Hakuna Rais wa Tanzania aliyewahi kumteua Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji wa Mahakama yoyote hapa nchini, awe mkweli asipotoshe

Hakuna Rais wa Tanzania aliyewahi kumteua Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji wa Mahakama yoyote hapa nchini, awe mkweli asipotoshe

Na hiyo ndiyo chanzo cha makasiroko ya waliomkasirikia, kaongea ukweli kinyume na matarajio ya waliozoea kusema uongo!hapa

Na hiyo ndiyo chanzo cha makasiroko ya waliomkasirikia, kaongea ukweli kinyume na matarajio ya waliozoea kusema uongo!
Mkuu ndan ya chama CHAWA wameumia kishenzi ukwel unauma ,, MZEE nondo sanaaaa
 
Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Mmeanza kutoka vichakani na ujinga wenu.
 
Tanzania Mpya inaenda kupatikana 2025, Mungu ataenda kufanya maamuzi magumu na ya manufaa kwa Nchi ya Tanzania.
 
Inasaidia nini questioning about his credentials now?

Judge Warioba aliandaa rasimu ya katiba mkimuita Judge.

Leo anaulixa credibility ya matendo yasioeleweka ndani ya kuendesha mambo ya watanzania, wajinga wanasema sio Judge.

Najua wengine watasema sio raia😂😂😂😍😍
hii changamoto sasa, usijekuta cheti chake cha darasa la saba ni chakugushi
 
Kuwa UVCCM haimaanishi kwamba usiwe na akili.
"Warioba served as a judge on the Hamburg, Germany-based International Tribunal for the Law of the Sea from 1996 to 1999".
Unajaribu kuifuta hiyo record?? Bwege wewe
huo ni ujaji tu kama wa BSS,
 
Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Josekph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Kwanini tunapotezq muda na vitu vya kipuuzi. Kwani hakuna Jaji wa heshima?

Kama kuna Dokta wa heshima hakukaa darasani wala kufanya research basi Warioba pia ni Jaji wa heshima

Tusichoshane
 
Jibu hilo hapo:

Mnamo 1985, alikua Waziri Mkuu na, wakati huo huo, Makamu wa Pili wa Rais hadi 1990. Baada ya muda wake kama waziri mkuu, aliteuliwa kuwa jaji katika Mahakama ya Kimataifa ya Sheria ya Bahari yenye makao yake makuu mjini Hamburg. (ITLOS).

Uliza swali lingine
kwahiyo hakuwahi kuhudumu kama judge wa mahakama kuu, huo ndio ukweli,
 
Kwanini tunapotezq muda na vitu vya kipuuzi. Kwani hakuna Jaji wa heshima?

Kama kuna Dokta wa heshima hakukaa darasani wala kufanya research basi Warioba pia ni Jaji wa heshima

Tusichoshane
si mpaka ateuliwe, tusipolitizama hili kuna siku gwajima au musukuma atajiita judge
 
Katika historia ya nchi hii, hakuna Rais yeyote yule aliyewahi kumteua Mh. Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji, na katika vitabu vyote vya hukumu zilizoripotiwa, hakuna hukumu hata moja ya Mh. Joseph Sinde Warioba. Hajawahi kukalia kiti cha ujaji hata mara moja.

Katika orodha ya majaji wa nchi hii jina lake halimo

Kwa nini kwa muda wote huo ameruhusu jamii ipotoshwe na yeye akiwa kimya?

Zaidi zaidi aliwahi kukaa katika Baraza linaloshughulika na utatuzi wa migogoro ya bahari.
Hebu na wewe ana
Ebu tueleze, kwann anaitwa jaji ,ujaji kaupataje? Kwamba kajipachika tu kweli!?kwann ukusema miaka yote
Hebu na wewe anza kujiita jaji kama ni rahisi, labda jaji wa BSS
 
Back
Top Bottom