Chawa nene lililovimbiana limeanza yake.Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.
Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo
Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?
Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
MEMKWA hawezi elewa mwacheni aendelee kuvuta bangi tu.Hii pdf document ya International Tribunal for the Law of the Sea imemtaja Joseph Sinde Warioba kama mmoja wa majaji wa tribunal hiyo.
Wanaomuita Jaji hawajamuita Jaji wa mahakama ya Tanzania. What is your point? Kwamba mtu hawezi kuwa jaji mpaka awe jaji wa mahakama ya Tanzania?
Hivi hivi wengine walimvunjia heshima ubungoKatika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.
Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo
Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?
Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Sasa katika baraza la kimataifa la utatuzi wa migogoro ya bahari wanakaa majaji kuamua kesi za migogoro ya bahari maana yake yeye Warioba ni Jaji.Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.
Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo
Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?
Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Ujaji wa kuunga unga?Hii pdf document ya International Tribunal for the Law of the Sea imemtaja Joseph Sinde Warioba kama mmoja wa majaji wa tribunal hiyo.
Wanaomuita Jaji hawajamuita Jaji wa mahakama ya Tanzania. What is your point? Kwamba mtu hawezi kuwa jaji mpaka awe jaji wa mahakama ya Tanzania?
Si hivyo tu hata hiyo Takukuru ambayo inawalea CCM na kuongoza kwa Rushwa ambayo ilikua iwe chombo Bora kupambana na Rushwa ilitokana na tume ya JAJI WARIOBA. Haya majitu hayafai kuwa sehemu ya TanzaniaJaji=Babu.
Badala la kujibu HOJA, unangangania kupingana na Mh Rais Kikwete aliyemteua Judge Warioba kama mtu pekee mahiri aliyebobea kuongoza mchakato wa Katiba mpya.
Aisee. That’s KIU professor in servile bliss.ujaji autoe wapi yule Mzee, hiyo ilikua ni a.k.a yake tu mtaani,
ni mjanja mnjanja tu,
ndio maana eti katika uzee ule, nae anajifanya ni Gen z, dah 🐒
kuzeeka kwingine ni vioja sana.
baada ya kushindwa vibaya uchaguzi mkuu kule bunda miaka ile, huyu Mzee alipata mawenge sana na akapoteza ramani kabisa, ndipo sasa hayati Baba wa Taifa J.K.Nyerere akamuokota jalalani baada ya kudhalilika sana mtaani na akamrudisha relini kwabkumteua serikalini...
sasa sijui mawenge ameyatolea wapi saivi hadi awe na gubu kiasi hiki dhidi ya serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania wote DR Samia Suluhu Hassan?🐒
Hoja yako ni ipi lakini?Ujaji wa kuunga unga?
Mbona hauhoji huyo anayeitwa dr samia wakati hana hata degree mojaKatika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.
Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo
Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?
Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Huyo sio Jaji, full stop, vinginevyo na Master Jay na yeye ajiite Jaji kisa tu amekaa katika jopo la Bongo Star searchHoja yako ni ipi lakini?
Unasema Warioba si Jaji na huku unaendelea kumwita Jaji? Uelewekeje? Kwamba hujui unachokifanya?
Hiyo international tribunal unasema ujaji wa kuunga unga, are you serious?Ujaji wa kuunga unga?
Ameanza kuitwa jaji wakati wewe bado unalamba makamasi chekechea.
Jibuni hoja za Warioba acheni vihoja.
Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.
Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo
Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?
Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya baharasis ya argument yako ni kutokuwemo kwenye Kitabu cha majaji au hakuwahi kuteuliwa na kuapishwa kama jaji?
This is the fallacy of 'argumentum ad ignorantiam' (argument from ignorance). Kutoteuliwa na Rais katika historia ya nchi hii au kutowahi kusoma hukumu yake si ushahidi kwamba mtu si Jaji au hajawahi kuteuliwa kuwa Jaji. Nina ushahidi huu na ningetaka u'dissapprove':Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.
Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo
Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?
Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Hajawahi kuwa
Huyo sio Jaji, full stop, vinginevyo na Master Jay na yeye ajiite Jaji kisa tu amekaa katika jopo la Bongo Star search
Kwani kuchaguliwa kuwa jaji ni sifa ya maana sana?Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.
Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo
Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?
Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.