Wa kwanza atakuwa wa mwisho na wa mwisho atakuwa wa kwanza,maana yeye atakaye kujikweza atashushwa na yule atakaye shushwa atakwezwa.Bali yeye hatawafanya muwe mikia tena bali vichwaKaijage kumpanga Lisu wa mwisho inaashiria Nini kiroho??
Pia kumpanga wa mwisho kumepunguza masaa ya pingamizi he hii tuite Ni blessing in disguise??
We will accept nothing except free and fair electionNa ujiandae kisaikolojia wakati wa kutanganzwa matokeo, vinginevyo ....
Kwani alikuwa anatafuta udhamini wa kugombea urais au kura za wabunge. Hujaeleweka happy mkuuMajimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa
Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka
So then? Ndo mtapeleka watu barabarani? Sio kwa wantazania hawa, muulize Mange Kimambi, mtandaoni watakutia moyo ikifika siku ya siku watakufurahisha.We will accept nothing except free and fair election
Tumia akili badala ya hisia za chuki, uongo, uzandiki na ukasukuMajimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa
Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka
AminaKote kulikofanyiwa figisu kutanyooshwa..kubwa lilikuwa hili la uteuzi limepita
Lisu kuzunguka kote kule hajapata hata mbunge mmoja wa kupita bila kupingwa na anadanganya wazungu kuwa Hakuna chama kinapendwa Kama Chadema na yeyeTumia akili badala ya hisia za chuki, uongo, uzandiki na ukasuku
Hunaga akili, bali unaongozwa kwa uongo na chukiLisu kuzunguka kote kule hajapata hata mbunge mmoja wa kupita bila kupingwa na anadanganya wazungu kuwa Hakuna chama kinapendwa Kama Chadema na yeye
Utopolo mtupu fikiria kabla ya kuandika eti..bonge la tricky amna tricky hapo na amna anayeizungumiza cdm kama unavyofikiria
Hakuna kupita bila kupingwa , Tulia tulizanaMajimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa
Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka
Unaota? Amuka.HAKUNA Pingamizi kwa Mgombea wa Chadema
HAKUNA atakayezuiwa kufanya kampeni kwa UHURU
HAKUNA Mgombea wa upinzani atakayekamatwa au kufungwa
HAKUNA Mgombea wa upinzani atakayepatwa na mabaya yeyote
Ila Mshindi wa URAIS, Ubunge na Udiwani ni CCM
Na kwa wote wenye mapenzi mema.Kama mimi. Alhamdulillah [emoji120]
Hivi huwa ukiandika unafikiri kweli au unaandika tu almradi uonekane umeandika!?
Hawa ndio wale wanapigwa mateke jukwaani hawajielewiMajimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa
Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka
Hizo amri wapelekee wanao wanao kutegemea kula kulala au na wewe kula kulala manake hujiamini.Rais wako huyu utake usitakeView attachment 1548470
Hizo amri wapelekee wanao wanaokutemegemea kula kulala au na wewe kula kulala manake hujiaminiRais wako huyu utake usitakeView attachment 1548470
Utajua hujui habari ndio mzee hebu muangalie vizuri mister president wako kubali yaishe mzee ndio Rais wako huyuHizo amri wapelekee wanao wanaokutemegemea kula kulala au na wewe kula kulala manake hujiamini
MchekiHizo amri wapelekee wanao wanao kutegemea kula kulala au na wewe kula kulala manake hujiamini.
Huu ni mpngo mkubwa sana kukwepa gharama za uchaguzi ili pasiwe na çhaguzi sehemu nyingi ndiyo maana hàpahitajiki fedha nyingi kuendesha uchaguziKwanini wapite bila kupingwa, ccm wanaogopa uchaguzi? Hili halikubaliki, tunawanyima wananchi haki yao