Hakuna Rais wa Tanzania aliyewahi kumteua Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji wa Mahakama yoyote hapa nchini, awe mkweli asipotoshe

Hakuna Rais wa Tanzania aliyewahi kumteua Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji wa Mahakama yoyote hapa nchini, awe mkweli asipotoshe

Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Chawa nene lililovimbiana limeanza yake.
 
Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Hivi hivi wengine walimvunjia heshima ubungo
 
Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Sasa katika baraza la kimataifa la utatuzi wa migogoro ya bahari wanakaa majaji kuamua kesi za migogoro ya bahari maana yake yeye Warioba ni Jaji.
 
Jaji=Babu.

Badala la kujibu HOJA, unangangania kupingana na Mh Rais Kikwete aliyemteua Judge Warioba kama mtu pekee mahiri aliyebobea kuongoza mchakato wa Katiba mpya.
Si hivyo tu hata hiyo Takukuru ambayo inawalea CCM na kuongoza kwa Rushwa ambayo ilikua iwe chombo Bora kupambana na Rushwa ilitokana na tume ya JAJI WARIOBA. Haya majitu hayafai kuwa sehemu ya Tanzania
 
ujaji autoe wapi yule Mzee, hiyo ilikua ni a.k.a yake tu mtaani,

ni mjanja mnjanja tu,
ndio maana eti katika uzee ule, nae anajifanya ni Gen z, dah 🐒

kuzeeka kwingine ni vioja sana.

baada ya kushindwa vibaya uchaguzi mkuu kule bunda miaka ile, huyu Mzee alipata mawenge sana na akapoteza ramani kabisa, ndipo sasa hayati Baba wa Taifa J.K.Nyerere akamuokota jalalani baada ya kudhalilika sana mtaani na akamrudisha relini kwabkumteua serikalini...

sasa sijui mawenge ameyatolea wapi saivi hadi awe na gubu kiasi hiki dhidi ya serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania wote DR Samia Suluhu Hassan?🐒
Aisee. That’s KIU professor in servile bliss.
 
Mzee Warioba amekemea uhuni wa jeshi la polisi kutumika kisiasa na CCM hadi likaitwa PoliCCM.

Mimi naungana na mzee Warioba maana amesimamia ile ahadi ya mwanaccm "Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko"

Nyie kunguni wa mama endeleeni kupokea maelekezo ya kumjibu ila ukweli umewafikia.

Mzee amejitokeza mbele kukemea uovu najua mtamtumia wahuni tena wamdhuru kama yule muhuni aliyepaswa kuwepo gerezani ila mmempa ukuu wa mkoa.

Warioba ni msomi , usifikiri ni sawa na huyo mama yenu mwenye udaktari wa kupewa kila kukicha huku ikiwa inajulikana rekodi yake kitaaluma ni mbovu.
images (66).jpeg
 
Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Mbona hauhoji huyo anayeitwa dr samia wakati hana hata degree moja
 
Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya baharasis ya argument yako ni kutokuwemo kwenye Kitabu cha majaji au hakuwahi kuteuliwa na kuapishwa kama jaji?

Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
This is the fallacy of 'argumentum ad ignorantiam' (argument from ignorance). Kutoteuliwa na Rais katika historia ya nchi hii au kutowahi kusoma hukumu yake si ushahidi kwamba mtu si Jaji au hajawahi kuteuliwa kuwa Jaji. Nina ushahidi huu na ningetaka u'dissapprove':
1) Attorney General (1976-1983)
2) Minister for Justice (1983-1985)
3) Prime Minister (1985-1990)
4) Judge on the International Tribunal for the Law of the Sea (1996-1999)
5) Judge at the East African Court of Justice (2001-2006).
 
Hajawahi kuwa

Ofisi ya makamo wa rais inasema amewahi kua jaji wa mahakama ya masuala ya bahari kuanzia 1996 hadi 1996.
 
Huyo sio Jaji, full stop, vinginevyo na Master Jay na yeye ajiite Jaji kisa tu amekaa katika jopo la Bongo Star search

Hata kama sio Jaji inakusaidia nini wewe na mimi? Haya ni maneno ya mkosaji. Maana maneno yako hayatabadili chochote.

Nakushauri katafute biriani au pilau, ule ushibe ukatoe mashuzi. Jioni tafute mzinga wa K Vant ukalale zako. Kuna watu hutaweza kupambana nao ukashinda, mark my words
 
Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Kwani kuchaguliwa kuwa jaji ni sifa ya maana sana?
 
Back
Top Bottom