama isingekuwa tamko la TEC kwa sasa bunge kingekuwa limeishafanya mchakato wa kuzifuta sheria za umiliki wa maliasili za mwaka 2017.
Hao Tec ni huko huko makanisani tu ndio wanaheshimika, huku mtaani hao ni waropokwaji tu kama wengine, wala watu hata wajui wamesemaje na serikali inaendelea namipango yake bila kujali Tec au yoyote yule.
 
Mkuu, kwani Rais hajui kama "wanaomzunguka" wanangombanisha na Watanganyika?

Hii dhana ya kusema Rais "anapotoshwa" na washauri wake mnaitoa wapi? Kwa hiyo tukubaliane kuwa Rais hana uwezo wa kupambanua mambo ndio maana anakubali kupotoshwa!

Wala hawamaanishi hivyo. Ni namna ya Watanzania kuwa very polite kwa kiti cha uRais. Hapo wanajaribu tu kumpa message yeye mwenyewe indirectly.
 
2010 ulikuwa na umri gani dogo!
Usidandie dandie tu mazungumzo ya wakubwa, kaa pembeni usikilize utapata faida
 
Ccm mna laana
 
Kwani TEC inashindana na Rais/Wanasiasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…