Chadema kule hamna kitu , JPM anafanya fresh Tu kukipiga nyundo hcho chama, haiwezekan watu wote waondoke kule wakimtuhumu mwenyekiti , Cha-cha , wangwe, Zitto, Slaa, waitara , sumaye , katambi , lowasa , n.k , tuseme Tu ukweli mwenyekiti ndo tatizo , chama kimekuwa kikubwa lakn anakiendesha Kwa fikra zile zile za mwaka 40 , za upigaji ..... Aache hzo bhana , af kuna mijitu humu inajua kabisa mwenyekiti ni uozo but they are fighting to defend the guy...yaan watu wa namna hyo huwa nawaona mapopoma aisee