Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Una changamoto ya akili si bure.Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.
Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo
Kwanini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?
Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
hiyo nafasi mkapa aliyomteua ina hadhi ya judge wa mahakama kuu?aliwahi kuwa jaji wa Hamburg, Korti ya kimataifa ya makao yake makuu ya Ujerumani ya Sheria ya Bahari kutoka 1996 hadi 1999. Zaidi ya hayo, mnamo 1996, Rais Benjamin Mkapa alimteua kama mwenyekiti wa Tume ya Rais Dhidi ya Serikali Rushwa, inajulikana zaidi kama Tume ya Warioba.
Sisi hatujui kusoma wala Kuandika na zaidi hatuna shughuli zinazotambulika.Umeona nayaongelea hapa? Ndio maana mnakosea kujaza fomu za ugombea
Hata kama ni hivyo, kwa watu wa Mara Jaji maana yake Kaka. Kwahiyo hakuna kosa bado akiitwa hivyo na hakuna upotoshaji wowote uleKatika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.
Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo
Kwanini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?
Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Jaji itapendezaBasi ajiite "chikaka", " masika"
Siku hiyo mlikanunulia whisky?
Kuwa Waziri Mkuu Mstaafu ni Cheo kikubwa kuliko Jaji wa Mahakama.Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.
Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo
Kwanini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?
Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
tuongeze tu Yego jajiHata kama ni hivyo, kwa watu wa Mara Jaji maana yake Kaka. Kwahiyo hakuna kosa bado akiitwa hivyo na hakuna upotoshaji wowote ule
Hawa wanaopewa udaktari kwa uchawa nao unasemaje?Huwezi kumuita kwa cheo ambacho hakipo
Hapa naona uko nje ya mada kabisa,jibuni hoja zake tuwasikieKatika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.
Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo
Kwanini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?
Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Iwe hivyo au isiwe hivyo,sio issue Wala kuwa jaji siku hizi za sasa.Kikubwa ni kujibu hoja zake.Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.
Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo
Kwanini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?
Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Kwa hiyo rejea haziruhusiwi?Hiyo mada yao ni ya siku nyingine, ukiingia kwenye mtihani usijitungie swali, jibu swali lililo mezani. Nyie ndio mnakatisha tamaa wazazi kulipa ada
Nilichogundua ni uelewa wako mdogo alafu unajikuta mjuaji. All the best Mkuu.Una nakala ya hukumu wakati akiwa Mahakama ya Afrika Mashariki? E.A.C.A? au E. A? Haipo! Hajawahi kuwa Jaji huko, pitia hata H. C. D hayumo,
Soma ukurasa wa 54 na 55 wa hiyo document vitakusaidia kuondoa chuki na ujinga kiongozi.Wewe ndio kabisaa, huna akili