Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli ww ni mtu wa soccer1.Sergio busquets hawana mpango wa kumuuza
2.anathaminika sana barcelona ndo maana anacheza kila msimu bila kua na sub.
3.pia sergio anafaa mifumo flani. Yule sii mpiga buti. Mourinho tunavomjua mpaka sasa namba 6 wake wengi anapenda wachafue. Mfano vidal au casmeiro wanaeza wakamfaa
anajitahidi nae jamaaView attachment 538947 usimsahau huyu jamaa
Kante ni kiungo mzuri lakn anakosa ubunifu ndyo maana sometimes France national team anakaa benchBila kusahau kante
Kwahiyo mimi kumkataa Sergio ndio unanihukumu kuwa sikucheki World cup ya South?Kumbe ww hujui mpira nauhakika hata kombe la Dunia 2010 south hujacheki embu nenda kamuangalie vzr clip zake au angalia game ya Spain na France ya juz alivyowafanya ao kante na bakayoko wako
Kweli. Wapo wengine. Sema tu nimetaja wachache wa mfano..anajitahidi nae jamaa
N'golo Kante kwenye ubora wake
Yap nimekuelewa sana point yakoBado ana mambo mengi sana ya kujifunza hili awe namba 6 bora,kukimbia sana sio kigezo cha kuwa namba 6 bora.
Ameshatumika sana hana mda tena kubaki katika huo ubora, na umri pia hakuna shaka amebaki miaka michache ya kumaliza safari yakeNashangaa Mourinho anavyohangaika kumsajili Nemanja Matic au Eric Dier kama viungo wa ulinzi yaani namba 6.
Kwanini asimsajili Sergio Busqet, kiungo matata katika nafasi ya Defensive Midfielder. Kusema kweli Sergio Busqet ni kiungo mkabaji pengine wa muda wote sema hapewi sifa zake na wadau wa soka.
Najua mtashangaa, kwakuwa wengi mmekariri kuona namba sita akiwa na sifa ya kupiga makwanja (tackling) lakini kwa Sergio habari ni tofauti yeye anajua sana kukaba nafasi na kufanya interception huku akiwa na jicho la ziada la kuanzisha mashambulizi yenye akili. Kwakifupi huyu ndio muhimili wa Barca na Timu ya taifa ya Spain.
Ifikie muda tuanze kutambua mchango mkubwa wa Sergio hasa wakati huu ambao akina Messi na Neymar wakiongezewa mikataba minono kuliko Busqet.
Ningefurahi kama siku moja Mou au Guardiola wakimleta EPL Sergio Busquet, mmoja kati ya wachezaji wasiopewa heshima na sifa zake!
Kama uliona unyama alioufanya kwa kukaba nafasi toka game ya kwanza hadi fainal anawakabili van de vart na sneijder usingemlinganisha na hao watoto ambao wana ndoto ya kufikia mafanikio yakeKwahiyo mimi kumkataa Sergio ndio unanihukumu kuwa sikucheki World cup ya South?
Aisee inastajabishaa
Xabi Alonso alikuwa anacheza mieleka au cricket labda!Kama uliona unyama alioufanya kwa kukaba nafasi toka game ya kwanza hadi fainal anawakabili van de vart na sneijder usingemlinganisha na hao watoto ambao wana ndoto ya kufikia mafanikio yake
Kuna game ambayo Sergio hakupangwa?Xabi Alonso alikuwa anacheza mieleka au cricket labda!
![]()
Mtoa uzi kwa sasa upepo upo kwa huyu mtoto wa kibrazil.
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Jaribu kufuatilia statistics zao wanapokutana nahsi utaona aibu kumtaja uyo dogo ambaye hata timu ya taifa anapigwa pigwa bench![]()
Mtoa uzi kwa sasa upepo upo kwa huyu mtoto wa kibrazil.
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app