Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
Samahani kwa kusema hili, ukweli uliowazi ni hakuna sababu za msingi za watoto kusoma hizi shule za English medium.
Naongea kwa sababu hili suala nalifahamu kwa asilimia kubwa.
Tena kwa wazazi wanao dunduliza na kujibana samahani kwa kuwaita wapumbavu ambao ujinga, mihemko na maisha ya kuigana yamewatawala pia ufahamu wa masuala ya kielimu upo chini.
Hakuna elimu bora Tanzania amka acha kuwa mjinga wa mfumo wa kipuuzi uliowekwa katika jamii ili kutapeli wajinga.
Naongea kwa sababu hili suala nalifahamu kwa asilimia kubwa.
Tena kwa wazazi wanao dunduliza na kujibana samahani kwa kuwaita wapumbavu ambao ujinga, mihemko na maisha ya kuigana yamewatawala pia ufahamu wa masuala ya kielimu upo chini.
Hakuna elimu bora Tanzania amka acha kuwa mjinga wa mfumo wa kipuuzi uliowekwa katika jamii ili kutapeli wajinga.