Hakuna Rais wa Tanzania aliyewahi kumteua Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji wa Mahakama yoyote hapa nchini, awe mkweli asipotoshe

Itoshe kusema ujinga wako ni wa kurithi! Laumu familia yako!
 

Ujaji wa Warioba ni wa Kimataifa. Ni Jaji wa Commonwealth ...!!
 
Na itakuwa hii nnchi ni kichwa cha mwendawazimu mtu afikie mpaka kuwa waziri mkuu halafu sio raia
 
Uyu mzee wamfaham vizuri? Pumbavu
Acha ujua uyu ni waziri mkuu mstaafu, achilia mbali kuwa jaji
 
Ad hominem logical fallacy.
Its the diversion tactic to shift attention to unrelated point (personal attack) to avoid addressing the actual issue.

The issue is the governing party CCM was not up to no good with the past local elections and forthcoming one in 2025.

They think they are better on everything but they are dumb.

They need to counter his argument positively and intelligently.
 
Its the diversion tactic to shift attention to unrelated point (personal attack) to avoid addressing the actual issue.

They think they are better on everything but they are dumb.

They need to counter his argument positively and intelligently.
Badala ya kumchafua Warioba kwa siasa za majitaka, ndiyo wanazidi kukumbushia na kuwekea uzito maneno aliyosema.

Yani hata kama kuna watu waliona maneno ya Warioba ni ya kawaida, wameanza kuyasahau,hizi threads zinakumbushia na zinaonesha maneno yanawasumbua.
 
Badala ya kumchafua Warioba kwa siasa za majitaka, ndiyo wanazidi kukumbushia na kuwekea uzito maneno aliyosema.
Sometimes Africans we shoot ourselves in the foot deliberately.

Judge Warioba is the top man, with integrity and is former prime minister.

He has the duty to say something and listen to, attentively.
 
Sometimes Africans we shoot ourselves in the foot deliberately.

Judge Warioba is the top man, with integrity and is former prime minister.

He has the duty to say something and listen to, attentively.
Unaifahamu kampuni ya warioba iliyoitwa Mwananchi Gold na jinsi ilivyotapeli dhahabu Benki Kuu
 
Why mnakimbilia kushambulia watu badala ya kujibu hoja za watu?

Mnafanya kila mtanzania aonekane ni mjinga.
 
Unaifahamu kampuni ya warioba iliyoitwa Mwananchi Gold na jinsi ilivyotapeli dhahabu Benki Kuu
Ili hoja yako ionekana ina mashiko, ongezea na hizi hapa:
1. Jaji Warioba alisababusha WW2
2. Jaji Warioba alisababisha Tanzania kuingia vitani na Uganda
4. Jaji Warioba alisababisha meli ya Mv Bukoba kuzama siku ya Jumatano, 21/05/1996
5. Jaji Warioba aliiuza bandari ya Tanganyika
6. Jaji Warioba aliikwamisha Tanzania kupata katiba mpya
7. Jaji Warioba alisababisha Tundu Lissu kupigwa risasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…