Hakuna sababu ya kuomba michango ya mafuriko ya Hanang, Serikali isaidie wananchi kwa pesa zake

Hakuna sababu ya kuomba michango ya mafuriko ya Hanang, Serikali isaidie wananchi kwa pesa zake

Rais na umati mkubwa wa Watanzania wenzetu wako Dubai kwa raha zao na kwa matumizi makubwa ya pesa za umma. Je, pesa za safari ya umati wote huo imetoka wapi? Sasa kuna magari ya kifahari yanaelekea Hanang bila msaada ndani yake.

Serikali inaendeshwa kifahari kwa magari ya bei kubwa bila kujali maisha duni ya wananchi, lakini huwa haiombi misaada ya kununua magari hayo. Hii ni pamoja na wizi wa pesa za serikali, Rais anaona ni powa tu. Kitengo cha maafa kina bajeti ya kila mwaka, lakini majanga kama haya hayatokei kila mwaka. Je, pesa hiyo hupelekwa wapi?

Kwa ufupi tuache kutumia visingizio vya mafuriko kutaka michango ya watu walio na mahitaji kibao katika familia zao, na hawana msaada wa serikali, lazima serikali isaidie wananchi wa Kateshi kwa pesa zake yenyewe.
Sasa hivi utasikia serikali yakopa Tsh 1b kukabili mafuriko Hanang

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Rais na umati mkubwa wa Watanzania wenzetu wako Dubai kwa raha zao na kwa matumizi makubwa ya pesa za umma. Je, pesa za safari ya umati wote huo imetoka wapi? Sasa kuna magari ya kifahari yanaelekea Hanang bila msaada ndani yake.

Serikali inaendeshwa kifahari kwa magari ya bei kubwa bila kujali maisha duni ya wananchi, lakini huwa haiombi misaada ya kununua magari hayo. Hii ni pamoja na wizi wa pesa za serikali, Rais anaona ni powa tu. Kitengo cha maafa kina bajeti ya kila mwaka, lakini majanga kama haya hayatokei kila mwaka. Je, pesa hiyo hupelekwa wapi?

Kwa ufupi tuache kutumia visingizio vya mafuriko kutaka michango ya watu walio na mahitaji kibao katika familia zao, na hawana msaada wa serikali, lazima serikali isaidie wananchi wa Kateshi kwa pesa zake yenyewe.
True serikali inatapanya kodi kil sehem mara kununua magoli mara kwwnda dubai na msafara wa watu Mia 3 .mara kuingeza mawizara kila siku
 
Serikali ina pesa za bajeti,hizo pesa zimetoka kwa walipa kodi,ambapo hata hao waliopata majanga,hulipa kodi,kwanini isitoe hizo pesa wakawasaidia hao wahanga?
Ntashangaa sana pesa za serikali,ambazo ni zetu indirectly,zikomee kwenye malipo ya pesa za safari za viongozi ambao wala siyo wahanga.Wawe na utu basi,na siyo kila mmoja kufoji safari ya kwenda Qartesh ili ahalalishe ulipwaji wa posho ya safari.
Halafu raisi yeye anazurura tu na akija anaongezea uteuzi
 
Rais na umati mkubwa wa Watanzania wenzetu wako Dubai kwa raha zao na kwa matumizi makubwa ya pesa za umma. Je, pesa za safari ya umati wote huo imetoka wapi? Sasa kuna magari ya kifahari yanaelekea Hanang bila msaada ndani yake.

Serikali inaendeshwa kifahari kwa magari ya bei kubwa bila kujali maisha duni ya wananchi, lakini huwa haiombi misaada ya kununua magari hayo. Hii ni pamoja na wizi wa pesa za serikali, Rais anaona ni powa tu. Kitengo cha maafa kina bajeti ya kila mwaka, lakini majanga kama haya hayatokei kila mwaka. Je, pesa hiyo hupelekwa wapi?

Kwa ufupi tuache kutumia visingizio vya mafuriko kutaka michango ya watu walio na mahitaji kibao katika familia zao, na hawana msaada wa serikali, lazima serikali isaidie wananchi wa Kateshi kwa pesa zake yenyewe.

Pia soma > Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63
Baadhi ya thrd munazileta ili kutuharibia afya yetu. Ukisikiliza vituko vya serikali hizi, unaweza kutapika.
Rais anakwenda kutafuta biashara binafsi kwa kutumia pesa za serikali, anapongezwa kwa safari ya Dubai. Marais wengine wanatoa hotuba na kuondoka, yeye anabaki utadhani ana umuhimu kuliko wengine.

Hakika wanategema misaada ianze kushuka ingawa wao wako kwenye magari ya mabilioni. Safari hii watuache. Hii mikasa imekuwa ni nafasi ya wizi.

Mimi sina huruma na rais wetu kwa sababu ni mzembe! Bado anaona ni raha kuitwa mwarabu hata kama pua yake ni ya kimakonde. Anaona raha na vikao vya Dubai bila kujali hali ya nyumbani. Anarudi nyumbani, lakini haoneshi dharula; atakwenda siku fulani. Wakati huo huo walioko huko wanasema 'mama Samia anawakumbuka'. Shiiiit!
 
Back
Top Bottom