Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchawi unalipaHuwa namuona huyu Mrisho Mpoto akiwa ndiye mtumbuizaji karibia katika shughuli zote muhimi za serikali.
Ni kwamba yeye ndiye anayejua sana au kuna uhaba mkubwa wa watumbuizaji wengine wanaofiti katika hizo shughuli za serikali?
wao ndo wameona anafitKwa hiyo huo mnazi ni wa Mrisho Mpoto peke yake??
Why not Msondo or Sikinde ,bendi hizi zimetumika sana ktk maendeleo ya nchi Leo hii zimetelekezwa...Serikali inatakiwa Itoe upendeleo na motisha Kwa watu Hawa!utaenda kutumbuiza amapiano kwenye shughuli za kiserikali.!?
mjombaa mjombaa kila mnazi una mkwezi wake
Ndio maana Siku hizi hata Mashairi haandiki...analamba asali!Angalieni huko nyuma ilikuwaje yaani ni kikundi gani kilikuwa kinakula hizo fedha hadi leo ni mtembea peku!.
Kila zama na kitabu chake.
Huyo ni chawa wa mamaHuwa namuona huyu Mrisho Mpoto akiwa ndiye mtumbuizaji karibia katika shughuli zote muhimu za Serikali.
Ni kwamba yeye ndiye anayejua sana au kuna uhaba mkubwa wa watumbuizaji wengine wanaofiti katika hizo shughuli za serikali?
Alianza kama mkosoa watawala. Ili kumnyamazisha wakaanza kumpa hizo dili za hapa na pale. Analamba tu asaliHuwa namuona huyu Mrisho Mpoto akiwa ndiye mtumbuizaji karibia katika shughuli zote muhimu za Serikali.
Ni kwamba yeye ndiye anayejua sana au kuna uhaba mkubwa wa watumbuizaji wengine wanaofiti katika hizo shughuli za serikali?