Hakuna Rais wa Tanzania aliyewahi kumteua Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji wa Mahakama yoyote hapa nchini, awe mkweli asipotoshe

We mbwa huna akili, Jaji Warioba aliwahi kuhudumu kama Jaji kwenye International Tribunal for the Law of the sae based in Hamburg, German (1996-1999) wakati ambao babako alikuwa anapiga puchu, acha upumbavu mnapewa buku buku za vocha kuandika ujinga. Bastard Soma Wikipedia kwa ufupi utamuelewa huyu nguli .
 

Ifahamike tu kuwa Juji Warioba ni Mtanganyika Mwenzetu . Hana uraia pacha kama Wazanzibari.

Mtanganyika wetu hata kama Awe ni Jaji au juju au jagler au jagi au chaji sisi hayaruhusu na haiondoi ukweli wa kauli yake .
Shetani haitamshinda Mungu milele.

Kuna majaji wa mwendokasi humu dunia hawastahili hata kuwa Matarishi wa mahakama.

CCM mlishasema kuwa ushindi kwenu ni lazima Mungu apende asipende .
Tana mkakazia kuwe kifo ni kifo tu.
Na tena mkamaliza kabisa kwa kutoa maelekezo kuwa wameota mikia .
Binadamu mwenye mkia hawezi kukubaliwa atakatwa
 
Ila chawa ni wasenge badala uajdili hoja anajadili mtu ambaye huwezi pambana naye kwa hoja

Au umetumwa make chawa hili taifa mnadhani ni letu mwingine akiwa kinyume chenu hafai
 
Ana macho kama ya senene, madogo, labda kwa sababu ya sigara na gongo
 
Kwa hiyo unataka kusemaje??
 
Ila chawa ni wasenge badala uajdili hoja anajadili mtu ambaye huwezi pambana naye kwa hoja

Au umetumwa make chawa hili taifa mnadhani ni letu mwingine akiwa kinyume chenu hafai
Baba, uchawa ni uchafu, muda wowote lazima ajitahidi kuchafua hali ya hewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…