Tatizo humu watu wanapngea ongea tu ilimradi wameongea ndege bora zaidi ni Airbus A380 ni double deck aircraft na ina engine nne ikikaa angan unaweza ata kudance ukiwa umesimama hamna disturbance ata kidogo pia nyuma ya viti kuna computer kwa kustream video na kuwatch movieKwa kweli Kama Kuna siku nilienjoy safari ndefu ni siku ambazo nimesafiri na ndege tajwa hapo juu.Jaribu na wewe utaenjoy mno
Hata mkiwa kwenye turbulence huwezi kutambua aisee kwa haraka unforgettable sky cruising Rome to Adis Ababa.Kwa kweli Kama Kuna siku nilienjoy safari ndefu ni siku ambazo nimesafiri na ndege tajwa hapo juu.Jaribu na wewe utaenjoy mno
Kwa kweli Kama Kuna siku nilienjoy safari ndefu ni siku ambazo nimesafiri na ndege tajwa hapo juu.Jaribu na wewe utaenjoy mno
Kwa kweli Kama Kuna siku nilienjoy safari ndefu ni siku ambazo nimesafiri na ndege tajwa hapo juu.Jaribu na wewe utaenjoy mno
Hahaha inafika hadi ginery mwisho rufaa wanyaturu wasije wakajua igama hii.Zinapita singida?
Mweee nitapanda bila viatuHahaha inafika hadi ginery mwisho rufaa wanyaturu wasije wakajua igama hii.
Mkuu tujuze basi wewe unayejua
Umeshapanda B787-8 au unawaza tu mkuu? tecnology ilioko kwenye hii ndege ni ya kisasa sana,ina engine kubwa,ina speed nzuri na inatulia sana angani,pia mifumo yake ya kuchuja hewa ndani haina tofauti na ya A380,penda vya kwako mkuu kwenye dreamliner hatujachemsha kabisa ule mpini sio wa kitoto kama unavyojaribu kutuaminisha...
Kiboko ya safari hii[emoji847]View attachment 1511022
KLM pia wanatumia ndege hiyo Dar- Amsterdam na watumia B743 Nairobi - Amsterdam,British airways wanatumia A380 Johanburg_ london
Hahahahah,totos siyo mkuu?Raha ya ndege ni time inatua au wakati inapaa ila huko juu ni hakuna chochote zaidi ya mawingu na screen na wahudumu na misosi na manunuzi kama una pesa.
It’s far better hata kusafiri na bus luxury mtaona wanyama mtasimama kula, mtaona mandhari kedekede za kuvutia.
Hata hivyo kwangu Emirates ni habari nyingine kwa ndege nilizowahi kupanda. Kuanzia services zao hadi urembo wa wahudumu.
Ila kiukweli mmenishinda hii tabia ya kumeza sijuia Airbus ngapi ngapi [emoji847][emoji847][emoji847]
Swala la udogo wa B787-8 sikatai,hebu soma hapa sio maneno yangu hayo "The 777 is a 250 to 400 passenger capacity plane, while 787 is the smaller 200 to 300 class, effectively replacing the 767, albeit slightly larger. The 787 also has longer range and more fuel efficient, thanks to its sophisticated new design"...Mkuu unajiaibisha, pamoja na kwamba sote tunapaswa kujivunia vya kwetu na kumpongeza mh. Rais kwa ununuzi wa hii dream liner, Ila kiukweli B787-8 itabaki kuwa ndege ndogo kwa boeing triple 7.