Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ambae sio type yako anaweza kuwa rafik, ila kwa sababu ya msingi, labda ni mteja wako, au wewe ndie mteja wako. au kakuomba ushauri, so, unaweza mpa time yako kidogoKwa umri huu sili kila ninachokipata,nakula ninachokitaka...
So kuna ambao naona siwezi kuwala hata waweje..hao wanaweza kuwa marafiki.
wakiniwashia moto namuita GENTAMYCIME aka Putin aje anisaidie hahahaaaNgj waje waone
Mwenye sikio la asikie hizi madini kutoka kwa DeepPond aka baba jUrafiki na wanawake inategemea na wee mwnyw umejiweka vipi, KIUME au KIKE KIKE
Ukijiweka Kimama-mama Kama shoga yao lazima wakuvunjie heshima na wakianza sarakasi zao Hakuna rangi utaacha kuona.
Oneni nondo hizi.mkuu ii naichukuaBinafsi Ninae rafiki wa kike,
Sijutii kumfahamu na siwazi kumla
Kanisevu michongo mingi sn na bado namhitaji, kumla litakua kosa kubwa sn la kiufundi. Wanaume tuache Tamaa
Upo sahihi mkuuKinachoharibu Urafiki na wanawake.
Ni ukiwasaidia Wanahisi unatengeneza gia ya kuanzisha nao mahusiano, wanaanza kua omba omba wanageuza msaada Kama wajibu wako.
Na ukiwakopesha deni lako hawalipi wanaishia kujichekesha kipumbavu wasilipe, kumbe you mean business.
Urafiki na ke,
Unafaa upate mwanamke asiye na instinct za kiudangaji au kukutaka kimapenzi.
Mbona wapo single mama kibao wako serious wanachapa kazi, hawaombi ombi ela, tunashirikiana nao Sana Kwny vikao vya biashara?
Pia kuna watu muhimu kwenye maisha yetu,ukimla siku mapenzi yakiisha na urafiki ndio Bye bye [emoji112]Hata ambae sio type yako anaweza kuwa rafik, ila kwa sababu ya msingi, labda ni mteja wako, au wewe ndie mteja wako. au kakuomba ushauri, so, unaweza mpa time yako kidogo
Kiufupi wanadhani tukiwaona wapo na ukaribu na mademu wengi tunajua kuwa wao ni miamba yani mtu mmekaa maskani Kila demu akipita atataka amuongeleshe Kisha achukue nambaMwenye masikio na asikie hata mm binafsi huo ujinga nishaukataa kabisa.uko sahihi mkuu,halafu kingine wanaume wanamna hyo hapo wasiojua kubance shobo niwatu wasio jiamini ktk mienendo yao.hawamini guts zao.
nilikuwaga nae mmoja aisee,nilipasuka mara mbili tatu nikaona hapana urafiki na hv viumbe haiwezekani...BY THE WAY UNAWEZA KUWA NAE ILA AWE ANAJIWEZA HUWA HAWANA SHIDA ILA ASIYEJIWEZA MZIGO TENA HEAVYFanya tafiti na anza na kujitafiti wewe Mwenyewe.
Iko hivi. Twende moja kwa Moja kwenye mahusiano kati ya Mwanaume na Mwanamke ambao wapo kwenye rika linalo endana, wewe mwanaume unaweza tongoza yani anafaa kwa Kilimo cha mbogamboga.
Binafsi huwa siwezi kabisa kudumisha urafik na mwanamke, kabisa yani.
Kwa kutambua hilo sinaga muda kabisa wa urafiki na hao viumbe, yani siwezi kabisa kuwa na urafiki nao, urafiki ambao sijui kabisa unahusiana na nini.
Nikizungumza na Mwanamke ni yule tunafanya kazi ofisi moja, au Ni mambo ya Kanisa full stop. Mbali na hapo ladba awe ndugu yangu.
Kama nikifanya urafiki na Mwanamke uwa nafanya huku tayari nimemwambia kuwa nampenda, na kikubwa nasubiri jibu lake.
Binafsi bado sioni urafiki kati ya Mwanamke na Mwanaume, labda ex wangu kidogo tunaweza zungumza na Kupiga Story.
Sasa kuna vidume wenzangu wana shobo hadi sio poa. Ifike mahali wanaume tuanze kijishtukia aiseee.
Urafiki na mwanamke ni kwenye kazi au Shuleni tu full stop. Mbali na hapo anakupotezea Muda tu. Keep her kama una malengo naye tu, mbali na hapo hizo shobo, tujifunze kubalance shobo
Unakua na rafiki wa kike kila siku wewe ndio wakuombwa hela, kila siku wewe ndio wakumpa Zawadi.
Asili ya mwanamke ni kupenda Kupewa, sasa huna malengo nae unatafuta ukaribu nae wa nini? Utoboke kwake then wewe siku ukiwa na shida ndio unatafuta wanaume wenzio?
Sawa wanawake ni Mapambo ya Dunia, lakini wanaume tunatakiwa tujue nini tunataka tupunguze kushikwa Masikio.
Mwanaume Piga kazi, kuwa na mahusiano ya kimapenzi. Achana na urafik usio kuwa na kichwa wala miguu.
Tuambie upo Upande gani, wale wa shobo milioni hadi kwa mademu za watu, au hupendi shobo kabisa?
Mwanamke huna content kichwani wala hujanivutia uzuri wako, kaa kushoto sina Muda na umbea
Mwamba unajikuta msamalia mwema. Ukisemeshwaa na mwanamke unacheka cheka tu hata kitu hakichekeshi. Duu
Kila demu anasema muache huyo wangu ?? anaomba kabisa kwa wadau kuwa yule niachieni ni wangu tayar.Kiufupi wanadhani tukiwaona wapo na ukaribu na mademu wengi tunajua kuwa wao ni miamba yani mtu mmekaa maskani Kila demu akipita atataka amuongeleshe Kisha achukue namba
😂😂😂👊Duh! Huu mwaka dume 😂
Kataa Ndoa
Kataa urafiki na wanawake
Kataa K
Labda ni lifestyle tu mkuu, inawezekana wngine anawala kimya kimya, au pia kuna manufaa anayapata wewe hauyaoni.Kila demu anasema muache huyo wangu ?? anaomba kabisa kwa wadau kuwa yule niachieni ni wangu tayar.
Mnabaki mnashangaa kwahiyo kila demu wewe wako mzee aisee