Hakuna nchi iliyopata uhuru ki-ligend kama Haiti (saint-Domingue)

Hakuna nchi iliyopata uhuru ki-ligend kama Haiti (saint-Domingue)

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Haiti ndo nchi iliyopata uhuru kimafia kuliko nchi yeyote duniani na mara nyingi huwezi sikia watu au hata mashuleni ikifundishwa

Haiti ilikua inajulikana kama saint-Domingue (sandoming inavyotamkwa kifaransa) lilikua ni koloni la ufaransa ambalo ililichukua kutoka kwa wakoloni wahispania

Haiti ilikuwa ni nchi ya watumwa kama zilivyo nchi nyingi kipindi hiko na kuna mda haiti ilikua ni koloni tajiri kuliko yote kwa sababu ya biashara ya miwa kwa hiyo utumwa ulifanyika sana

Miaka ya 1770's kulikua na vuguvugu la french revolution baadhi ya watu kama Toussaint Louverture walianza kuhoji kwanini wao ni watumwa ilihali french revolution ina advocate usawa kama kauli mbiu yake kubwa hawakupewa majibu yanayoeleweka na gavana wa saint dominique ambayo baadae ilitambulika kama haiti

Mwaka 1793 vuguvugu liloongozwa na Toussaint Louverture liliondoa wazungu wote kwa kuwachinja hatimaye akajitangaza kama gavana wa saint-Domingue (haiti) ambalo lilikua ni kosa kwa sababu kuwa gavana maana yake wewe bado ni sehemu ya ufaransa angetakiwa atangaze uhuru.

Kwa sababu saint-Domingue (haiti) ni bado sehemu ya ufaransa ilikua ni rahisi kwenda kumkamata na kumpeleka jela za ufaransa ila utumwa ulishimamishwa na watu wote wa haiti walipewa uhuru wa ufaransa kama utuliza hali ya hewa na kukawa na malipo kwa kazi za mashambani

Napoleon Bonaparte mtawala kichaa alifanya mapinduzi na kuwa kiongozi wa ufaransa hakuishia hapo bali alirudisha utumwa kwa makoloni yote ya ufaransa ikiwemo saint-Domingue (haiti).

Haiti ikiongozwa na Jean-Jacques Dessaline msaidizi wa Toussaint Louverture kwa umoja wao waliwachinja wazungu wote waliokua haiti walifanikiwa na wakajitangazia uhuru january 1 mwaka 1804

Kwanini haiti ni maskini
  • Baada ya uhuru ufaransa waliwataka haiti walipe ela nyingi ili wawatambue
  • Marekani haikutaka kuitambua haiti
  • Marekani ili-ifanyia uharamia mwingi kwa kupandikiza marais vibaraka
  • Marekani ili-sponsor coup detat nying sana hakuna nchi imekua na coup nyingi dunian kama haiti
Historia ya haiti inatufundisha yafuatayo
  • Uhuru unapiganiwa au ouombwi
 
Haiti ndo nchi iliyopata uhuru kimafia kuliko nchi yeyote duniani na mara nyingi huwezi sikia watu au hata mashuleni ikifundishwa

Haiti ilikua inajulikana kama saint-Domingue (sandoming inavyotamkwa kifaransa) lilikua ni koloni la ufaransa ambalo ililichukua kutoka kwa wakoloni wahispania

Haiti ilikuwa ni nchi ya watumwa kama zilivyo nchi nyingi kipindi hiko na kuna mda haiti ilikua ni koloni tajiri kuliko yote kwa sababu ya biashara ya miwa kwa hiyo utumwa ulifanyika sana

Miaka ya 1770's kulikua na vuguvugu la french revolution baadhi ya watu kama Toussaint Louverture walianza kuhoji kwanini wao ni watumwa ilihali french revolution ina advocate usawa kama kauli mbiu yake kubwa hawakupewa majibu yanayoeleweka na gavana wa saint dominique ambayo baadae ilitambulika kama haiti

Mwaka 1793 vuguvugu liloongozwa na Toussaint Louverture liliondoa wazungu wote kwa kuwachinja hatimaye akajitangaza kama gavana wa saint-Domingue (haiti) ambalo lilikua ni kosa kwa sababu kuwa gavana maana yake wewe bado ni sehemu ya ufaransa angetakiwa atangaze uhuru.

Kwa sababu saint-Domingue (haiti) ni bado sehemu ya ufaransa ilikua ni rahisi kwenda kumkamata na kumpeleka jela za ufaransa ila utumwa ulishimamishwa na watu wote wa haiti walipewa uhuru wa ufaransa kama utuliza hali ya hewa na kukawa na malipo kwa kazi za mashambani

Napoleon Bonaparte mtawala kichaa alifanya mapinduzi na kuwa kiongozi wa ufaransa hakuishia hapo bali alirudisha utumwa kwa makoloni yote ya ufaransa ikiwemo saint-Domingue (haiti).

Haiti ikiongozwa na Jean-Jacques Dessaline msaidizi wa Toussaint Louverture kwa umoja wao waliwachinja wazungu wote waliokua haiti walifanikiwa na wakajitangazia uhuru january 1 mwaka 1804

Historia ya haiti inatufundisha yafuatayo
  • Uhuru unapiganiwa au ouombwi
Lkn mwamba hapa kuna matango pori kidogo cause french revolution ni 1789 sasa hao wahaiti wanahojije principles za french revolution in 1770's before even it happened?
 
Lkn mwamba hapa kuna matango pori kidogo cause french revolution ni 1789 sasa hao wahaiti wanahojije principles za french revolution in 1770's before even it happened?
Wafaransa walikuwa wakoloni wao yaliyotokea ufaransa waliyajua kupitia free slave na mullatos ambao walikuwa sio watumwa

Haiti kulikua na class zifuatazo
  • Slave
  • Free slave mfano Toussaint Louverture
  • Mulattos hawa ni waliozaliwa na baba mzungu n mama mwafrika
  • Colonial master hawa wengi wao walikua wamiliki mashamba
 
Tena umenikumbusha hivi wale police wa Kenya wamefikia wapi huko Haiti na yule bwana barberque nae vipi
 
Heading na body havina uhusiano mzuri.
 
Hujui historia ndo maana
Mzungu amekuaminisha hivyo pole sana
Historia sio mali yako kwamba unaijua peke yako. Sources zako ni zilezile za kila mmoja anaweza access. Haiti inaharibiwa na Haitians wenyewe, blacks
20240702_212646.jpg
 
Back
Top Bottom