Gentleman,Why mnakimbilia kushambulia watu badala ya kujibu hoja za watu?
Mnafanya kila mtanzania aonekane ni mjinga.
Huo ndio ukweli, sijaona hoja ya kujibuBadala ya kumchafua Warioba kwa siasa za majitaka, ndiyo wanazidi kukumbushia na kuwekea uzito maneno aliyosema.
Yani hata kama kuna watu waliona maneno ya Warioba ni ya kawaida, wameanza kuyasahau,hizi threads zinakumbushia na zinaonesha maneno yanawasumbua.
Mjipange mjibu hoja za Warioba alozitoa msihamishe magoli mwaonekana ni wajinga.
Basi tukubaliane na wewe kuwa:Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.
Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo
Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?
Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Hana hoja, ana ugonjwa wa uzee na upwekeBasi tukubaliane na wewe kuwa:
1. Hajawahi kuwa Jaji
2. Hajawahi kuwa Waziri
3. Hajawahi kuwa Waziri Mkuu
4. Hajasoma Sheria
Tuchukulie yote hayo ni kweli! Je! Hoja zake zipuuziwe kwa kuwa hana sifa zilizotajwa hapo juu?
Kati yako wewe na Warioba nani mgonjwa?Hana hoja, ana ugonjwa wa uzee na upweke
Logical non sequitur fallacy.Huo ndio ukweli, sijaona hoja ya kujibu
Aliteuliwa na Nyerere? Mwinyi? Mkapa? Kikwete? JPM? Samia?
Elimu kwani unataka kuniajiri?
Unacho kiongea kuhusu yeye ndicho ambacho wewe unakifanya hapa.Gentleman,
hakuna sababu wala haja ya kukimbia au kumshambulia mtu yeyote ndani ya nchi yetu ya amani na umoja Tanzania.
kuelezana ukweli ni jambo muhimu sana la kizalendo dhidi ya unafiki wa mtu aliekua hadi na hadhi ya uwaziri mkuu, eti leo ana bwekabweka huko uchochoroni dhidi ya serikali sikivu ya CCM ambayo yeye pia alikua na nafasi nzuri mno ya kurekebisha unafiki anao mbwelambwela nao sasaivi ,
mawenge ya uzeeni ni mabaya sana 🐒
Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.
Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo
Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?
Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Ebu tueleze, kwann anaitwa jaji ,ujaji kaupataje? Kwamba kajipachika tu kweli!?kwann ukusema miaka yote
Hawa watu JF ingekuwa inawapiga ban completely kwa kuwa wanakuja humu kutuonyesha umbumbu wao. Jaji Sinde Warioba , mwaka 1996 mpaka 1999 aliteuliwa na mahakama ya bahari ya Hamburg kuwa jaji kule German. Huyu ni jaji wa kimataifa sio wa connection na uchawa. JF anzeni kuangalia elimu na uelewa wa watu kabla ya kuruhusu watu kutuma thread humu.Una elimu gani?
Au niulize hivi:
Ulisoma chuo gani?
Una elimu gani?
Au niulize hivi:
Ulisoma chuo gani?
Atakuambia hata COMMONWEALTH haipo!
Gentleman,Unacho kiongea kuhusu yeye ndicho ambacho wewe unakifanya hapa.
Acheni kumshambulia, kikubwa njoo na hoja kujibu hoja zake....
Kama ni muongo itafahamika, swali ni je aliyo yaongea yapo au hayapo? Na kama yapo ni kipi kinatakiwa kufanyika?
Incase hayapo, basi tunaweza kusema Mzee kakosea...
Nchi haiwezi kujengwa na uwepo wa watu ambao muda wote mnawaza kusifia Sifia tu....
Hata raisi anahitaji kupata watu ambao watakuwa na hoja kwa sababu ndizo zinaenda kujenga taifa hili.
Sijui tumekuwa na taifa gani kiasi kwamba watu ambao wanaonekana smart wanaonekana kuwa hatari badala ya kuwa sehemu ya mhimu ya taifa hili.
Mzee kama angesifia niamini mimi ungekuwa mtu wa kwanza kumpamba hapa...
Sometimes achaneni na mambo ya huyo nani au huyu chama gani.... Tuungane kulijenga taifa letu...
Acheni kumdhalilisha Mzee ni utoto mnafanya, kikubwa jengeni hoja.... Kama yeye ndiye amekosea hoja zitathibitisha hilo.
Hoja ya police kutumia kisiasa, hili hulijui au ni mgeni hapa TanganyikaGentleman,
mzee ana hoja gani sasa hata watu wapoteze muda kumjibu zaid ya mawenge na makasiriko yake dhidi ya serikali sikivu ya CCM?🤣
Unachokerekwa ww ni kitu gani bro.weka wazi ili tuone makosa ya warioba.Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.
Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo
Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?
Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Mzee Joseph Warioba aliteuliwa na Katibu Mkuu wa UN Msfaatu Butrous Butrous Ghali kuwa Jaji wa Sheria za Bahari.Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.
Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo
Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?
Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.