Ungekuwa mpalestina ningeshauri jambo ila kwa sababu ni mbongo bas sawa.....Israel ni simba wa kwenye makaratasi mkuu, jaribu kufikiria mpaka sasa wameshindwa kukomboa mateka wao na Hammas anaendelea kushambulia ndani ya tel aviv.
Kinachozungumzwa hapa ni UJASIRI WAKE wa kuishambulia Israel 🇮🇱. Yaani pamoja na ukubwa na uwezo wa Kijeshi wa Israel lakini yeye kathubutu. Na hata kama ipo siku Iran itaanguka lakini hiyo historia haitafutika kamwe.Hiyo ni mikwala tu hana chochote,unakumbuka mkwala wa Saddam Hussein,alipokomaliwa ikaja kugundulika kuwa ni mwepesi kama karatasi...
Okey...Ungekuwa mpalestina ningeshauri jambo ila kwa sababu ni mbongo bas sawa.....
Nyinyi mpo milion 60+ lakini mnashindwa kuwadhibiti watekaji, bila aibu unawashangaa israel, hiyo ni akili au uyuvccm?Israel ni simba wa kwenye makaratasi mkuu, jaribu kufikiria mpaka sasa wameshindwa kukomboa mateka wao na Hammas anaendelea kushambulia ndani ya tel aviv.
Sasa kama watekaji ndio hao wamepewa kazi ya kujichunguza itawezekana vpNyinyi mpo milion 60+ lakini mnashindwa kuwadhibiti watekaji, bila aibu unawashangaa israel, hiyo ni akili au uyuvccm?
Suala ni kwamba, kati ya raia wa kawaida na watekaji, wapi ni wengi?Sasa kama watekaji ndio hao wamepewa kazi ya kujichunguza itawezekana vp
Huoni kama umetoa mfano usioendana
Sifichi, ile mara ya kwanza nasikia kuwa Iran kamshambulia Israel nilibisha sana na kuapa kabisa kuwa kamwe hawezi. Hana ujanja huo.
Nilipotembelea vyombo vyA habari kujiridhisha na kukuta ni kweli kwamba missiles 180+ zimetoka Iran huko na kutua Israel nilibaki mdomo wazi kwa mshangao:
Sidhani kama mbabe wa Dunia, USA, ana nchi anaiunga mkono zaidi Kama Israel, yaani kama watoto basi huyu ndo kitinda mimba wake, akikohoa tu anachanganyikiwa mzazi huyu.
- Sifikirii kama Kuna nchi Ina ulinzi mkali kama Israel (kutokana na historia ya kuumbwa kwake)
- Sidhani kama Kuna nchi inapata msaada mkubwa wa kifedha, silaha kama Israel.
- Sidhani kama Kuna nchi inaungwa mkono kikamilifu na mataifa mengi makubwa na yaliyoendelea kama Israel
Sidhani kama Kuna nchi Dunia hii, ukitoa marekani, inayoogepewa kama Israel, pamoja na uhakika wa silaha Bora, sababu za kiimani zikiwa mojawapo (Imani hii imemea vizuri sana kwa watu wengi wa mataifa mengi)
Katika Hali kama hiyo, anaotokea mtu, aitwae Iran, anamshambulia Israel, inashangaza
- Ni taifa lililo katika dhiki ya vikwazo vikali vya kiuchumi tangu 1980s, hakuna nchi nyingine Dunia hii iliyowahi kushuhudia vikwazo vikali na kwa muda mrefu kama Iran.
- Nakuna nchi inafuatiliwa kwa karibu katika Kila inachokifanya kama Iran 24/7, macho yote ya wakubwa yapo kwake Huku wengine wakoapa kabisa kuwa kamwe hawatoiruhusu Iran kufikia hatua hii au ile.
- Hakuna nchi inayofanyiwa hila na unafiki na Waarabu marafiki wa USA kama Iran....kina Saudi Arabia na wengine wengi tu hawataki kuona inapiga hatua yoyote.
Wadau, katika Hali hiyo; huyu Iran amewezaje kupenyeza silaha zake, tena kutoka mbali kote kule na kwa uwazi kabisa, Hadi nchi hii ya Israel? Sielewi tu hapa imekuaje.
Huyu Iran amewezaje kuvikabili vikwazo vyote kwa miaka na miaka Huku akifikia Hali hii ya 'kuzipanga' na wababe wa Dunia? Je,
a) Ni kujitoa tu mhanga (kuvurugwa) kwamba liwalo na liwe?
b) Au kwamba ana uwezo kweli? Kaupata lini?
Kwenu wajuzi.
Aise kwahiyo hammas ni wengi kuliko jeshi la IDF?Suala ni kwamba, kati ya raia wa kawaida na watekaji, wapi ni wengi?
Naona mnazidi kuhamisha magoli kila leo.Mwambie arushe kombora hata moja tu kuelekea usa
Iran yupo 100% supported na north korea, china, russia. hayo ni mataifa yaliyo kinyume na US so yanamsaidia Iran kwa kila hali na mali. Iran kwenye teknolohia anawezeshwa na hizo nchi nilizotaja hapo.Sifichi, ile mara ya kwanza nasikia kuwa Iran kamshambulia Israel nilibisha sana na kuapa kabisa kuwa kamwe hawezi. Hana ujanja huo.
Nilipotembelea vyombo vyA habari kujiridhisha na kukuta ni kweli kwamba missiles 180+ zimetoka Iran huko na kutua Israel nilibaki mdomo wazi kwa mshangao:
Sidhani kama mbabe wa Dunia, USA, ana nchi anaiunga mkono zaidi Kama Israel, yaani kama watoto basi huyu ndo kitinda mimba wake, akikohoa tu anachanganyikiwa mzazi huyu.
- Sifikirii kama Kuna nchi Ina ulinzi mkali kama Israel (kutokana na historia ya kuumbwa kwake)
- Sidhani kama Kuna nchi inapata msaada mkubwa wa kifedha, silaha kama Israel.
- Sidhani kama Kuna nchi inaungwa mkono kikamilifu na mataifa mengi makubwa na yaliyoendelea kama Israel
Sidhani kama Kuna nchi Dunia hii, ukitoa marekani, inayoogepewa kama Israel, pamoja na uhakika wa silaha Bora, sababu za kiimani zikiwa mojawapo (Imani hii imemea vizuri sana kwa watu wengi wa mataifa mengi)
Katika Hali kama hiyo, anaotokea mtu, aitwae Iran, anamshambulia Israel, inashangaza
- Ni taifa lililo katika dhiki ya vikwazo vikali vya kiuchumi tangu 1980s, hakuna nchi nyingine Dunia hii iliyowahi kushuhudia vikwazo vikali na kwa muda mrefu kama Iran.
- Nakuna nchi inafuatiliwa kwa karibu katika Kila inachokifanya kama Iran 24/7, macho yote ya wakubwa yapo kwake Huku wengine wakoapa kabisa kuwa kamwe hawatoiruhusu Iran kufikia hatua hii au ile.
- Hakuna nchi inayofanyiwa hila na unafiki na Waarabu marafiki wa USA kama Iran....kina Saudi Arabia na wengine wengi tu hawataki kuona inapiga hatua yoyote.
Wadau, katika Hali hiyo; huyu Iran amewezaje kupenyeza silaha zake, tena kutoka mbali kote kule na kwa uwazi kabisa, Hadi nchi hii ya Israel? Sielewi tu hapa imekuaje.
Huyu Iran amewezaje kuvikabili vikwazo vyote kwa miaka na miaka Huku akifikia Hali hii ya 'kuzipanga' na wababe wa Dunia? Je,
a) Ni kujitoa tu mhanga (kuvurugwa) kwamba liwalo na liwe?
b) Au kwamba ana uwezo kweli? Kaupata lini?
Kwenu wajuzi.
ungeanza kwanza kushangaa iman ya kikristo ipo kwa wingi uzunguni kuliko hata israel kwenyewe ambako ndipo chimbuko lilipoKinachonishangaza imani ya muIRAN ni thabiti kushinda ya mSAUDIA ambako ndio chimbuko la ISLAMIC RELIGION
Iran ina maadui wengi wenye kumzidi teknologia na silaha advanced kuliko allies/washirikaSifichi, ile mara ya kwanza nasikia kuwa Iran kamshambulia Israel nilibisha sana na kuapa kabisa kuwa kamwe hawezi. Hana ujanja huo.
Nilipotembelea vyombo vyA habari kujiridhisha na kukuta ni kweli kwamba missiles 180+ zimetoka Iran huko na kutua Israel nilibaki mdomo wazi kwa mshangao:
Sidhani kama mbabe wa Dunia, USA, ana nchi anaiunga mkono zaidi Kama Israel, yaani kama watoto basi huyu ndo kitinda mimba wake, akikohoa tu anachanganyikiwa mzazi huyu.
- Sifikirii kama Kuna nchi Ina ulinzi mkali kama Israel (kutokana na historia ya kuumbwa kwake)
- Sidhani kama Kuna nchi inapata msaada mkubwa wa kifedha, silaha kama Israel.
- Sidhani kama Kuna nchi inaungwa mkono kikamilifu na mataifa mengi makubwa na yaliyoendelea kama Israel
Sidhani kama Kuna nchi Dunia hii, ukitoa marekani, inayoogepewa kama Israel, pamoja na uhakika wa silaha Bora, sababu za kiimani zikiwa mojawapo (Imani hii imemea vizuri sana kwa watu wengi wa mataifa mengi)
Katika Hali kama hiyo, anaotokea mtu, aitwae Iran, anamshambulia Israel, inashangaza
- Ni taifa lililo katika dhiki ya vikwazo vikali vya kiuchumi tangu 1980s, hakuna nchi nyingine Dunia hii iliyowahi kushuhudia vikwazo vikali na kwa muda mrefu kama Iran.
- Nakuna nchi inafuatiliwa kwa karibu katika Kila inachokifanya kama Iran 24/7, macho yote ya wakubwa yapo kwake Huku wengine wakoapa kabisa kuwa kamwe hawatoiruhusu Iran kufikia hatua hii au ile.
- Hakuna nchi inayofanyiwa hila na unafiki na Waarabu marafiki wa USA kama Iran....kina Saudi Arabia na wengine wengi tu hawataki kuona inapiga hatua yoyote.
Wadau, katika Hali hiyo; huyu Iran amewezaje kupenyeza silaha zake, tena kutoka mbali kote kule na kwa uwazi kabisa, Hadi nchi hii ya Israel? Sielewi tu hapa imekuaje.
Huyu Iran amewezaje kuvikabili vikwazo vyote kwa miaka na miaka Huku akifikia Hali hii ya 'kuzipanga' na wababe wa Dunia? Je,
a) Ni kujitoa tu mhanga (kuvurugwa) kwamba liwalo na liwe?
b) Au kwamba ana uwezo kweli? Kaupata lini?
Kwenu wajuzi.