Hakuna Mwanaume anayejali, kupenda, kuheshimu mke kama Mkurya!

Hakuna Mwanaume anayejali, kupenda, kuheshimu mke kama Mkurya!

UMUGHAKA

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2021
Posts
2,753
Reaction score
12,932
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!

Enyi akina dada ambao mmekuwa mkitendwa kila siku na baadhi ya wanaume ambao hawajitambui na kueleweka, naomba niwaletee kwenu kabila la watu makini, wanaojitambua, wanaojiheshimu, wanaojali, walio na upendo wa dhati!, si mwingine bali ni Mkurya!.

Wakurya Mungu katupatia moyo wa upendo na unyenyekevu kupita kiasi na ndiyo maana huwa hatuna desturi ya kuchepuka!. Mkurya kuchepuka ni laana na ndiyo maana huwa hatuchepuki!.

Kitu kingine ambacho Mungu katujalia ni kusukuma misonobari ya uhakika!, sababu ya kusukuma misonobari ni kwakuwa tunakula chakula (Ubhukima) hatuli mboga (Chipsi mayai).

Hivyo niwaombe kina dada ambao mnateswa na mapenzi, hebu karibuni Ukuryani mu-enjoy mapenzi, achaneni na maumivu!.
 
Ah ah ukitaka kujua tabia ya Mwanaume wa kurya ikoje waulize wanawake wa kinyaturu maana wanahistolia nao nzuri tuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!

Enyi akina dada ambao mmekuwa mkitendwa kila siku na baadhi ya wanaume ambao hawajitambui na kueleweka, naomba niwaletee kwenu kabila la watu makini, wanaojitambua, wanaojiheshimu, wanaojali, walio na upendo wa dhati!, si mwingine bali ni Mkurya!.

Wakurya Mungu katupatia moyo wa upendo na unyenyekevu kupita kiasi na ndiyo maana huwa hatuna desturi ya kuchepuka!. Mkurya kuchepuka ni laana na ndiyo maana huwa hatuchepuki!.

Kitu kingine ambacho Mungu katujalia ni kusukuma misonobari ya uhakika!, sababu ya kusukuma misonobari ni kwakuwa tunakula chakula (Ubhukima) hatuli mboga (Chipsi mayai).

Hivyo niwaombe kina dada ambao mnateswa na mapenzi, hebu karibuni Ukuryani mu-enjoy mapenzi, achaneni na maumivu!.
DeepPond ni vita muraaaaa
 
Makabira zaidi ya 120 umetumia methodology zipi

Waliajiri wakurya wengi kwenye vyombo vya ulinzi na usalam!,Kwani walitumia methodology gani wakati makabila ni zaidi ya 120?
 
Back
Top Bottom