Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 3,506
- 2,606
Shida nini? kukosoa uchafuzi wa sikali za mitaa?Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.
Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo
Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?
Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Angeluwa mjanja mjanja asingechaguliwa katika nyadhifa alizowahi kushika.ujaji autoe wapi yule Mzee, hiyo ilikua ni a.k.a yake tu mtaani,
ni mjanja mnjanja tu,
ndio maana eti katika uzee ule, nae anajifanya ni Gen z, dah 🐒
kuzeeka kwingine ni vioja sana.
baada ya kushindwa vibaya uchaguzi mkuu kule bunda miaka ile, huyu Mzee alipata mawenge sana na akapoteza ramani kabisa, ndipo sasa hayati Baba wa Taifa J.K.Nyerere akamuokota jalalani baada ya kudhalilika sana mtaani na akamrudisha relini kwabkumteua serikalini...
sasa sijui mawenge ameyatolea wapi saivi hadi awe na gubu kiasi hiki dhidi ya serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania wote DR Samia Suluhu Hassan?🐒
Hapana, siyo Mtusi bali Mjerumani maana alishawahi kuishi huko!Ni mtusi, angalia hiyo sura na pua
Kwa mara ya unacoment vya kueleweka!Mkuu hebu fafanua hilo jina alilipata wapi tuanzie hapo!
acha upotoshaji gentleman,Angeluwa mjanja mjanja asingechaguliwa katika nyadhifa alizowahi kushika.
Not you chawa kati yenu mwenye heavy CV kama yake, hamna hata hadhi ya kufuta viatu vyake
Jibuni hoja zake badala ya kumshambulia mtu
Hoja si gubu, kwa sasa ni retired hana haja ya vyeo, wala chochote.acha upotoshaji gentleman,
ana hoja au gubu, hata watu wapoteze muda wao kubabaika nae? alaaa🐒
Jaji warioba kapiga kwenye mshono, machawa wanarukaruka tuKatika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.
Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo
Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?
Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
tuliza mihemko ya kinyumbu gentleman,Hoja si gubu, kwa sasa ni retired hana haja ya vyeo, wala chochote.
So punguzeni kushambulia mtu, shambukia hoja kenge wahed
Wapi amejifanya gen z? Hakuna mahali and he is not gen z, he did his job ,now he is taking his time off.tuliza mihemko ya kinyumbu gentleman,
nadhan kama taifa hakuna haja ya kubabaika na zee linalojifanya gen z.
tuanze maandalizi ya uchaguzi mkuu wa Oct 2025🐒
Wewe mbona hujaibu hoja za Warioba?Bado hujajibu hoja, huko unaenda na hadhi yako
Kweli umempa za uso huyo bwege.Kuwa UVCCM haimaanishi kwamba usiwe na akili.
"Warioba served as a judge on the Hamburg, Germany-based International Tribunal for the Law of the Sea from 1996 to 1999".
Unajaribu kuifuta hiyo record?? Bwege wewe
Tena na Rais Kikwete kampa kazi maalum huku akimwita Jaji sasa anakuja Chiembe hapo kwenye chi mbele yake palistahili pafuate n ndiyo maneno yaendelee.Ebu tueleze, kwann anaitwa jaji ,ujaji kaupataje? Kwamba kajipachika tu kweli!?kwann ukusema miaka yote
kwenye chi mbele yake jumlisha n.Jamaa ana minyoo kwenye ubongo sio uongo kabisa huyu si ndio chiembe ?
Wapumbavu Mmeanza! Taja mahakama na hukumu za jaji Mutungi basi ambaye ndiye Bora kwakoKatika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.
Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo
Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?
Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Aisee,huyu jamaa sijui kavuta bangi ya namna gani.Wapumbavu Mmeanza! Taja mahakama na hukumu za jaji Mutungi basi ambaye ndiye Bora kwako
Hii pdf document ya International Tribunal for the Law of the Sea imemtaja Joseph Sinde Warioba kama mmoja wa majaji wa tribunal hiyo.Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.
Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo
Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?
Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.