Hakuna nchi yenye uthubutu Dunia hii kama Iran. Wanajivunia nini?

Iran ina maadui wengi wenye kumzidi teknologia na silaha advanced kuliko allies/washirika
wake,!!
mashambulio ya Irani kwa Israel hayakuwa na tactical advantage ya kivita, ila ilikuwa ni usumbufu usoumiza, ambao Isarael wameuzoea
 
ungeanza kwanza kushangaa iman ya kikristo ipo kwa wingi uzunguni kuliko hata israel kwenyewe ambako ndipo chimbuko lilipo
Judaism is a monotheistic religion with a rich history and a distinct set of beliefs and practices. While it shares some common ground with Christianity, it also has several key differences, including its beliefs about the Messiah and the importance of personal responsibility and the observance of religious law.
 
Iran atakula kitu kizito hakijawah kutokea kwenye historia ya Dunia. Save my comment. Cheza na ujinga mwingine wowote, usicheze na Neta
 
Amka usije ulajikojolea
 
Maneno yamkosaji haya
 
Wakati wa trumpet Iran ilipiga kambi za marekani pia Iran 🇮🇷 haijafika hapa ilipo kwakua marekani ipo chini ya Biden Iran 🇮🇷 ishakua giant ukweli mchungu usemeni tuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…