zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Jibu umeshapewa nini kingine unataka?Acha makasiriko na lugha chafu, jiteteeni kwa mzee Joseph.
chenge aliwahi kuwa mwanasheria mkuu hajawahi kuwa judge.Mashudu wewe kichwabox mmekaririshwa ujaji mpaka uwe mahakama kuu tu au sio? Yeye alikua jaji wa kimataifa sio wa kitaifa tu huelewi? Kumbuka kabla ya hapo alishashika nafasi ya Mwanasheria mkuu wa Serikali sasa anashindwa vipi kua jaji?
hii haiondoi ukweli yego jaji hajawahi kuhudumu mahakama kuu ya tanzania na hajawahi teuliwa na raisFollowing his tenure as prime minister, he served as a judge on the Hamburg, Germany-based International Tribunal for the Law of the Sea from 1996 to 1999.
Jaji Joseph Sinde Warioba ni mmoja wa viongozi mashuhuri katika historia ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ana sifa kubwa kama mwanasheria, mwanasiasa, na mtumishi wa umma. Hapa ni muhtasari wa mchango wake muhimu:Mzee Warioba amekemea uhuni wa jeshi la polisi kutumika kisiasa na CCM hadi likaitwa PoliCCM.
Mimi naungana na mzee Warioba maana amesimamia ile ahadi ya mwanaccm "Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko"
Nyie kunguni wa mama endeleeni kupokea maelekezo ya kumjibu ila ukweli umewafikia.
Mzee amejitokeza mbele kukemea uovu najua mtamtumia wahuni tena wamdhuru kama yule muhuni aliyepaswa kuwepo gerezani ila mmempa ukuu wa mkoa.
Warioba ni msomi , usifikiri ni sawa na huyo mama yenu mwenye udaktari wa kupewa kila kukicha huku ikiwa inajulikana rekodi yake kitaaluma ni mbovu.
View attachment 3170367
Kwahiyo anayeteua Mtu kuwa Judge ni Mama Yako Mzazi,hii haiondoi ukweli yego jaji hajawahi kuhudumu mahakama kuu ya tanzania na hajawahi teuliwa na rais
"Kutakuwa na Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo itakuwa na majaji watakaoteuliwa na Rais."
"Majaji wa Mahakama ya Rufani, isipokuwa Jaji Mkuu, watateuliwa na Rais baada ya kushauriana na Tume ya Utumishi wa Mahakama."
Nimekua nikiileza sana hapa jukwani ni Tabia mbaya sana ambayo wamekua nayo vijana wa Ccm. Badala ya kujadili jambo lilloko mezani hukimbilia kumjadili mtu Ili kuondoa uhalali wa hoja yake! Hawa watu ni hatari wakimaliza kuwashanbulia wanaowakosoa hurudiana wenyewe Kwa wenyewe. They are like Wala mizoga! Ni hatari kwa amani ya nchiAd hominem logical fallacy.
1. Sifa za Jaji wa Mahakama KuuUjaji wa kuunga unga?
Kwani akaunti yako unaitumia na nani,wana wanasema pia umekuwa mhangaama sii kweli?Majibu tafadhali au wana wamegeuka snitch hivi sasa?Relax tu gentleman 🐒
huna haja ya kubabaika kwa porojo na story za pata potea,Kwani akaunti yako unaitumia na nani,wana wanasema pia umekuwa mhangaama sii kweli?Majibu tafadhali au wana wamegeuka snitch hivi sasa?
Sasa japo wanaelewa kama ni chawa,inaweza kuwa ndipo shida ilipo.Hawa ndiyo Chawa Pro Max.
Hata ukilia ni wewe tu.Kwani akaunti yako unaitumia na nani,wana wanasema pia umekuwa mhangaama sii kweli?Majibu tafadhali au wana wamegeuka snitch hivi sasa?
Na hata 1995 alipigwa kata funua na Wasira kwenye kura za maoni za CCM kwenye kuwania ubunge wa BUNDA.ujaji autoe wapi yule Mzee, hiyo ilikua ni a.k.a yake tu mtaani,
ni mjanja mnjanja tu,
ndio maana eti katika uzee ule, nae anajifanya ni Gen z, dah 🐒
kuzeeka kwingine ni vioja sana.
baada ya kushindwa vibaya uchaguzi mkuu kule bunda miaka ile, huyu Mzee alipata mawenge sana na akapoteza ramani kabisa, ndipo sasa hayati Baba wa Taifa J.K.Nyerere akamuokota jalalani baada ya kudhalilika sana mtaani na akamrudisha relini kwabkumteua serikalini...
sasa sijui mawenge ameyatolea wapi saivi hadi awe na gubu kiasi hiki dhidi ya serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania wote DR Samia Suluhu Hassan?🐒
sasa ndiyo unitukane? ila haindoi ukweli kuwa hajawahi hudumu mahakama kuu, ni kama mimi haindoi ukweli sijawahi jiunga chademaKwahiyo anayeteua Mtu kuwa Judge ni Mama Yako Mzazi,
Joseph Sinde WARIOBA alikua JAJI wa mahakama ya Rufani na Rais wa Jmt ndiye mwenye mamlaka ya kumteua mtu kuwa JAJI!
Awe wa mahakama kuu au mahakama ya Rufani!
Katiba yenyewe hamuijui ninyi si mtaishia kuuwa watu tu wanaowataka mfuate katiba?
Uteuzi wa Majaji wa Mahakama Kuu
Ibara ya 109 (1) ya Katiba inasema:
Ibara ya 109 (7) inabainisha kuwa Rais hufanya uteuzi wa Majaji wa Mahakama Kuu baada ya kushauriana na Tume ya Utumishi wa Mahakama.
2. Uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Rufani
Ibara ya 118 (2) ya Katiba inasema:
Maelezo ya Jumla:
Jaji Mkuu wa Tanzania (Chief Justice) huteuliwa moja kwa moja na Rais bila masharti ya kushauriana.
Majaji wa Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufani wanapaswa kuwa na sifa za kisheria zilizobainishwa kwenye Katiba na s
heria nyingine husika.
Wanampaisha tu Mzee Warioba, yani kama watu walianza kusahau ndiyo wanakumbushwa maneno aliyosema na kujua kuwa kumbe yale maneno yamewagusa chawa wa CCM na mabosi wao.Nimekua nikiileza sana hapa jukwani ni Tabia mbaya sana ambayo wamekua nayo vijana wa Ccm. Badala ya kujadili jambo lilloko mezani hukimbilia kumjadili mtu Ili kuondoa uhalali wa hoja yake! Hawa watu ni hatari wakimaliza kuwashanbulia wanaowakosoa hurudiana wenyewe Kwa wenyewe. They are like Wala mizoga! Ni hatari kwa amani ya nchi
Ukiwa mjinga unastahili elimu na ukiwa mpumbavu utatukanwa sababu ya upumbavu wako.sasa ndiyo unitukane? ila haindoi ukweli kuwa hajawahi hudumu mahakama kuu, ni kama mimi haindoi ukweli sijawahi jiunga chadema
sijakukatalia na maelezo yako yako sawa, tatizo ni kunitukana tuUkiwa mjinga unastahili elimu na ukiwa mpumbavu utatukanwa sababu ya upumbavu wako.
Hayo Yote unavyosema hayaondoi uhalali wa Yale aliyosema Kwa sababu hayana muktadha wa kimahakama kwamba alikua anaendesha shauri au anatoa hukumu Kwa jambo ambalo hana uwezo nalo.
Amezungunza jambo la kisiasa zaidi Kwa uongozi wa jumla wa watu kwakua amekua sehemu yake kama Waziri mkuu na kama mbunge!
Kama nimekueleza vyema kwamba JAJI WARIOBA amehudumu kama JAJI wa mahakama ya Rufani ni vyema ukajua kwamba katika ngazi za mahakama kwa mujibu wa katiba yetu Mahakama ya Rufani IPO juu ya mahakama kuu!
Ila kwakua wewe ni bumunda na Ndio Ccm wanawapenda umeng'ang'ania kwamba hakuwahi kuwa Jaji wa mahakama kuu!
Mjinga wewe
Maelezo haya yameainishwa katika Sura ya Nane ya Katiba.
1. Mahakama ya Rufani ya Tanzania
Ibara ya 117: Inatamka kwamba kutakuwa na Mahakama ya Rufani ambayo ni mahakama ya juu kabisa katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Inahusisha Jaji Mkuu (Chief Justice) na Majaji wa Rufani wengine walioteuliwa.
Majukumu: Kusikiliza rufaa kutoka Mahakama Kuu na kutoa maamuzi ya mwisho.
2. Mahakama Kuu ya Tanzania
Ibara ya 108: Inatamka kwamba kutakuwa na Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yenye mamlaka ya kusikiliza kesi za aina zote (mamlaka ya asili).
Mahakama Kuu ina majaji walioteuliwa na Rais, na majukumu yake yanahusu kusikiliza kesi za jinai, madai, na kikatiba.
Inaweza kusikiliza rufaa kutoka ngazi za chini ya mahakama na kutoa tafsiri ya Katiba.
3. Mahakama za Wilaya, Mitaa, na Hakimu Mkazi
Ibara ya 109(1) inaruhusu Bunge kutunga sheria za kuanzisha mahakama za ngazi za chini kama vile:
Mahakama za Hakimu Mkazi: Zina mamlaka ya kati katika kusikiliza kesi za jinai na madai, ikiwa ni pamoja na rufaa kutoka Mahakama za Mwanzo.
Mahakama za Wilaya: Zina mamlaka ndogo zaidi na hufanya kazi katika wilaya.
Mahakama za Mwanzo: Zina mamlaka ya kusikiliza kesi za msingi wa jamii, kama vile migogoro ya ardhi na masuala ya ndoa kwa mujibu wa sheria za kitamaduni na mila
Huyu chawa kwake yeye ili uwe jaji ni lazima rais wa Tanganyika akuteue. Vinginevyo hiwezi kuwa jaji.Jibu hilo hapo:
Mnamo 1985, alikua Waziri Mkuu na, wakati huo huo, Makamu wa Pili wa Rais hadi 1990. Baada ya muda wake kama waziri mkuu, aliteuliwa kuwa jaji katika Mahakama ya Kimataifa ya Sheria ya Bahari yenye makao yake makuu mjini Hamburg. (ITLOS).
Uliza swali lingine
Haya tukubaliane na wewe na wenzako usimuite Jaji. Wengine wataendelea. Rejea East African court of justice.Huyo sio Jaji, ujaji mpaka ajielezee saaaana kama unatafuta chawa kwenye manyoya ya kondoo