HAKUNA NJIA HAPA: Ni uongo ambao hauna sababu.

HAKUNA NJIA HAPA: Ni uongo ambao hauna sababu.

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Ukiona sehemu imeandikwa HAKUNA NJIA HAPA. Ujue ni waongo hao walioandika. Njia ipo ila hawataki upite.

Kama hakuna njia hamna sababu ya kuandika. Itaonekana tu kuwa hakuna njia. Why paandikwe? Umewahi mwona mtu anaamua tu kukatiza kichakani na njia ipo? Umewahi mwona mtu anafika ferry kisha anaanza kutembea kuelekea baharini kuvuka kwenda kigamboni?

Sasa pale mbona hapajawekwa bango kuwa hakuna njia? Maana yake pale hapana njia na ndo maana hamna hata anayehangaika napo.

So nikaja gundua ukiona wameandika HAKUNA NJIA HAPA.
1. Ipo hawataki upite
2. Ilikuwepo sasa hawataki uendelee kupita

Otherwise kama hamna njia we mwenyewe tu utaona kuwa hakuna wala huhitaji kuambiwa.
 
Ukiona sehemu imeandikwa HAKUNA NJIA HAPA. Ujue ni waongo hao walioandika. Njia ipo ila hawataki upite.

Kama hakuna njia hamna sababu ya kuandika. Itaonekana tu kuwa hakuna njia. Why paandikwe? Umewahi mwona mtu anaamua tu kukatiza kichakani na njia ipo? Umewahi mwona mtu anafika ferry kisha anaanza kutembea kuelekea baharini kuvuka kwenda kigamboni?

Sasa pale mbona hapajawekwa bango kuwa hakuna njia? Maana yake pale hapana njia na ndo maana hamna hata anayehangaika napo.

So nikaja gundua ukiona wameandika HAKUNA NJIA HAPA.
1. Ipo hawataki upite
2. Ilikuwepo sasa hawataki uendelee kupita

Otherwise kama hamna njia we mwenyewe tu utaona kuwa hakuna wala huhitaji kuambiwa.
wangeandika tu ni marufuku kupita hapa
 
Ukiona sehemu imeandikwa HAKUNA NJIA HAPA. Ujue ni waongo hao walioandika. Njia ipo ila hawataki upite.

Kama hakuna njia hamna sababu ya kuandika. Itaonekana tu kuwa hakuna njia. Why paandikwe? Umewahi mwona mtu anaamua tu kukatiza kichakani na njia ipo? Umewahi mwona mtu anafika ferry kisha anaanza kutembea kuelekea baharini kuvuka kwenda kigamboni?

Sasa pale mbona hapajawekwa bango kuwa hakuna njia? Maana yake pale hapana njia na ndo maana hamna hata anayehangaika napo.

So nikaja gundua ukiona wameandika HAKUNA NJIA HAPA.
1. Ipo hawataki upite
2. Ilikuwepo sasa hawataki uendelee kupita

Otherwise kama hamna njia we mwenyewe tu utaona kuwa hakuna wala huhitaji kuambiwa.
Jichanganye. Utakuja kujuta kuzaliwa
 
Cul de Sac
A dead end, also known as a cul-de-sac a no-through road or a no-exit road, is a street with only one combined inlet and outlet. Cul-de-sac

Thus huenda wanakusaidia usichome mafuta na kuzunguka na kurudi ulipotoka wakati ulidhani utatokea upande wa pili
1735641110402.png
 
Back
Top Bottom