Hakuna Rais wa Tanzania aliyewahi kumteua Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji wa Mahakama yoyote hapa nchini, awe mkweli asipotoshe

Hakuna Rais wa Tanzania aliyewahi kumteua Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji wa Mahakama yoyote hapa nchini, awe mkweli asipotoshe

Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Shida nini? kukosoa uchafuzi wa sikali za mitaa?
 
ujaji autoe wapi yule Mzee, hiyo ilikua ni a.k.a yake tu mtaani,

ni mjanja mnjanja tu,
ndio maana eti katika uzee ule, nae anajifanya ni Gen z, dah 🐒

kuzeeka kwingine ni vioja sana.

baada ya kushindwa vibaya uchaguzi mkuu kule bunda miaka ile, huyu Mzee alipata mawenge sana na akapoteza ramani kabisa, ndipo sasa hayati Baba wa Taifa J.K.Nyerere akamuokota jalalani baada ya kudhalilika sana mtaani na akamrudisha relini kwabkumteua serikalini...

sasa sijui mawenge ameyatolea wapi saivi hadi awe na gubu kiasi hiki dhidi ya serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania wote DR Samia Suluhu Hassan?🐒
Angeluwa mjanja mjanja asingechaguliwa katika nyadhifa alizowahi kushika.
Not you chawa kati yenu mwenye heavy CV kama yake, hamna hata hadhi ya kufuta viatu vyake
Jibuni hoja zake badala ya kumshambulia mtu
 
Angeluwa mjanja mjanja asingechaguliwa katika nyadhifa alizowahi kushika.
Not you chawa kati yenu mwenye heavy CV kama yake, hamna hata hadhi ya kufuta viatu vyake
Jibuni hoja zake badala ya kumshambulia mtu
acha upotoshaji gentleman,

ana hoja au gubu, hata watu wapoteze muda wao kubabaika nae? alaaa🐒
 
Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Jaji warioba kapiga kwenye mshono, machawa wanarukaruka tu
 
Hoja si gubu, kwa sasa ni retired hana haja ya vyeo, wala chochote.
So punguzeni kushambulia mtu, shambukia hoja kenge wahed
tuliza mihemko ya kinyumbu gentleman,

nadhan kama taifa hakuna haja ya kubabaika na zee linalojifanya gen z.

tuanze maandalizi ya uchaguzi mkuu wa Oct 2025🐒
 
Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Wapumbavu Mmeanza! Taja mahakama na hukumu za jaji Mutungi basi ambaye ndiye Bora kwako
 
Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Hii pdf document ya International Tribunal for the Law of the Sea imemtaja Joseph Sinde Warioba kama mmoja wa majaji wa tribunal hiyo.

Wanaomuita Jaji hawajamuita Jaji wa mahakama ya Tanzania. What is your point? Kwamba mtu hawezi kuwa jaji mpaka awe jaji wa mahakama ya Tanzania?

 
Back
Top Bottom