Hakuna nchi yenye uthubutu Dunia hii kama Iran. Wanajivunia nini?

Hakuna nchi yenye uthubutu Dunia hii kama Iran. Wanajivunia nini?

Iran ina maadui wengi wenye kumzidi teknologia na silaha advanced kuliko allies/washirika
wake,!!
mashambulio ya Irani kwa Israel hayakuwa na tactical advantage ya kivita, ila ilikuwa ni usumbufu usoumiza, ambao Isarael wameuzoea
 
ungeanza kwanza kushangaa iman ya kikristo ipo kwa wingi uzunguni kuliko hata israel kwenyewe ambako ndipo chimbuko lilipo
Judaism is a monotheistic religion with a rich history and a distinct set of beliefs and practices. While it shares some common ground with Christianity, it also has several key differences, including its beliefs about the Messiah and the importance of personal responsibility and the observance of religious law.
 
Iran atakula kitu kizito hakijawah kutokea kwenye historia ya Dunia. Save my comment. Cheza na ujinga mwingine wowote, usicheze na Neta
 
We nawe!

Unauliza Mateka leo??

Israel baada ya watu wake kutekwa, Israel ndio iliyofanya sherehe kuliko hata hao Palestine

Sababu hiyo ndiyo imefanya Israel ilimiliki eneo lote la Parestine na wanampango na tayari mpango huo umekwisha anza na ramani zipo za kujengwa majengo ya walowezi wa Ki Israel huko Gaza

Sababu hiyo hiyo ndiyo inayofanya waendelee kutoa dozi pale Lebanon na usishangae maeneo baadhi yakachukuliwa kinguvu na kuwa sehemu ya Israel

Sasa wewe endelea kuongelea mateka na wakati wenzako hawana hata habari ila ni kujitanua kinguvu kupitia sababu ya mateka
Amka usije ulajikojolea
 
Hivi sometimes majenerali wa JF mnachekesha kweli.

Hao Hamas wanajeshi linalopigana uso kwa uso na Israel IDF au wanavizia kwa makombora na uvamizi wa kushtukiza wa silaha wakitokea katikati ya jamii au raia.

Mnataka Israel iangamize raia wote wa Gaza ndio mseme Israel kidume?

Sasa hv tu wamekufa watu zaidi ya 40,000 wanalalamika free Gaza. Vipi wakiuliwa wote?

Hao wanamgambo wanajificha kwa raia nao unaweza waita wapiganaji au waviziaji.

Marekani alishindwa Somalia sababu hiyo vinginevyo angeua raia wote
Maneno yamkosaji haya
 
Iran yupo 100% supported na north korea, china, russia. hayo ni mataifa yaliyo kinyume na US so yanamsaidia Iran kwa kila hali na mali. Iran kwenye teknolohia anawezeshwa na hizo nchi nilizotaja hapo.
Utawala wa Biden umeilegezea sana Iran tofauti na tawala zilizopita na ndo maana Iran ina hofu kubwa sana akiingia Trump watapata shida.
Infact kuna taarifa kuwa kuna intel iran wamekuwa wakizipata baada ya watu ndani ya US intel system kuwageuka wayahudi.
Ila kwa kifupi kwa wanaofuatikia eschatology wanajua kabisa lazima Iran iwe juu sana kiasi cha kufanya maamuzi ya kuivamia Israel ili kuifuta isiwepo duniani tena.
Na uvamizi huo ataufanya akiongozwa na russia.
Wakati wa trumpet Iran ilipiga kambi za marekani pia Iran 🇮🇷 haijafika hapa ilipo kwakua marekani ipo chini ya Biden Iran 🇮🇷 ishakua giant ukweli mchungu usemeni tuuu
 
Back
Top Bottom