Hakuna Rais wa Tanzania aliyewahi kumteua Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji wa Mahakama yoyote hapa nchini, awe mkweli asipotoshe

Huu upuuzi usingekuwepo hapa leo endapo kimoja wapo katika hivi hapa chini kingefanywa;

1. P2 ingetumika

2. Kondomu ingetumika

3. Manii zingemwagwa nje

4. Mimba ingetolewa

Alamsiki..!!
 
Huu upuuzi usingekuwepo hapa leo endapo kimoja wapo katika hivi hapa chini kingefanywa;

1. P2 ingetumika

2. Kondomu ingetumika

3. Manii zingemwagwa nje

4. Mimba ingetolewa

Alamsiki..!!
 
Kuna tribunals za kimataifa zinaweza kumteua mtu kuwa jaji katika tribunals hizo, ndivyo ilivyokuwa kwa Warioba. Katika utaratibu huu Rais wa nchi hahusiki katika uteuzi wa jaji
 
Kuna tribunals za kimataifa zinaweza kumteua mtu kuwa jaji katika tribunals hizo, ndivyo ilivyokuwa kwa Warioba. Katika utaratibu huu Rais wa nchi hahusiki katika uteuzi wa jaji
Weka hukumu yake hata moja
 
Yani wewe unamnanga warioba na hicho form 4 chako cha div 0 kweli huna akili
 
Na hoja kuhusu udhaifu mkubwa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uta google au hiyo unamwachia mchengerwa?
 
Naona ZANZI imekupalia na inatokea mapuani 🤧🤧
 
Sidhani kama ujaji wake unatuhusu zaidi ya uzito, ukweli na uwazi wa hoja zake. Je katiba inaruhusu jeshi lolote kujihusisha na siasa ?. Je, wagombea walienguliwa kivyama ? Je palikuwa na kasoro kwenye taratibu za uchaguzi wa SM ?
 
🤣🤣🤣
Yaani We bwege tu unamiliki kadi ya CCM tu, tena kadi yenyewe ulipewa, hukuwahi kununua au kulipia ada, Unajifanya unamjua sana Mzee Jaji Joseph Sinde Warioba ???

Hebu kaa na uchawa na ufala wako huko
 
🤣🤣🤣
Yaani We bwege tu unamiliki kadi ya CCM tu, tena kadi yenyewe ulipewa, hukuwahi kununua au kulipia ada, Unajifanya unamjua sana Mzee Jaji Joseph Sinde Warioba ???

Hebu kaa na uchawa na ufala wako huko
Mimi Chadema, sio CCM, nitake radhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…