The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Hakunaga mwanamke anaecheat kwa bahati mbaya wote huwa wamedhamiria,thus ukimsamehe ataendelea tu kucheat kwa sababu wao utanguliza nyege mbele akili nyuma,wakishachika ukimbilia kwa mwamposa kukanyaga mafuta ya urejesho wa mume.
Kama mwanaume, ukimkamata mke wako akiwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwingine, tafadhali mshughulikie mke wako kwa sababu ndiye aliyekianzisha.
Kwa kawaida, wanaume huwahofia wake za watu, lakini wake za watu huwatega wanaume.
We mwanamke gani kila wakati ukiombwa no unatoa ,,uvaaji sifuri unacheka na kila mtu,,marafiki zako ni wale wadangaji waio olewa..
Lazima kujipambanua ,,ukiwa mke wa mtu una kazi ya kumweshimisha mmeo
Kuwa fanya wanaume wengine wamsifu mmeo alijua kuoa ...na siyo wanaume kuonyeshana mtu rahisi wa kufanya naye mapenzi
Mwanamke akikucheat maana yke amekudharau.
Maandiko yapo wazi mwanamke mpumbavu anastahili talaka.
#MadamKasema
@maisha_halisitz
Kama mwanaume, ukimkamata mke wako akiwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwingine, tafadhali mshughulikie mke wako kwa sababu ndiye aliyekianzisha.
Kwa kawaida, wanaume huwahofia wake za watu, lakini wake za watu huwatega wanaume.
We mwanamke gani kila wakati ukiombwa no unatoa ,,uvaaji sifuri unacheka na kila mtu,,marafiki zako ni wale wadangaji waio olewa..
Lazima kujipambanua ,,ukiwa mke wa mtu una kazi ya kumweshimisha mmeo
Kuwa fanya wanaume wengine wamsifu mmeo alijua kuoa ...na siyo wanaume kuonyeshana mtu rahisi wa kufanya naye mapenzi
Mwanamke akikucheat maana yke amekudharau.
Maandiko yapo wazi mwanamke mpumbavu anastahili talaka.
#MadamKasema
@maisha_halisitz