Hakuna nchi yenye uthubutu Dunia hii kama Iran. Wanajivunia nini?

Hakuna nchi yenye uthubutu Dunia hii kama Iran. Wanajivunia nini?

Kwanza kabisa Kihistoria, wa Iran ama Mafursi, ama wapashia ama waajemi ni watu kutoka katika asili ya kuwa taifa kubwa Karne nyingi zilizopita. Ukizungumzia Moja ya watu waliotembelea Pwani ya Afrika Mashariki miaka mia nyingi iliyopita utawakuta wairan hapo.
Wao si waarabu ni kama kusema ni jamii flani ambao si waarabu, si wazungu, si waturuki.
Kumuita muajemi ni mwarabu tusi kubwa.
 
Israel ni simba wa kwenye makaratasi mkuu, jaribu kufikiria mpaka sasa wameshindwa kukomboa mateka wao na Hammas anaendelea kushambulia ndani ya tel aviv.
Ungekuwa mpalestina ningeshauri jambo ila kwa sababu ni mbongo bas sawa.....
 
Hiyo ni mikwala tu hana chochote,unakumbuka mkwala wa Saddam Hussein,alipokomaliwa ikaja kugundulika kuwa ni mwepesi kama karatasi...
Kinachozungumzwa hapa ni UJASIRI WAKE wa kuishambulia Israel 🇮🇱. Yaani pamoja na ukubwa na uwezo wa Kijeshi wa Israel lakini yeye kathubutu. Na hata kama ipo siku Iran itaanguka lakini hiyo historia haitafutika kamwe.

Yaani ni kama leo jinsi Marekani linavyotisha halafu itokee nchi iamue kurusha mabomu kuishambulia ndani ya ardhi yake
 
Kilichompa nguvu Iran ni sawa na nchi zingine zilizotengwa na kinachoitwa Jumuia ya Kimataifa. Iran ilianza kutengwa tokea miaka ya 1950s mpaka Leo bado imetengwa. Matokeo yake imejenga uwezo wa ndani kwa ndani wa kiuchumi na kijeshi.
Hivyo, somo la kujifunza ni kuwa ukiona dunia inakukumbatia na Wewe unaona huwezi kuishi bila dunia ilihali Wewe ni maskini ujue Wewe unaliwa pakubwa na unaifaidisha dunia sio wewe.
Akili kumkichwa
 
21019254_0-403-5500-3100.jpeg
 
Jamaaa zao maji y shingo wanalia lkn wenzao umu JF picha awana awazioni waanaamini wazayun wanashinda hii mbungi sio poaa kwao langi zote zitasomeka
 
Israel ni simba wa kwenye makaratasi mkuu, jaribu kufikiria mpaka sasa wameshindwa kukomboa mateka wao na Hammas anaendelea kushambulia ndani ya tel aviv.
Nyinyi mpo milion 60+ lakini mnashindwa kuwadhibiti watekaji, bila aibu unawashangaa israel, hiyo ni akili au uyuvccm?
 
Nyinyi mpo milion 60+ lakini mnashindwa kuwadhibiti watekaji, bila aibu unawashangaa israel, hiyo ni akili au uyuvccm?
Sasa kama watekaji ndio hao wamepewa kazi ya kujichunguza itawezekana vp
Huoni kama umetoa mfano usioendana
 
Sifichi, ile mara ya kwanza nasikia kuwa Iran kamshambulia Israel nilibisha sana na kuapa kabisa kuwa kamwe hawezi. Hana ujanja huo.

Nilipotembelea vyombo vyA habari kujiridhisha na kukuta ni kweli kwamba missiles 180+ zimetoka Iran huko na kutua Israel nilibaki mdomo wazi kwa mshangao:
  • Sifikirii kama Kuna nchi Ina ulinzi mkali kama Israel (kutokana na historia ya kuumbwa kwake)
  • Sidhani kama Kuna nchi inapata msaada mkubwa wa kifedha, silaha kama Israel.
  • Sidhani kama Kuna nchi inaungwa mkono kikamilifu na mataifa mengi makubwa na yaliyoendelea kama Israel
Sidhani kama mbabe wa Dunia, USA, ana nchi anaiunga mkono zaidi Kama Israel, yaani kama watoto basi huyu ndo kitinda mimba wake, akikohoa tu anachanganyikiwa mzazi huyu.

Sidhani kama Kuna nchi Dunia hii, ukitoa marekani, inayoogepewa kama Israel, pamoja na uhakika wa silaha Bora, sababu za kiimani zikiwa mojawapo (Imani hii imemea vizuri sana kwa watu wengi wa mataifa mengi)

Katika Hali kama hiyo, anaotokea mtu, aitwae Iran, anamshambulia Israel, inashangaza

- Ni taifa lililo katika dhiki ya vikwazo vikali vya kiuchumi tangu 1980s, hakuna nchi nyingine Dunia hii iliyowahi kushuhudia vikwazo vikali na kwa muda mrefu kama Iran.

- Nakuna nchi inafuatiliwa kwa karibu katika Kila inachokifanya kama Iran 24/7, macho yote ya wakubwa yapo kwake Huku wengine wakoapa kabisa kuwa kamwe hawatoiruhusu Iran kufikia hatua hii au ile.

- Hakuna nchi inayofanyiwa hila na unafiki na Waarabu marafiki wa USA kama Iran....kina Saudi Arabia na wengine wengi tu hawataki kuona inapiga hatua yoyote.

Wadau, katika Hali hiyo; huyu Iran amewezaje kupenyeza silaha zake, tena kutoka mbali kote kule na kwa uwazi kabisa, Hadi nchi hii ya Israel? Sielewi tu hapa imekuaje.

Huyu Iran amewezaje kuvikabili vikwazo vyote kwa miaka na miaka Huku akifikia Hali hii ya 'kuzipanga' na wababe wa Dunia? Je,

a) Ni kujitoa tu mhanga (kuvurugwa) kwamba liwalo na liwe?
b) Au kwamba ana uwezo kweli? Kaupata lini?

Kwenu wajuzi.

Mkuu haukuwa peke yako.

Huku Buza hata wa leo hawaamini!
 
Israel wakianza kujibu kwa kuwafumua wafuasi wa allah msije kulalamika. Allah mwenyewe ameshasema yeye hajawatuma.
 
Sifichi, ile mara ya kwanza nasikia kuwa Iran kamshambulia Israel nilibisha sana na kuapa kabisa kuwa kamwe hawezi. Hana ujanja huo.

Nilipotembelea vyombo vyA habari kujiridhisha na kukuta ni kweli kwamba missiles 180+ zimetoka Iran huko na kutua Israel nilibaki mdomo wazi kwa mshangao:
  • Sifikirii kama Kuna nchi Ina ulinzi mkali kama Israel (kutokana na historia ya kuumbwa kwake)
  • Sidhani kama Kuna nchi inapata msaada mkubwa wa kifedha, silaha kama Israel.
  • Sidhani kama Kuna nchi inaungwa mkono kikamilifu na mataifa mengi makubwa na yaliyoendelea kama Israel
Sidhani kama mbabe wa Dunia, USA, ana nchi anaiunga mkono zaidi Kama Israel, yaani kama watoto basi huyu ndo kitinda mimba wake, akikohoa tu anachanganyikiwa mzazi huyu.

Sidhani kama Kuna nchi Dunia hii, ukitoa marekani, inayoogepewa kama Israel, pamoja na uhakika wa silaha Bora, sababu za kiimani zikiwa mojawapo (Imani hii imemea vizuri sana kwa watu wengi wa mataifa mengi)

Katika Hali kama hiyo, anaotokea mtu, aitwae Iran, anamshambulia Israel, inashangaza

- Ni taifa lililo katika dhiki ya vikwazo vikali vya kiuchumi tangu 1980s, hakuna nchi nyingine Dunia hii iliyowahi kushuhudia vikwazo vikali na kwa muda mrefu kama Iran.

- Nakuna nchi inafuatiliwa kwa karibu katika Kila inachokifanya kama Iran 24/7, macho yote ya wakubwa yapo kwake Huku wengine wakoapa kabisa kuwa kamwe hawatoiruhusu Iran kufikia hatua hii au ile.

- Hakuna nchi inayofanyiwa hila na unafiki na Waarabu marafiki wa USA kama Iran....kina Saudi Arabia na wengine wengi tu hawataki kuona inapiga hatua yoyote.

Wadau, katika Hali hiyo; huyu Iran amewezaje kupenyeza silaha zake, tena kutoka mbali kote kule na kwa uwazi kabisa, Hadi nchi hii ya Israel? Sielewi tu hapa imekuaje.

Huyu Iran amewezaje kuvikabili vikwazo vyote kwa miaka na miaka Huku akifikia Hali hii ya 'kuzipanga' na wababe wa Dunia? Je,

a) Ni kujitoa tu mhanga (kuvurugwa) kwamba liwalo na liwe?
b) Au kwamba ana uwezo kweli? Kaupata lini?

Kwenu wajuzi.
Iran yupo 100% supported na north korea, china, russia. hayo ni mataifa yaliyo kinyume na US so yanamsaidia Iran kwa kila hali na mali. Iran kwenye teknolohia anawezeshwa na hizo nchi nilizotaja hapo.
Utawala wa Biden umeilegezea sana Iran tofauti na tawala zilizopita na ndo maana Iran ina hofu kubwa sana akiingia Trump watapata shida.
Infact kuna taarifa kuwa kuna intel iran wamekuwa wakizipata baada ya watu ndani ya US intel system kuwageuka wayahudi.
Ila kwa kifupi kwa wanaofuatikia eschatology wanajua kabisa lazima Iran iwe juu sana kiasi cha kufanya maamuzi ya kuivamia Israel ili kuifuta isiwepo duniani tena.
Na uvamizi huo ataufanya akiongozwa na russia.
 
Kinachonishangaza imani ya muIRAN ni thabiti kushinda ya mSAUDIA ambako ndio chimbuko la ISLAMIC RELIGION
ungeanza kwanza kushangaa iman ya kikristo ipo kwa wingi uzunguni kuliko hata israel kwenyewe ambako ndipo chimbuko lilipo
 
Sifichi, ile mara ya kwanza nasikia kuwa Iran kamshambulia Israel nilibisha sana na kuapa kabisa kuwa kamwe hawezi. Hana ujanja huo.

Nilipotembelea vyombo vyA habari kujiridhisha na kukuta ni kweli kwamba missiles 180+ zimetoka Iran huko na kutua Israel nilibaki mdomo wazi kwa mshangao:
  • Sifikirii kama Kuna nchi Ina ulinzi mkali kama Israel (kutokana na historia ya kuumbwa kwake)
  • Sidhani kama Kuna nchi inapata msaada mkubwa wa kifedha, silaha kama Israel.
  • Sidhani kama Kuna nchi inaungwa mkono kikamilifu na mataifa mengi makubwa na yaliyoendelea kama Israel
Sidhani kama mbabe wa Dunia, USA, ana nchi anaiunga mkono zaidi Kama Israel, yaani kama watoto basi huyu ndo kitinda mimba wake, akikohoa tu anachanganyikiwa mzazi huyu.

Sidhani kama Kuna nchi Dunia hii, ukitoa marekani, inayoogepewa kama Israel, pamoja na uhakika wa silaha Bora, sababu za kiimani zikiwa mojawapo (Imani hii imemea vizuri sana kwa watu wengi wa mataifa mengi)

Katika Hali kama hiyo, anaotokea mtu, aitwae Iran, anamshambulia Israel, inashangaza

- Ni taifa lililo katika dhiki ya vikwazo vikali vya kiuchumi tangu 1980s, hakuna nchi nyingine Dunia hii iliyowahi kushuhudia vikwazo vikali na kwa muda mrefu kama Iran.

- Nakuna nchi inafuatiliwa kwa karibu katika Kila inachokifanya kama Iran 24/7, macho yote ya wakubwa yapo kwake Huku wengine wakoapa kabisa kuwa kamwe hawatoiruhusu Iran kufikia hatua hii au ile.

- Hakuna nchi inayofanyiwa hila na unafiki na Waarabu marafiki wa USA kama Iran....kina Saudi Arabia na wengine wengi tu hawataki kuona inapiga hatua yoyote.

Wadau, katika Hali hiyo; huyu Iran amewezaje kupenyeza silaha zake, tena kutoka mbali kote kule na kwa uwazi kabisa, Hadi nchi hii ya Israel? Sielewi tu hapa imekuaje.

Huyu Iran amewezaje kuvikabili vikwazo vyote kwa miaka na miaka Huku akifikia Hali hii ya 'kuzipanga' na wababe wa Dunia? Je,

a) Ni kujitoa tu mhanga (kuvurugwa) kwamba liwalo na liwe?
b) Au kwamba ana uwezo kweli? Kaupata lini?

Kwenu wajuzi.
Iran ina maadui wengi wenye kumzidi teknologia na silaha advanced kuliko allies/washirika
wake,!!
 
Back
Top Bottom