Hakuna Mwanaume anayependa Ukaribu na Jinsia ya Kike na sio Malaya

Hakuna Mwanaume anayependa Ukaribu na Jinsia ya Kike na sio Malaya

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
8,774
Reaction score
13,566
Fanya tafiti na anza na kujitafiti wewe Mwenyewe.

Iko hivi. Twende moja kwa Moja kwenye mahusiano kati ya Mwanaume na Mwanamke ambao wapo kwenye rika linalo endana, wewe mwanaume unaweza tongoza yani anafaa kwa Kilimo cha mbogamboga.

Binafsi huwa siwezi kabisa kudumisha urafik na mwanamke, kabisa yani.

Kwa kutambua hilo sinaga muda kabisa wa urafiki na hao viumbe, yani siwezi kabisa kuwa na urafiki nao, urafiki ambao sijui kabisa unahusiana na nini.

Nikizungumza na Mwanamke ni yule tunafanya kazi ofisi moja, au Ni mambo ya Kanisa full stop. Mbali na hapo ladba awe ndugu yangu.

Kama nikifanya urafiki na Mwanamke uwa nafanya huku tayari nimemwambia kuwa nampenda, na kikubwa nasubiri jibu lake.

Binafsi bado sioni urafiki kati ya Mwanamke na Mwanaume, labda ex wangu kidogo tunaweza zungumza na Kupiga Story.

Sasa kuna vidume wenzangu wana shobo hadi sio poa. Ifike mahali wanaume tuanze kijishtukia aiseee.

Urafiki na mwanamke ni kwenye kazi au Shuleni tu full stop. Mbali na hapo anakupotezea Muda tu. Keep her kama una malengo naye tu, mbali na hapo hizo shobo, tujifunze kubalance shobo

Unakua na rafiki wa kike kila siku wewe ndio wakuombwa hela, kila siku wewe ndio wakumpa Zawadi.

Asili ya mwanamke ni kupenda Kupewa, sasa huna malengo nae unatafuta ukaribu nae wa nini? Utoboke kwake then wewe siku ukiwa na shida ndio unatafuta wanaume wenzio?

Sawa wanawake ni Mapambo ya Dunia, lakini wanaume tunatakiwa tujue nini tunataka tupunguze kushikwa Masikio.

Mwanaume Piga kazi, kuwa na mahusiano ya kimapenzi. Achana na urafik usio kuwa na kichwa wala miguu.

Tuambie upo Upande gani, wale wa shobo milioni hadi kwa mademu za watu, au hupendi shobo kabisa?

Mwanamke huna content kichwani wala hujanivutia uzuri wako, kaa kushoto sina Muda na umbea

Mwamba unajikuta msamalia mwema. Ukisemeshwaa na mwanamke unacheka cheka tu hata kitu hakichekeshi. Duu
 
Kaka hv vitu havina formula kaka, lkn ukiwa na shobo sana na wanawake aisee hata haki ya kikatiba ya kutafuna🍑🍑 unaweza usipate, lkn Kuna mjomba yupo bize na mambo yake hana mda na wanawake unashangaa wadada wanampa attention
Kumpa attention usiemjua ni sawa but iwe for reason ya maana. unamtaka, unataka kumsaidia kitu au mnafanya kazi pamoja.

Kuna msela alikuaga ananikela kinoma,
Yani anaomba mkopo wa hela Akaruke na Demu chimbo jipya, demu mbovu balaa, na kujitetea juu ety nataka nikapige mala moja tu, shenziiii kabisa moyoni najisemea ingekua shemeji yangu sawa ningekuelewa.
 
Anakua na tabia za kike kike asee Ni tabia mbaya...Kuna mhindi mmoja nimeona Jana sehem x anapita anajishebedua Kama wale mamiss wanavofanya kwenye mashindani mbele ya vidume alafu chakushangaza zaidi wale jamaa walishangilia balaaa...nilicheka hatari. Any way urafiki na wanawake sio, mtavunjiana heshima siku moja

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Fanya tafiti na anza na kujitafiti wewe Mwenyewe.

Iko hivi. Twende moja kwa Moja kwenye mahusiano kati ya Mwanaume na Mwanamke ambao wapo kwenye rika linalo endana, wewe mwanaume unaweza tongoza yani anafaa kwa Kilimo cha mbogamboga.

Binafsi huwa siwezi kabisa kudumisha urafik na mwanamke, kabisa yani.

Kwa kutambua hilo sinaga muda kabisa wa urafiki na hao viumbe, yani siwezi kabisa kuwa na urafiki nao, urafiki ambao sijui kabisa unahusiana na nini.

Nikizungumza na Mwanamke ni yule tunafanya kazi ofisi moja, au Ni mambo ya Kanisa full stop. Mbali na hapo ladba awe ndugu yangu.

Kama nikifanya urafiki na Mwanamke uwa nafanya huku tayari nimemwambia kuwa nampenda, na kikubwa nasubiri jibu lake.

Binafsi bado sioni urafiki kati ya Mwanamke na Mwanaume, labda ex wangu kidogo tunaweza zungumza na Kupiga Story.

Sasa kuna vidume wenzangu wana shobo hadi sio poa. Ifike mahali wanaume tuanze kijishtukia aiseee.

Urafiki na mwanamke ni kwenye kazi au Shuleni tu full stop. Mbali na hapo anakupotezea Muda tu. Keep her kama una malengo naye tu, mbali na hapo hizo shobo, tujifunze kubalance shobo

Unakua na rafiki wa kike kila siku wewe ndio wakuombwa hela, kila siku wewe ndio wakumpa Zawadi.

Asili ya mwanamke ni kupenda Kupewa, sasa huna malengo nae unatafuta ukaribu nae wa nini? Utoboke kwake then wewe siku ukiwa na shida ndio unatafuta wanaume wenzio?

Sawa wanawake ni Mapambo ya Dunia, lakini wanaume tunatakiwa tujue nini tunataka tupunguze kushikwa Masikio.

Mwanaume Piga kazi, kuwa na mahusiano ya kimapenzi. Achana na urafik usio kuwa na kichwa wala miguu.

Tuambie upo Upande gani, wale wa shobo milioni hadi kwa mademu za watu, au hupendi shobo kabisa?

Mwanamke huna content kichwani wala hujanivutia uzuri wako, kaa kushoto sina Muda na umbea

Mwamba unajikuta msamalia mwema. Ukisemeshwaa na mwanamke unacheka cheka tu hata kitu hakichekeshi. Duu
Mwenye masikio na asikie hata mm binafsi huo ujinga nishaukataa kabisa.uko sahihi mkuu,halafu kingine wanaume wanamna hyo hapo wasiojua kubance shobo niwatu wasio jiamini ktk mienendo yao.hawamini guts zao.
 
Fanya tafiti na anza na kujitafiti wewe Mwenyewe.

Iko hivi. Twende moja kwa Moja kwenye mahusiano kati ya Mwanaume na Mwanamke ambao wapo kwenye rika linalo endana, wewe mwanaume unaweza tongoza yani anafaa kwa Kilimo cha mbogamboga.

Binafsi huwa siwezi kabisa kudumisha urafik na mwanamke, kabisa yani.

Kwa kutambua hilo sinaga muda kabisa wa urafiki na hao viumbe, yani siwezi kabisa kuwa na urafiki nao, urafiki ambao sijui kabisa unahusiana na nini.

Nikizungumza na Mwanamke ni yule tunafanya kazi ofisi moja, au Ni mambo ya Kanisa full stop. Mbali na hapo ladba awe ndugu yangu.

Kama nikifanya urafiki na Mwanamke uwa nafanya huku tayari nimemwambia kuwa nampenda, na kikubwa nasubiri jibu lake.

Binafsi bado sioni urafiki kati ya Mwanamke na Mwanaume, labda ex wangu kidogo tunaweza zungumza na Kupiga Story.

Sasa kuna vidume wenzangu wana shobo hadi sio poa. Ifike mahali wanaume tuanze kijishtukia aiseee.

Urafiki na mwanamke ni kwenye kazi au Shuleni tu full stop. Mbali na hapo anakupotezea Muda tu. Keep her kama una malengo naye tu, mbali na hapo hizo shobo, tujifunze kubalance shobo

Unakua na rafiki wa kike kila siku wewe ndio wakuombwa hela, kila siku wewe ndio wakumpa Zawadi.

Asili ya mwanamke ni kupenda Kupewa, sasa huna malengo nae unatafuta ukaribu nae wa nini? Utoboke kwake then wewe siku ukiwa na shida ndio unatafuta wanaume wenzio?

Sawa wanawake ni Mapambo ya Dunia, lakini wanaume tunatakiwa tujue nini tunataka tupunguze kushikwa Masikio.

Mwanaume Piga kazi, kuwa na mahusiano ya kimapenzi. Achana na urafik usio kuwa na kichwa wala miguu.

Tuambie upo Upande gani, wale wa shobo milioni hadi kwa mademu za watu, au hupendi shobo kabisa?

Mwanamke huna content kichwani wala hujanivutia uzuri wako, kaa kushoto sina Muda na umbea

Mwamba unajikuta msamalia mwema. Ukisemeshwaa na mwanamke unacheka cheka tu hata kitu hakichekeshi. Duu

Nikwambie kitu tafuta hela bado hujatoboa [emoji1787][emoji1787] tafuta hela hakuna manzi wa kushoboka na wewe km huna pay ndiomana na wewe hutaki kujichora
 
Fanya tafiti na anza na kujitafiti wewe Mwenyewe.

Iko hivi. Twende moja kwa Moja kwenye mahusiano kati ya Mwanaume na Mwanamke ambao wapo kwenye rika linalo endana, wewe mwanaume unaweza tongoza yani anafaa kwa Kilimo cha mbogamboga.

Binafsi huwa siwezi kabisa kudumisha urafik na mwanamke, kabisa yani.

Kwa kutambua hilo sinaga muda kabisa wa urafiki na hao viumbe, yani siwezi kabisa kuwa na urafiki nao, urafiki ambao sijui kabisa unahusiana na nini.

Nikizungumza na Mwanamke ni yule tunafanya kazi ofisi moja, au Ni mambo ya Kanisa full stop. Mbali na hapo ladba awe ndugu yangu.

Kama nikifanya urafiki na Mwanamke uwa nafanya huku tayari nimemwambia kuwa nampenda, na kikubwa nasubiri jibu lake.

Binafsi bado sioni urafiki kati ya Mwanamke na Mwanaume, labda ex wangu kidogo tunaweza zungumza na Kupiga Story.

Sasa kuna vidume wenzangu wana shobo hadi sio poa. Ifike mahali wanaume tuanze kijishtukia aiseee.

Urafiki na mwanamke ni kwenye kazi au Shuleni tu full stop. Mbali na hapo anakupotezea Muda tu. Keep her kama una malengo naye tu, mbali na hapo hizo shobo, tujifunze kubalance shobo

Unakua na rafiki wa kike kila siku wewe ndio wakuombwa hela, kila siku wewe ndio wakumpa Zawadi.

Asili ya mwanamke ni kupenda Kupewa, sasa huna malengo nae unatafuta ukaribu nae wa nini? Utoboke kwake then wewe siku ukiwa na shida ndio unatafuta wanaume wenzio?

Sawa wanawake ni Mapambo ya Dunia, lakini wanaume tunatakiwa tujue nini tunataka tupunguze kushikwa Masikio.

Mwanaume Piga kazi, kuwa na mahusiano ya kimapenzi. Achana na urafik usio kuwa na kichwa wala miguu.

Tuambie upo Upande gani, wale wa shobo milioni hadi kwa mademu za watu, au hupendi shobo kabisa?

Mwanamke huna content kichwani wala hujanivutia uzuri wako, kaa kushoto sina Muda na umbea

Mwamba unajikuta msamalia mwema. Ukisemeshwaa na mwanamke unacheka cheka tu hata kitu hakichekeshi. Duu
Ngj waje waone
 
Kinachoharibu Urafiki na wanawake.

Ni ukiwasaidia Wanahisi unatengeneza gia ya kuanzisha nao mahusiano, wanaanza kua omba omba wanageuza msaada Kama wajibu wako.

Na ukiwakopesha deni lako hawalipi wanaishia kujichekesha kipumbavu wasilipe, kumbe you mean business.

Urafiki na ke,
Unafaa upate mwanamke asiye na instinct za kiudangaji au kukutaka kimapenzi.

Mbona wapo single mama kibao wako serious wanachapa kazi, hawaombi ombi ela, tunashirikiana nao Sana Kwny vikao vya biashara?
 
Nikwambie kitu tafuta hela bado hujatoboa [emoji1787][emoji1787] tafuta hela hakuna manzi wa kushoboka na wewe km huna pay ndiomana na wewe hutaki kujichora
Unataka nifanye kazi ya kujisifia kwako ???
Kila mtu apambane na hali yake tu dada angu, Ukijiona unaakili sana kuzidi mimi na una hela sana kuzidi mimi fresh. hongera.
wewe hunijui, nisome vizuri huenda ukanijua jua kidogo

unaandika Cute ili tuhisi wewe cute hahahaaaaaa.
Kama kichwani matope sisi tunaelewa tu, na kama hiyo kichwa yako ina content tutaelewa tu 😃😃
 
Kinachoharibu Urafiki na wanawake.

Ni ukiwasaidia Wanahisi unatengeneza gia ya kuanzisha nao mahusiano, wanaanza kua omba omba wanageuza msaada Kama wajibu wako.

Na ukiwakopesha deni lako hawalipi wanaishia kujichekesha kipumbavu wasilipe, kumbe you mean business.

Urafiki na ke,
Unafaa upate mwanamke asiye na instinct za kiudangaji au kukutaka kimapenzi.

Mbona wapo single mama kibao wako serious wanachapa kazi, hawaombi ombi ela, tunashirikiana nao Sana Kwny vikao vya biashara?
Heshima kwao
 
Back
Top Bottom