Uchaguzi 2020 Hakuna pingamizi atawekewa mgombea wa CHADEMA

Uchaguzi 2020 Hakuna pingamizi atawekewa mgombea wa CHADEMA

Yule Mzee wa niguse ninuke naona sasa anajinukia tu na kutoa harufu kali kwani kwa mtazamo wa harakaharaka alitaka lisu akatwe ili yeye apate backup. Sasa amegonga mwamba.

Cha kumsaidia labda akamsaidie Maalim seif Zanzibar kupiga kampeni atapata nyomi
 
Naona ma bodyguard wa lisu wapo makini sana endeleeni hivyo hakikisheni hakuna inzi anakatiza mbele ya mgombea wetu kuleta rabsha.
 
I think that was a tricky bro ....ile walichokifanya chadema ni bonge moja la akili kwa sababu kadhaa .
1.kuwafanya wawe kwenye midomo ya watu na media for a long time before selection kuliko vyama vyingine..hili wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.
2.kuchelewesha zoezi la wao kutangazwa ili kuepusha wale wenye mapingamizi wasije kuwa na mda wa kufanya hivyo.
3. Hili linaweza kuwa halikuwa kwenye sababu za kwanini hawwakuhakiki huko majimboni nalo ni kuwakeep busy watu wa nec na chadema pekee maana chadema walikuwa na uhakika na kazi yao
4.kama wangepitishwa mchana kama ilivyokuwa kwa chauma au act etal isingekuwa breaking news kama ambavyo umetokea ....hapa haiihitaji ushahidi kulitambua......yote Tisa, Kumi ni hili la kutuweka roho juu Takriban masaa sita aisee that was tough time amongst the tough time ever...Hali ya jana sikumbuki ni lini katika maisha yangu nimewahi kuwa nayo ...nadhani asingepita ningeumia sana lakini yawezekana mimi ni strong ila kunawatu wengezimia kama siyo kufa....

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mkuu nilisubiri huku nikiwa nafuatilia youtube live hadi simu ikazima chaji...hapo ndipo nilijaa hofu na mashska[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilikuwa wakati mgumu mno
 
Chadema wajipange na kampeni tu sasa. And vile vile waweke pingamizi kwa hawa waliopita bila kupingwa.
.....na Lissu tayari analo pingamizi mkononi vs mgombea urais kupitia CCM.
walio karibu naye wanadai limem compromise mgombea wa CCM vibaya sana.

so, Lissu anasubiri tu awekewe pingamizi na bila kuchelewa naye atawasilisha lake papo kwa papo - ukimwaga mboga namwaga ugali!
 
Majimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa

Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka

Kwani uchaguzi umeshafanyika au na yeye unadhani anatamani hiyo dhuluma ya kuteka watu ili wabunge wake wapite bila kupingwa. Huko ni sawasawa na kujichafua mikono wakati unataka kwenda kula chakula
 
Hii ni akili ya kwenye shimo la choo. Unadhani kila anayekosoa jambo ni mtu wa chama kingine? Wakati patrobas katambi anaunga mkono hoja kila wakati ndani ya CDM mliwahi dhani ni mwana CCM aliyetumwa kuwa chunguza? Huo ni Ubwege sisi wenye akili tunawakosoa mjirekebishe. Nyie mnataka nyimbo za sifa na mapambio tu.

Iliwashinda nini hiyo sayansi ya siasa mkampiga risasi Lisu? Au risasi nayo ni sayansi ya siasa
 
Majimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa

Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka
wamepita bila kupingwa katika mazingira yapi by the way ngoma bado mbichi sana katika mjimbo husika subiri na utaona
 
Ni kujipa moyo tu kwa CDM. hakuna mambo ya kiroho uliyoyaelezea. Siasa ni sayansi na inataka mipango. Sasa wewe danganya watu na habari za kiroho ni dalili njema. CDM wajipange kwa kila hatua. Ambao hawakupita mikoani walijipanga pia kwa sababu zao kadhaa lakini pia hakukua na haja.

Tundu Lissu ange save the last dance for wakati wa kuomba kura. Watu wangejawa na shauku kubwa zaidi ya kumwona wakati wa kampeni.but pia ange save gharama zisizo na sababu.

Tufikie hatua tuwe tunaandika kisayansi na si kihisia na kujidai tunafahamu mambo ya rohoni.hayo ni siri kubwa anayoijua Mungu tu.

Kwahiyo huyo waliyemuona miaka mitano unasemaje kuhusu shauku ya kumuonabkwenye kampeni ya siku 60
 
Yule Mzee wa niguse ninuke naona sasa anajinukia tu na kutoa harufu kali kwani kwa mtazamo wa harakaharaka alitaka lisu akatwe ili yeye apate backup. Sasa amegonga mwamba.

Cha kumsaidia labda akamsaidie Maalim seif Zanzibar kupiga kampeni atapata nyomi
ameniudhi sana na kauli zake nafikili kama chadema wataunganisha nguvu na act basi iwe tu kwa heshima ya seif , mgombea gan wagombea ubunge wa chama chake wanaptwa na kupitia mambo magum hata tamko hatoi
 
Zile saa nane ama yale masaa manane jana ya tar 25. August. 2020 ya kumsubirisha mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA kuanzia saa sita mchana mpaka jioni ya saa moja na dk 40 yalikuwa ni faida tupu kwakwe.

Trust me wale wagombea wengine waliopewa kipaumbele na kuharibu ratiba wakaingia fasta wakapokelewa na kupitishwa haraka wamefanya makosa mengi ya kisheria na hili litawagharimu pakubwa.

Mgombea wa CHADEMA ndie pekee kazunguka mikoa 16 katika uhalisia wake kutafuta wadhamini...hii imempa credit kubwa sana..ni awali njema..awali iliyokosa mawaa wananchi katika uhalisia wao na kwa furaha bila shuruti wakamdhamini kwa mikono yao na vidole vyao wenyewe..hii kiroho ni hali chanya yenye uhai.

Wagombea wengine wamepata wadhamini kupitia daftari la kupigia kura(pengine kupitia tume ya uchaguzi) yamenyofolewa majina wakajaziwa...akidi ikatimia tume ikapitisha kwa mtazamo wa haraka unaweza kudhani hakuna shida...! Lakini kiroho kuna shida kubwa sana.

Udhamini wa hawa wagombea wengine ni mfu hauna uhai kwakuwa mgombea hajakutana ana kwa ana na hao anaotaka wamdhamini. Udhamini wa hawa hauna msingi chanya kwakuwa baadhi ya hayo majina kuna marehemu ndani yake. kuna wengine hawampendi tena mgombea..kuna wengine wameshahama vyama nknk. Nina hakika hata wengine number zao za simu hazipatikani tena ama wao wenyewe hawajulikana walipo. Kwahiyo hapa tunaona wazi kabisa hakuna muunganiko wa kiroho na hata kimwili kati ya mdhamini na mdhaminiwa

Ukiachana na hayo upangaji wa mipango na ratiba ya kuomba udhamini kwa CHADEMA vilikuwa vizuri na vya viwango vinavyotakikana na tume ya uchaguzi na kwa sheria za uchaguzi..namna watu walivyojikusanya na kukusanyika..vibe chanya waliyokuwa nayo..zoezi zima la udhamini lilivyoenda nknk..ukiachana na delayments zisizozuilika zoezi zima la kutafuta wadhamini lilikuwa perfect..Hili limekishape chama na kukiongezea credit kubwa!

Uwezo na matumizi ya fedha...kwenye hili tena CHADEMA wamepiga bao lingine la haja..Jamani inahitajika mipango kabambe na fungu la kutosha kuweza kuzunguka mikoa 16 na mfasara wa watu wasiopungua 20 na wote hao wapate chakula malazi nk na magari yapate mafuta nk

Udhamini wa kimyakimya ni udhamini wa kificho na uliojaa makandokando mengi hata kijamii pia ukiachana na kisheria..hauleti tumaini na hisia za umoja na kuwa wamoja kati ya mdhamini na mdhaminiwa.

Tuna masaa chini ya 15 kwa ajili ya kuwekeana mapingamizi ni masaa machache lakini yaliyobeba simulizi nyingi...wewe wakati uko kitandani mwako umelala kuna watu hawajalala wala kupumzika wako busy kuhakikisha wanaruka na kukwepa vizingiti na hila zote za pingamizi.
Umefafanua vizuri sana.
 
Zile saa nane ama yale masaa manane jana ya tar 25. August. 2020 ya kumsubirisha mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA kuanzia saa sita mchana mpaka jioni ya saa moja na dk 40 yalikuwa ni faida tupu kwakwe.

Trust me wale wagombea wengine waliopewa kipaumbele na kuharibu ratiba wakaingia fasta wakapokelewa na kupitishwa haraka wamefanya makosa mengi ya kisheria na hili litawagharimu pakubwa.

Mgombea wa CHADEMA ndie pekee kazunguka mikoa 16 katika uhalisia wake kutafuta wadhamini...hii imempa credit kubwa sana..ni awali njema..awali iliyokosa mawaa wananchi katika uhalisia wao na kwa furaha bila shuruti wakamdhamini kwa mikono yao na vidole vyao wenyewe..hii kiroho ni hali chanya yenye uhai.

Wagombea wengine wamepata wadhamini kupitia daftari la kupigia kura(pengine kupitia tume ya uchaguzi) yamenyofolewa majina wakajaziwa...akidi ikatimia tume ikapitisha kwa mtazamo wa haraka unaweza kudhani hakuna shida...! Lakini kiroho kuna shida kubwa sana.

Udhamini wa hawa wagombea wengine ni mfu hauna uhai kwakuwa mgombea hajakutana ana kwa ana na hao anaotaka wamdhamini. Udhamini wa hawa hauna msingi chanya kwakuwa baadhi ya hayo majina kuna marehemu ndani yake. kuna wengine hawampendi tena mgombea..kuna wengine wameshahama vyama nknk. Nina hakika hata wengine number zao za simu hazipatikani tena ama wao wenyewe hawajulikana walipo. Kwahiyo hapa tunaona wazi kabisa hakuna muunganiko wa kiroho na hata kimwili kati ya mdhamini na mdhaminiwa

Ukiachana na hayo upangaji wa mipango na ratiba ya kuomba udhamini kwa CHADEMA vilikuwa vizuri na vya viwango vinavyotakikana na tume ya uchaguzi na kwa sheria za uchaguzi..namna watu walivyojikusanya na kukusanyika..vibe chanya waliyokuwa nayo..zoezi zima la udhamini lilivyoenda nknk..ukiachana na delayments zisizozuilika zoezi zima la kutafuta wadhamini lilikuwa perfect..Hili limekishape chama na kukiongezea credit kubwa!

Uwezo na matumizi ya fedha...kwenye hili tena CHADEMA wamepiga bao lingine la haja..Jamani inahitajika mipango kabambe na fungu la kutosha kuweza kuzunguka mikoa 16 na mfasara wa watu wasiopungua 20 na wote hao wapate chakula malazi nk na magari yapate mafuta nk

Udhamini wa kimyakimya ni udhamini wa kificho na uliojaa makandokando mengi hata kijamii pia ukiachana na kisheria..hauleti tumaini na hisia za umoja na kuwa wamoja kati ya mdhamini na mdhaminiwa.

Tuna masaa chini ya 15 kwa ajili ya kuwekeana mapingamizi ni masaa machache lakini yaliyobeba simulizi nyingi...wewe wakati uko kitandani mwako umelala kuna watu hawajalala wala kupumzika wako busy kuhakikisha wanaruka na kukwepa vizingiti na hila zote za pingamizi.
Kaijage kumpanga Lisu wa mwisho inaashiria Nini kiroho??

Pia kumpanga wa mwisho kumepunguza masaa ya pingamizi he hii tuite Ni blessing in disguise??
 
Mimi binafsi moyo wangu umetulia, Jana mapigo ya moyo yalikuwa juu nikiwazia Nani tofauti na Lisu ataikomboa hii nchi kutoka kwa mkoloni ccm. Mapingamizi yoyote ya Lisu Ni takataka tu, mwenye akili hawawezi kufanya hivyo maana Ni kujidhalilisha mbele ya uma wa Watanzania
Na ujiandae kisaikolojia wakati wa kutanganzwa matokeo, vinginevyo ....
 
Zile saa nane ama yale masaa manane jana ya tar 25. August. 2020 ya kumsubirisha mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA kuanzia saa sita mchana mpaka jioni ya saa moja na dk 40 yalikuwa ni faida tupu kwakwe.

Trust me wale wagombea wengine waliopewa kipaumbele na kuharibu ratiba wakaingia fasta wakapokelewa na kupitishwa haraka wamefanya makosa mengi ya kisheria na hili litawagharimu pakubwa.

Mgombea wa CHADEMA ndie pekee kazunguka mikoa 16 katika uhalisia wake kutafuta wadhamini...hii imempa credit kubwa sana..ni awali njema..awali iliyokosa mawaa wananchi katika uhalisia wao na kwa furaha bila shuruti wakamdhamini kwa mikono yao na vidole vyao wenyewe..hii kiroho ni hali chanya yenye uhai.

Wagombea wengine wamepata wadhamini kupitia daftari la kupigia kura(pengine kupitia tume ya uchaguzi) yamenyofolewa majina wakajaziwa...akidi ikatimia tume ikapitisha kwa mtazamo wa haraka unaweza kudhani hakuna shida...! Lakini kiroho kuna shida kubwa sana.

Udhamini wa hawa wagombea wengine ni mfu hauna uhai kwakuwa mgombea hajakutana ana kwa ana na hao anaotaka wamdhamini. Udhamini wa hawa hauna msingi chanya kwakuwa baadhi ya hayo majina kuna marehemu ndani yake. kuna wengine hawampendi tena mgombea..kuna wengine wameshahama vyama nknk. Nina hakika hata wengine number zao za simu hazipatikani tena ama wao wenyewe hawajulikana walipo. Kwahiyo hapa tunaona wazi kabisa hakuna muunganiko wa kiroho na hata kimwili kati ya mdhamini na mdhaminiwa

Ukiachana na hayo upangaji wa mipango na ratiba ya kuomba udhamini kwa CHADEMA vilikuwa vizuri na vya viwango vinavyotakikana na tume ya uchaguzi na kwa sheria za uchaguzi..namna watu walivyojikusanya na kukusanyika..vibe chanya waliyokuwa nayo..zoezi zima la udhamini lilivyoenda nknk..ukiachana na delayments zisizozuilika zoezi zima la kutafuta wadhamini lilikuwa perfect..Hili limekishape chama na kukiongezea credit kubwa!

Uwezo na matumizi ya fedha...kwenye hili tena CHADEMA wamepiga bao lingine la haja..Jamani inahitajika mipango kabambe na fungu la kutosha kuweza kuzunguka mikoa 16 na mfasara wa watu wasiopungua 20 na wote hao wapate chakula malazi nk na magari yapate mafuta nk

Udhamini wa kimyakimya ni udhamini wa kificho na uliojaa makandokando mengi hata kijamii pia ukiachana na kisheria..hauleti tumaini na hisia za umoja na kuwa wamoja kati ya mdhamini na mdhaminiwa.

Tuna masaa chini ya 15 kwa ajili ya kuwekeana mapingamizi ni masaa machache lakini yaliyobeba simulizi nyingi...wewe wakati uko kitandani mwako umelala kuna watu hawajalala wala kupumzika wako busy kuhakikisha wanaruka na kukwepa vizingiti na hila zote za pingamizi.
Nami nasisitiza tena,Lissu ni Daudi au Musa wa Tanzania,I mean Daudi na Musa wale wa biblia.Wafuasi,wapenzi na wananchi wote wa Tanzania tunapaswa kumuamini na kujiamini pia.Wamalawi hawakumhofia APM kwa lolote bali waliamini katika nguvu waliyonayo na nguvu ya mgombea wao hiyo ndo njia tunapaswa kuifuata pia
 
Back
Top Bottom